Hili nalo neno. Mwanamke akishapata financial independence wazo la kwanza ni kumuuondoa mwanau.e kwenye maisha yake.Asilimia kubwa ya migogoro inayovunja ndoa ni wanamke kuwa na financial freedom.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kuendesha maisha yake bila msaada wa mwanaume lazima kiumane.
duh, ndo vitu anapenda?Make sure u r tall dark and handsome 🤣🤣🤣🤣
Hakuna sheria yoyote. Kila mtu aishi apendavyosheria nyingi sana kwenye haya mambo
Kaka Mwachi bado anaishi ulimwengu wa peke yake. Hawajui binadamu.Una uchizi wewe, hao ndugu watakachowaza ufe wawapore mali familia yako wauze.
😂😂 Mbona umeacha sifa ya muhimu unataja ambazo nilishastaafu.Make sure u r tall dark and handsome 🤣🤣🤣🤣
Kabisaaaa....sasa ole wako uwe andunje atakutoa nduki ushangaeeeduh, ndo vitu anapenda?
Ah kumbe tdh ilikjwa wakagi wa ujana.😂😂 Mbona umeacha sifa ya muhimu unataja ambazo nilishastaafu.
aione kwenye jalada haka katoto ka 2006 hakajajua kuwa haya maisha huwa yanabadilika leo upo kesho haupo au ugonjwaHahaha! Hapana
Ajisahihishe kupitia kaka yake hapa
Yote hayo ya nini?Za maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Mwanaume mwenye uwezo wa kuhudumia familia. Uzuri sijui urefu hauna msaada wowote.Ah kumbe tdh ilikjwa wakagi wa ujana.
Haya mention hizo sifa mpya za kuweza kukuvisha shela
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unahoja lakini usisikilizwe
Now u r ready to be a wife. Nakuja kukuchukua mremboMwanaume mwenye uwezo wa kuhudumia familia. Uzuri sijui urefu hauna msaada wowote.
Wewe si kataa ndoa wewe au nilisoma vibaya?Now u r ready to be a wife. Nakuja kukuchukua mrembo
Filisika ndo tutamjua mkeoSema Kwa mkeo
Sisi wake zetu wana akili
It will end in tearsSema Kwa mkeo
Sisi wake zetu wana akili
Acha watu wasanuane masimp yamezidi mtaaniJf kwasasa ni sumu kwa jamii na kwa jinsi ke
Ndio maana nimesema it depend and businessKwako Biashara unazo zijua ni za uchuuzi? Vipi service business kama Hoteli? utamfichha wateja au?
Hapanaa iyo nakataa sio kila kituNaona yalishakupata. Ila maagano ya ndoa yanasema mmekuwa mwili mmoja, usimfiche kitu.
Wanawake ni dhaifu kweli, tatizo ni mifumo ya kijamii na kimamlaka ndio inawabeba. Mwanaume ukii-outsmart iyo mifumo mwanamke hana chochote cha kukutishia amaniWanawake mnawachukulia Kama ni watu dhaifu hapo ndo tunafeli big time .
Sawa tunajua wewe unajiaminiMarighafi ❌ argent ❌
Umeandika pumba. Kuna tatizo kubwa sana la wanaume kutojiamini nyakati hizi.