Usijaribu kufanya biashara za ahadi na wabongo utaumia (Promissory Notes)

Usijaribu kufanya biashara za ahadi na wabongo utaumia (Promissory Notes)

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Biashara za ahadi ya malipo ya tarehe fulani (Promissory Notes). Kwa wabongo ni sumu usijaribu huwa hawajali muda!

Hii kitu imenisababishia headaches mpaka sasa nimekwama. Kuna watu nimewauzia mali wakalipia Advance ila kumalizia mikia ndio imekuwa shughuli.

Tunasumbuana mpaka nafikiria nikafungue kesi polisi. Wanakera kinoma yani. Mmoja biashara ya 19/5 akaahidi kumalizia 2/6 ila hajafanya hivyo mpaka sasa ni story nyingi tu mara msiba, mara vile mwisho ananiambia nimepambana nimeshindwa labda mpaka mwisho wa mwezi. Ina maana nipoteze mwezi wote wa 6 bure tu!

Mwengine nae wa Tarehe 9/4 akaahidi by tarehe 30/4 anamaliza. Imefika siku ya kulipa hela hana, akanipiga sound mpaka 15/5 hela yenyewe akatoa nusu. Tumesumbuana tarehe 23/5 akatoa tena nusu ya iliobaki. Toka na hapo hela hajamalizia tena kila nikimcheki anapambana mambo magumu.

Yani usumbufu ninaoupata ndio naelewa umuhimu wa biashara za cash in hand. Mnafunguana mashati mapema tu kila mtu anasonga na njaro zake.
 
Hawawezi kunisaidia kuharakisha malipo maana naona usumbufu umekuwa mkubwa na hasa muda wangu ndio mali.

Unae mdai atasema ana uwezo wa kukulipa elfu 5 kila mwezi kutokana na hali mbaya ya uchumi. Hivyo atakuwa anapunguza hiyo buku 5 hadi deni liishe.

Hapo unakuta unadai laki 5! Mna andikihsna kituoni na kila mtu anaenda na njia zake. Ndio taratibu za kesi za madai zinavyokuwa polisi.
 
Mkuu dawa yao ni kwenda kwenye ofisi yake unabeba Mali yoyote ya thaman ambayo inalingana na pesa unayomdai au kama hana ofisi Nenda nyumbani kwake mwambie nabeba kitanda na godolo . atakulipa fasta.

Mm kuna jamaa nilimpa kuku bloila Wa thaman ya tsh lakni tano na kienyeji Wa shilingi laki mbili yeye ana baa na jiko safi sana lakn baada ya kumpa akaahidi baada ya siku tatu atanilipa ajabu yake zikapita wiki mbili hamna hela kila nikimpgia simu Mara oooh corona biashara mbaya.

Nikaona isiwe taabu nikaenda jikon kuangalia kuku nikakuta kamaliza nilichofanya nikaita kilikou nikamwambia nipe makreti yote ya bia zote nilitaka nisafishe kaunta nzima pamoja na friji la jikon .. Aisee akaniambia subiri hapahapa lisaa limoja hela yako nakupa sijui alienda kuitoa wapi baada ya lisaa akanipa hela yangu..

Wabongo wakati mwingne lazma ufanye maamuzi magumu ubayaubaya tu
 
Wanasema learning the hard way
Nilitaka kuandika kitu hiki hiki,pole sana mkuu kuna mbwa na mimi walishanilostisha kwa kujifanya wao warushi sana ila na mimi nilichukua mali zao zenye thamani ya niachowadai,ila ndio kujifunza kwenyewe huko.

Na kama chalii angu uko kaskazini(Arusha, Kilimanjaro-na ndio home kwetu) kurushana/kudhulumu watu kuko kwny damu kabisa na ni sifa kabisa.

Niiliwahi kufanya baishara na wasukuma/kanda ya ziwa ki ukweli sio kwamba nawasifia wala nini ila atleast ni waoga wa mali ya mtu yaani hata akichelewesha malipo unamuona ana kauoga flani na atakulipa lkn wale ndg zangu wengine aisee cha mtu hawakiogopi wala nini.

Hii ni experience yangu ya biashara.
 
Mkuu dawa yao ni kwenda kwenye ofisi yake unabeba Mali yoyote ya thaman ambayo inalingana na pesa unayomdai au kama hana ofisi Nenda nyumbani kwake mwambie nabeba kitanda na godolo . atakulipa fasta.

Mm kuna jamaa nilimpa kuku bloila Wa thaman ya tsh lakni tano na kienyeji Wa shilingi laki mbili yeye ana baa na jiko safi sana lakn baada ya kumpa akaahidi baada ya siku tatu atanilipa ajabu yake zikapita wiki mbili hamna hela kila nikimpgia simu Mara oooh corona biashara mbaya..
Sasa jamaa ni mtumishi wa Bonite. Nichukue maamuzi gani? Niteke gari ya soda nini 🤣🤣🤣
 
Nilitaka kuandika kitu hiki hiki,pole sana mkuu kuna mbwa na mimi walishanilostisha kwa kujifanya wao warushi sana ila na mimi nilichukua mali zao zenye thamani ya niachowadai,ila ndio kujifunza kwenyewe huko.

Na kama chalii angu uko kaskazini(Arusha, Kilimanjaro-na ndio home kwetu) kurushana/kudhulumu watu kuko kwny damu kabisa na ni sifa kabisa...
Jamaa itabidi niende kwake nikajitwishe hata kideo tu nisepetuke! Huyo jamaa ni mgosi
 
Jamaa itabidi niende kwake nikajitwishe hata kideo tu nisepetuke! Huyo jamaa ni mgosi
Yaani chalii angu hata akiwa ni nani akishakaa pande hizi tu ana adopt tabia chap chap anakua nae ni mzawa fasta tu.

Mimi huyo aliyenizingua nilimchukulia brakedown tukavuta ki rav-4 chake mpk home nikakiwekea na turubai fresh kabisa,jamaa wa brakedown nilimlipa 120,000 tu mchezo ukawa umeisha na uzuri case yangu ilikua inajulikana sehemu nyingi so asingeweza kusema nimemuibua ndinga yake.

Alirudisha mpunga wangu+gharama ya brakedown baada ya siku 3 tu.
 
Yaani chalii angu hata akiwa ni nani akishakaa pande hizi tu ana adopt tabia chap chap anakua nae ni mzawa fasta tu.

Mimi huyo aliyenizingua nilimchukulia brakedown tukavuta ki rav-4 chake mpk home nikakiwekea na turubai fresh kabisa,jamaa wa brakedown nilimlipa 120,000 tu mchezo ukawa umeisha na uzuri case yangu ilikua inajulikana sehemu nyingi so asingeweza kusema nimemuibua ndinga yake.

Alirudisha mpunga wangu+gharama ya brakedown baada ya siku 3 tu.
Hapo ulimkalisha kuzi huyo 🤣🤣🤣 nafikiria ntumie mbinu ya namna hii!
 
Hapo ulimkalisha kuzi huyo 🤣🤣🤣 nafikiria ntumie mbinu ya namna hii!
Hahah yule mjinga alikua anazingua sana tena anakwambia kabisa boss deni halifungi sijui nini nikaona huyu nikimlea ni kisanga.

Komaa nae huyo jamaa mzee baba.
 
Sasa jamaa ni mtumishi wa Bonite. Nichukue maamuzi gani? Niteke gari ya soda nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda kasombe vitu vyake vya ndani kama kuna fridge, kabati,kitanda na godoro tembea navyo vyote akili itamkaa atakupa
 
Back
Top Bottom