Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
hahahhaaa Daah amu njoo
Niliua biashara ya Madera sababu ya huu upuuzi,
nilichojifunza kwa biashara bora kuwekesha ,yaani Mtu aweke pesa mzigo nibakie nayo mwenyewe.
halafu kuna wanaojifanya wajanja wa mjini anakuambia niletee mzigo pesa ninayo mkononi ukifika ana hela nusu,
usiwe mnyonge MPE mzigo kulingana na pesa yake...
Niliua biashara ya Madera sababu ya huu upuuzi,
nilichojifunza kwa biashara bora kuwekesha ,yaani Mtu aweke pesa mzigo nibakie nayo mwenyewe.
halafu kuna wanaojifanya wajanja wa mjini anakuambia niletee mzigo pesa ninayo mkononi ukifika ana hela nusu,
usiwe mnyonge MPE mzigo kulingana na pesa yake...