Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Asilimia kubwa ya migogoro inayovunja ndoa ni wanamke kuwa na financial freedom.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kuendesha maisha yake bila msaada wa mwanaume lazima kiumane.
Hili nalo neno. Mwanamke akishapata financial independence wazo la kwanza ni kumuuondoa mwanau.e kwenye maisha yake.
 
Yote hayo ya nini?

Suluhisho la kudumu ni hili 👉👉👉 KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…