Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Biashara za ahadi ya malipo ya tarehe fulani (Promissory Notes). Kwa wabongo ni sumu usijaribu huwa hawajali muda!
Hii kitu imenisababishia headaches mpaka sasa nimekwama. Kuna watu nimewauzia mali wakalipia Advance ila kumalizia mikia ndio imekuwa shughuli.
Tunasumbuana mpaka nafikiria nikafungue kesi polisi. Wanakera kinoma yani. Mmoja biashara ya 19/5 akaahidi kumalizia 2/6 ila hajafanya hivyo mpaka sasa ni story nyingi tu mara msiba, mara vile mwisho ananiambia nimepambana nimeshindwa labda mpaka mwisho wa mwezi. Ina maana nipoteze mwezi wote wa 6 bure tu!
Mwengine nae wa Tarehe 9/4 akaahidi by tarehe 30/4 anamaliza. Imefika siku ya kulipa hela hana, akanipiga sound mpaka 15/5 hela yenyewe akatoa nusu. Tumesumbuana tarehe 23/5 akatoa tena nusu ya iliobaki. Toka na hapo hela hajamalizia tena kila nikimcheki anapambana mambo magumu.
Yani usumbufu ninaoupata ndio naelewa umuhimu wa biashara za cash in hand. Mnafunguana mashati mapema tu kila mtu anasonga na njaro zake.
Hii kitu imenisababishia headaches mpaka sasa nimekwama. Kuna watu nimewauzia mali wakalipia Advance ila kumalizia mikia ndio imekuwa shughuli.
Tunasumbuana mpaka nafikiria nikafungue kesi polisi. Wanakera kinoma yani. Mmoja biashara ya 19/5 akaahidi kumalizia 2/6 ila hajafanya hivyo mpaka sasa ni story nyingi tu mara msiba, mara vile mwisho ananiambia nimepambana nimeshindwa labda mpaka mwisho wa mwezi. Ina maana nipoteze mwezi wote wa 6 bure tu!
Mwengine nae wa Tarehe 9/4 akaahidi by tarehe 30/4 anamaliza. Imefika siku ya kulipa hela hana, akanipiga sound mpaka 15/5 hela yenyewe akatoa nusu. Tumesumbuana tarehe 23/5 akatoa tena nusu ya iliobaki. Toka na hapo hela hajamalizia tena kila nikimcheki anapambana mambo magumu.
Yani usumbufu ninaoupata ndio naelewa umuhimu wa biashara za cash in hand. Mnafunguana mashati mapema tu kila mtu anasonga na njaro zake.