Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Akopeshe watumishi tu na achukue kadi zao.Hakikisha una urafiki na askari katili. Bila hivyo utateseka
Mdaiwa akiwa anaijua sheria vyema, askari ni mchumba tuu, wala hamtishi...wewe niambie ni draft vizuri mkataba wa kukopesha.Hakikisha una urafiki na askari katili. Bila hivyo utateseka
Kuna watu niliwa fungulia mwenyewe microfinance, hadi sasa wanapiga hela na mimi huwa ni mmoja wa waleta wateja na cha juu napata.Ushaferi mkuu. Niamini mm.
Kubaliana na mm, watu unaowakopesha wana kipato cha kudumu. Mfno watumishi.Kuna watu niliwa fungulia mwenyewe microfinance, hadi sasa wanapiga hela na mimi huwa ni mmoja wa waleta wateja na cha juu napata.
Hadi na mie nakopesha kimagumashi, kiasi kidogo kidogo kwakua sina mtaji.
Mbona wanasheria wanakopesheka mkuu, heri mwanasheria kuliko laymind!!Sasa unamkopesha mwanasheria utakuwa na akili kweli? Kopesha layman mwenye hela zake.
Siwezi kukwambia njia itakayo tumika kukopesha hata machinga na ukapata mpunga wako.Kubaliana na mm, watu unaowakopesha wana kipato cha kudumu. Mfno watumishi.
Ahahaha hapana.Utatuandikia kwenye mkataba
Hela ipi mkuu?Hutaki hela au 🤣🤣🤣
DuuYaani chalii angu hata akiwa ni nani akishakaa pande hizi tu ana adopt tabia chap chap anakua nae ni mzawa fasta tu.
Mimi huyo aliyenizingua nilimchukulia brakedown tukavuta ki rav-4 chake mpk home nikakiwekea na turubai fresh kabisa,jamaa wa brakedown nilimlipa 120,000 tu mchezo ukawa umeisha na uzuri case yangu ilikua inajulikana sehemu nyingi so asingeweza kusema nimemuibua ndinga yake.
Alirudisha mpunga wangu+gharama ya brakedown baada ya siku 3 tu.
Nilitaka kuandika kitu hiki hiki,pole sana mkuu kuna mbwa na mimi walishanilostisha kwa kujifanya wao warushi sana ila na mimi nilichukua mali zao zenye thamani ya niachowadai,ila ndio kujifunza kwenyewe huko.
Na kama chalii angu uko kaskazini(Arusha, Kilimanjaro-na ndio home kwetu) kurushana/kudhulumu watu kuko kwny damu kabisa na ni sifa kabisa.
Niiliwahi kufanya baishara na wasukuma/kanda ya ziwa ki ukweli sio kwamba nawasifia wala nini ila atleast ni waoga wa mali ya mtu yaani hata akichelewesha malipo unamuona ana kauoga flani na atakulipa lkn wale ndg zangu wengine aisee cha mtu hawakiogopi wala nini.
Hii ni experience yangu ya biashara.