Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo nimeishia kusoma.if No, Vipi ukiwa na mimi.. ? Look at me, am handsome or not.?
Uwe na hizo pesa na ujue kutomber ahh dunia yote inakua yakooo🤏🤏 🤏Watakuja wajuba hapa kama mimi tutakwambia tafuta pesa [emoji851]kila mwanamke atakuwa na hisia na wewe!,wewe mwenyewe jiulize ukiwa na njaa kali utakuwa na hisia za mapenzi?
I don't need a woman to love my money, I need her to love me.
1 Timotheo 6:10
[10]Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.
Amin nakuambia mkuu mwanamke akikupenda hatakosa mda wa kuwasiliana na wewe.Yeah umeongea ukweli mtupu kwanini ukae sehemu ambayo mwenza wako hana hisia na wewe..
Mi juzi tu nimetoka kuacha mtu coz alikuwa hana hisia na mimi yaani usipo mtafuta hiyo ndiyo imetoka,uki kaa kimya wiki nzima ukija kumtafuta anakuletea lawama eti "mbona umeni susa hivyo" utafikiri wewe hana namba yako kisa tu wewe ulimwambia unampenda sana,sasa ukipata mtu wa hivyo piga chini tu atakusumbua baadae, maana mapenzi ni two ways traffic yaani ni ya nipe nikupe,mi nikikutafuta asubuhi basi we utanitafuta mchana na nikikutafuta jioni basi utanitafuta usiku siyo we kila siku ni kuhangaika tu kisa ulimwambia unampenda hapo inakuwa sio kupenda tena ila ni kujipendekeza...piga chini ng'ombe hiyo.
Hahaaaa ety Hawa akachepuka na shetaniHajawahi kuumbwa mwanamke asiyekuwa na tamaa ya pesa!,never ever!Adam mwenyewe alikuwa peke yake ile hawa akachepuka na shetani!,kama unasikia sauti inakwambia kuna mwanamke atakuja kukupenda bila kitu kemea hilo ni pepo!
hahahaaaa achana na videnti vyenye aibu aibu.Nilidate na manzi hivi mtaani hapa badae nikajaa shtuka kumbe mke wa MTU alafu Yule Dada alikuwa anadata na Mimi kishenzi
Nishawahi muulizaga umeolewa or Una MTU akanijibu no yeye ni single mama kumbe kaolewa
Basi ikabidi Tu nibwage majanga naheshimu Sana ndoa za watu alafu mchizi (Mme wa huyo Dada) nachezaga naye boxing Gym
Ila wadada kwanini unajua umeolewa lakini bado fall Kwa MTU mwingine asee mtafanya wanaume Tupigane bure
Ila tuseme ukweli masingle mama na wadada waliowah kuwa kwenye ndoa they very special [emoji3589]
ILA WANANGU TUOE