Mkuu simulizi siku zote hutiwa chumvi.Mkuu usichukulie poa hili geshi letu.
Kuna mjeda mmoja maeneo flani alinipa maelezo namna walivyowatandika wale wa MKIRU hadi niliogopa.
Naheshimu maoni yako mkuu.Mkuu simulizi siku zote hutiwa chumvi.
Wanajeshi wetu ni mahiri kwa kumwaga vyakula vya mama ntilie na kuzima maandamano ya chadema tu.
Lkn kwenye vita serious hakuna kitu, kila mwaka wanachezea kichapo kwa M23.
Hawezi kukujibuNaheshimu maoni yako mkuu.
Jiulize hivi wale wa MKIRU waliishia wapi?
Na vipi kule mpakani na Msumbiji vipi?
Jeshi letu ni imara ila kwa mtazamo wangu labda TISS ndo wakuongeza zaidi maarifa ya kutafuta taarifa ili tuwe salama zaidi
Kichocheo cha hayo uliosema ni siasa safi na uongozi Bora. Tuzingatie hiloTanzania ilipewa jukumu kubwa la kuongoza vikosi vya Umoja wa Mataifa huko DRC, 2013/14 kazi kubwa ya kuisambaratisha M23.
Kwa msioifahamu Tanzania vizuri,mwaka 2008 tulikuwa front line visiwa vya Comoro tukarejesha Amani ya ukanda ambapo napo aliibuka jamaa mmoja akaanza kudharau na kupuuzia heshima ya Bara la Africa..
Kwa msiojua historia mwaka 1978/1979 Tanzania tuliingia Uganda tukampiga nduli Iddi Amini Dada,ambaye by that time alikuwa anasaidiwa na Libya ya Gaddafi Katika silaha na fedha,the rest was history mnafahamu namna Mwalim alipotoa speech yake pale Karimjee hall,Sababu ya kumpiga ilikuwepo,Nia ilikuwepo na uwezo ulikuwepo hatukusubiri tamko la AU wala UN ila tuliilinda bendera ya Tafaifa yenye rangi nne....
Kwa msioifahamu Tanzania vizuri mwaka 2008 tuliongoza kamati maalumu ya usuluhishi wa Amani pale Kenya baada ya uchaguzi mkuu kumalizika zikaibuka vurugu baina ya wafuasi wa Odinga na hayati Mzee Mwaikibaki na kwa meza Ile ya diplomasia iliyosimamiwa na hayati Mkapa na Kenya ikarudi kuwa Taifa moja...
Kwa msioifahamu Tanzania,ndio Taifa ambalo linahusika kwa 100% juu ya Hali ya kisiasa na usalama wa msumbiji,kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi they know how Tanzania great HE IS....
Msioifahamu,Hiyo S Afrika mnayosemea,Zimbabwe,Uhuru wake ni matokeo ya Tanzania huru iliyoamua kupambana dhidi ya ubepari na ukoloni na hatimae kuyaletea Uhuru mataifa hayo ya kusini mwa jangwa la Sahara...
Nawashangaa ambao hawaoni cha kujivunia juu ya Tanzania,nawadharau Sana watu ambao ni blank minded they ignore the beautiful and powerful history ya Tanzania Katika UKANDA huu wa kusini mwa jangwa la Sahara,kwasababu hamjachagua kuiweka Tanzania ndani ya mioyo yenu..
Lastly Nendeni pale Malawi muwaulize juu ya umuhimu WA Tanzania Katika kulinda Amani ya UKANDA na mipaka na diplomasia!! Nimeandika haya kuwakumbusha vijana mnaofatilia siasa za mitandaoni bila field kuwa TANZANIA ndo Taifa pekee kusini mwa jangwa la Sahara ambalo linahistoria ya kuunganisha na kulinda umoja na mshikamano WA mataifa hayo,ndio maana ubeti WA Kwanza WA wimbo WA Taifa unasema
"MUNGU UBARIKI AFRIKA" Tunajua umuhimu wa Tanzania Afrika na AFRIKA inajua umuhimu wa Tanzania ndani ya uzao WA mama Afrika...
Hawakuuwawa, kuna siraha moja ya urusi ya miaka ya 60, ilimkimbiza Idd Amin Kagera, sauti yake radi inaingia mara mia,. M23 walifikiri wamepigwa na bomu la nuclear, walitoka mbio hadi Rwanda wakasahau magari, soiaha hadi mateka wao, sasa hivi hawawezi kukimbiaNa ndo hicho mlichofanya dhidi ya M23. Mliwaua lakini sasa wamerejea kwa kupata vijana wengine.
Nendeni mkaue na hao pia
Kwa hao Islamist wa msumbiji, jumuia ya kimataifa inaipa credit Rwanda, kuwa jeshi lao ndio limewafukuza hao jamaa na sio TZ, Hadi sasa kuna Askari wa Rwanda msimbiji kwa ajili hioKwani si ni zama hizi hizi za uongozi unaouita wa kisiasa huuhuu kule
Mtwara kwenye border yetu na msumbiji Jeshi letu limefanya kazi iliyotukuka??
Social science ni turudi kwenye Mkataba wa Amani wa Rwanda uliofanyika Arusha ambao hakutekelezwa baada ya mauwaji ya Raisi Habyerimana, na RPF kuchukua Madaraka. nyaraka za mkataba wa Amani wa Rwanda zipo.Inamalizwa kwa social science
DuuuhHawakuuwawa, kuna siraha moja ya urusi ya miaka ya 60, ilimkimbiza Idd Amin Kagera, sauti yake radi inaingia mara mia,. M23 walifikiri wamepigwa na bomu la nuclear, walitoka mbio hadi Rwanda wakasahau magari, soiaha hadi mateka wao, sasa hivi hawawezi kukimbia
Warudi kwenye hiyo njia. Tofauti na hapo uasi utaendelea sana huo ukanda wa Maziwa MakuuSocial science ni turudi kwenye Mkataba wa Amani wa Rwanda uliofanyika Arusha ambao hakutekelezwa baada ya mauwaji ya Raisi Habyerimana, na RPF kuchukua Madaraka. nyaraka za mkataba wa Amani wa Rwanda zipo.
Hilo ndio tatizo kuu, na Paka kulitumia Congo linampa faida kuu tatu, moja na kuwaghilibu mataifa ya Nje kwamba watusi wanaonewa, na drc na waliotekeleza mauwaji ya halaiki na kuwa nyima nafasi wanaompinga Paka nafasi ya kuongea awe ndani ya Rwanda au nje ya Rwanda, pili nafasi ya kupora mali za Congo yaani madini, tatu ikitokea nafasi ni kupora ardhi ya Congo, kwa kuchukua hiyo Kivu. Na hawa bahima sio wa Rwanda tu Bali pia wa nchi Jirani. Na hao bahima wakisha chukua Kivu na madini yake, itawawezesha kuwa na jeshi lenye nguvu na uwezo wa kifedha ku itawala urundi na kwa mamluki drc na ikiwezekana Tanganyika.Warudi kwenye hiyo njia. Tofauti na hapo uasi utaendelea sana huo ukanda wa Maziwa Makuu
Na ngj itokee siku watu waidai kagera 😄Unaleta habari za 19 century nyie pasueni tofali wahuni wana choma vibanda na drones
Iko wazi. Target yao kuu ni Tanganyika.Hilo ndio tatizo kuu, na Paka kulitumia Congo linampa faida kuu tatu, moja na kuwaghilibu mataifa ya Nje kwamba watusi wanaonewa, na drc na waliotekeleza mauwaji ya halaiki na kuwa nyima nafasi wanaompinga Paka nafasi ya kuongea awe ndani ya Rwanda au nje ya Rwanda, pili nafasi ya kupora mali za Congo yaani madini, tatu ikitokea nafasi ni kupora ardhi ya Congo, kwa kuchukua hiyo Kivu. Na hawa bahima sio wa Rwanda tu Bali pia wa nchi Jirani. Na hao bahima wakisha chukua Kivu na madini yake, itawawezesha kuwa na jeshi lenye nguvu na uwezo wa kifedha ku itawala urundi na kwa mamluki drc na ikiwezekana Tanganyika.
Tanzania hatuna adui ukanda huu.....wala hatuhitaji kuwa nao...tunaweza kushinda.
..kwani tulipowadunda m23 na Rwanda waziri wa ulinzi si alikuwa Husseni?
..Na Husseni alikwepa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria?
..ushanfahamu?
Sio hii TZ hii chini ya mla urojo kutoka mchambawima, yeye akiamka anawaza kipi kimebaki Tanganyika akipige mnadaTanzania ilipewa jukumu kubwa la kuongoza vikosi vya Umoja wa Mataifa huko DRC, 2013/14 kazi kubwa ya kuisambaratisha M23.
Kwa msioifahamu Tanzania vizuri,mwaka 2008 tulikuwa front line visiwa vya Comoro tukarejesha Amani ya ukanda ambapo napo aliibuka jamaa mmoja akaanza kudharau na kupuuzia heshima ya Bara la Africa..
Kwa msiojua historia mwaka 1978/1979 Tanzania tuliingia Uganda tukampiga nduli Iddi Amini Dada,ambaye by that time alikuwa anasaidiwa na Libya ya Gaddafi Katika silaha na fedha,the rest was history mnafahamu namna Mwalim alipotoa speech yake pale Karimjee hall,Sababu ya kumpiga ilikuwepo,Nia ilikuwepo na uwezo ulikuwepo hatukusubiri tamko la AU wala UN ila tuliilinda bendera ya Tafaifa yenye rangi nne....
Kwa msioifahamu Tanzania vizuri mwaka 2008 tuliongoza kamati maalumu ya usuluhishi wa Amani pale Kenya baada ya uchaguzi mkuu kumalizika zikaibuka vurugu baina ya wafuasi wa Odinga na hayati Mzee Mwaikibaki na kwa meza Ile ya diplomasia iliyosimamiwa na hayati Mkapa na Kenya ikarudi kuwa Taifa moja...
Kwa msioifahamu Tanzania,ndio Taifa ambalo linahusika kwa 100% juu ya Hali ya kisiasa na usalama wa msumbiji,kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi they know how Tanzania great HE IS....
Msioifahamu,Hiyo S Afrika mnayosemea,Zimbabwe,Uhuru wake ni matokeo ya Tanzania huru iliyoamua kupambana dhidi ya ubepari na ukoloni na hatimae kuyaletea Uhuru mataifa hayo ya kusini mwa jangwa la Sahara...
Nawashangaa ambao hawaoni cha kujivunia juu ya Tanzania,nawadharau Sana watu ambao ni blank minded they ignore the beautiful and powerful history ya Tanzania Katika UKANDA huu wa kusini mwa jangwa la Sahara,kwasababu hamjachagua kuiweka Tanzania ndani ya mioyo yenu..
Lastly Nendeni pale Malawi muwaulize juu ya umuhimu WA Tanzania Katika kulinda Amani ya UKANDA na mipaka na diplomasia!! Nimeandika haya kuwakumbusha vijana mnaofatilia siasa za mitandaoni bila field kuwa TANZANIA ndo Taifa pekee kusini mwa jangwa la Sahara ambalo linahistoria ya kuunganisha na kulinda umoja na mshikamano WA mataifa hayo,ndio maana ubeti WA Kwanza WA wimbo WA Taifa unasema
"MUNGU UBARIKI AFRIKA" Tunajua umuhimu wa Tanzania Afrika na AFRIKA inajua umuhimu wa Tanzania ndani ya uzao WA mama Afrika...