Usihangaike na mwanamke asiyeweka nguvu kwenye Mahusiano yenu

Usihangaike na mwanamke asiyeweka nguvu kwenye Mahusiano yenu

Vipi kwa mwanamke anayejitoa sana kwa mumewe na kumpenda lkn mwanaume haonyeshi kujali???

The same, unajua kuna mtu haoni dhamani yako mpaka utakapo ondoka? Mtu ambae haoni dhamani yako sasa, hata umjengee ghorofa hatoona.
Kwanza mwambie how you feel, lakini asipobadilika rudi nyumbani.

Asikutafuta endelea na maisha, akikutafuta weka terms zako or else usirudi tena.
 
Mpaka nilipofikia naweza kuishi na Mwanamke yoyote nimejipanga kisawasawa

1 Mbususu hainisumbui hata akininyima hajanikomoa wapo wengi huko nje akae na yake.

2 Akinipigia makelele Mimi mwenyewe najua kupanda juu Kwa makelele kama ni vita iwe vita mura akitaka tunazichapa pia

3 Akidai hataki kupika nakula nje siachi Hela Nyumbani

4 Asipotaka Kunifulia natafuta house gelo nampangisha nyumba tofauti siku nyingine nalala huko huko huyo ndiye atakayetimiza mahitaji yangu.

5 Akitaka kutembea na Waume za watu atembee tu akipata MIMBA atawalea wenyewe.

MBUSUSU NI KITU CHA MWISHO KUKIFIKIRIA KWENYE AKILI YANGU.AKIJA KWA GIA HIYO KASHAFELI MTIHANI KABLA HAJAANZA.
 
The same, unajua kuna mtu haoni dhamani yako mpaka utakapo ondoka? Mtu ambae haoni dhamani yako sasa, hata umjengee ghorofa hatoona.
Kwanza mwambie how you feel, lakini asipobadilika rudi nyumbani.

Asikutafuta endelea na maisha, akikutafuta weka terms zako or else usirudi tena.
Dhamani [emoji777]

Thamani [emoji3581]
 
Kama nikitaka kupiga ananipa napga huyo bwana wake waendelee tu ntawaacha muda nikipata wakwangu 😀
 
Back
Top Bottom