Usijaribu kufanya biashara za ahadi na wabongo utaumia (Promissory Notes)

Usijaribu kufanya biashara za ahadi na wabongo utaumia (Promissory Notes)

Yani uswahili haufai kabisa kwenye hela za watu.
Hakuna biashara mbovu kama kufanya na watu wasio na nidhamu ya pesa na pia kuheshimu makubaliano. Ni bora ukawa na customers wako 10 mkafanya biashara kwa nidhamu. Sisi wengine tunasubiri ufilisike tuanza kukunaga kitaa ilhali sisi ndio chanzo cha kufilisika kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu dawa yao ni kwenda kwenye ofisi yake unabeba Mali yoyote ya thaman ambayo inalingana na pesa unayomdai au kama hana ofisi Nenda nyumbani kwake mwambie nabeba kitanda na godolo . atakulipa fasta.

Mm kuna jamaa nilimpa kuku bloila Wa thaman ya tsh lakni tano na kienyeji Wa shilingi laki mbili yeye ana baa na jiko safi sana lakn baada ya kumpa akaahidi baada ya siku tatu atanilipa ajabu yake zikapita wiki mbili hamna hela kila nikimpgia simu Mara oooh corona biashara mbaya.

Nikaona isiwe taabu nikaenda jikon kuangalia kuku nikakuta kamaliza nilichofanya nikaita kilikou nikamwambia nipe makreti yote ya bia zote nilitaka nisafishe kaunta nzima pamoja na friji la jikon .. Aisee akaniambia subiri hapahapa lisaa limoja hela yako nakupa sijui alienda kuitoa wapi baada ya lisaa akanipa hela yangu..

Wabongo wakati mwingne lazma ufanye maamuzi magumu ubayaubaya tu
je ukifanya hvo afu akakuitia police kwamba umemletea "vurugu " (au umemvamia) kwny eneo lake la biashara?
 
nilazima tukope tudaiwe na tusumbue kulipa, kifupi nitunatoa ahadi ambazo hatuna uhakika nazo.
Tunakua wajasir hatuogopi kufilisiwa, polis lawama wala hatutaki kuishi comfortable.

Mtaani tunasema ili mwanaume akamilike nilazima udaiwe. Atamahari kwa mkwe pia tunalipia nusu inayobaki unapiga sound
 
Hakuna biashara mbovu kama kufanya na watu wasio na nidhamu ya pesa na pia kuheshimu makubaliano. Ni bora ukawa na customers wako 10 mkafanya biashara kwa nidhamu. Sisi wengine tunasubiri ufilisike tuanza kukunaga kitaa ilhali sisi ndio chanzo cha kufilisika kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani jau sana mwanangu mwenyewe...Sema nn nimejifunza kitu mkuu! Sahivi mikazo ntakayowapa walimwengu Nduli Iddi Amini akasome. Wacha niitwe roho mbaya kmmmk maana roho za kikristo zinaturudisha nyuma sana wabongo.

Ku deal na wapuuzi ni ushwaini!
 
Sio biashara tu, kukopeshana pia ndio mwanzo wa ndugu kugombana na urafiki kufa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom