Hakuna biashara mbovu kama kufanya na watu wasio na nidhamu ya pesa na pia kuheshimu makubaliano. Ni bora ukawa na customers wako 10 mkafanya biashara kwa nidhamu. Sisi wengine tunasubiri ufilisike tuanza kukunaga kitaa ilhali sisi ndio chanzo cha kufilisika kwako.Yani uswahili haufai kabisa kwenye hela za watu.
Hata TWIGA Bank ilifilisika namna hii.TALA na wenzie waliwashindwa wabongo! Nyie wenzangu na mimi mtawaweza?
Haha walicheka na wabongo!Hata TWIGA Bank ilifilisika namna hii.
Hahahaha dah ila jamani yaan mkopo ndo uchukue card yangu ya inapopitia mshaharaAu Akopeshe watumishi tu na achukue kadi zao.
[emoji38][emoji38][emoji38]TALA na wenzie waliwashindwa wabongo! Nyie wenzangu na mimi mtawaweza?
Wabongo hawaaminiki sasa. Kukuletea yeye mwenyewe hela ni mbinde sana.Hahahaha dah ila jamani yaan mkopo ndo uchukue card yangu ya inapopitia mshahara
Mimi sio mtumishi ila Ni muaminifuWatumishi ni uhakika maana hela yao ni ya kukinga tu! Kimbembe ni hawa wajasiriamali wenzetu.
Vipi nipitie na serikali za mtaa??Uje na mzazi na passport 2
SawaaBarua ya mtendaji muhimu
Siku zako za kuishi zinahesabika, presha itakuondoa punde tu utapoanza huo ujasiriamali.Nataka nichukue mkopo niingie kwenye biashara ya kukopesha kwa riba.
je ukifanya hvo afu akakuitia police kwamba umemletea "vurugu " (au umemvamia) kwny eneo lake la biashara?Mkuu dawa yao ni kwenda kwenye ofisi yake unabeba Mali yoyote ya thaman ambayo inalingana na pesa unayomdai au kama hana ofisi Nenda nyumbani kwake mwambie nabeba kitanda na godolo . atakulipa fasta.
Mm kuna jamaa nilimpa kuku bloila Wa thaman ya tsh lakni tano na kienyeji Wa shilingi laki mbili yeye ana baa na jiko safi sana lakn baada ya kumpa akaahidi baada ya siku tatu atanilipa ajabu yake zikapita wiki mbili hamna hela kila nikimpgia simu Mara oooh corona biashara mbaya.
Nikaona isiwe taabu nikaenda jikon kuangalia kuku nikakuta kamaliza nilichofanya nikaita kilikou nikamwambia nipe makreti yote ya bia zote nilitaka nisafishe kaunta nzima pamoja na friji la jikon .. Aisee akaniambia subiri hapahapa lisaa limoja hela yako nakupa sijui alienda kuitoa wapi baada ya lisaa akanipa hela yangu..
Wabongo wakati mwingne lazma ufanye maamuzi magumu ubayaubaya tu
Hawa jamaa hawaja gundua hiki.Waswahili dawa aweke bond kitu kwako..
Basi na unamwambia ukishindwa lipa nakiuza
Ahahah nimekuelewa mkuu.Kwan hio draft unatengenezaga bure?
Kafie mbali na mawazo yako ya uwoga, hiyo pressure ita kuuwa wewe.Siku zako za kuishi zinahesabika, presha itakuondoa punde tu utapoanza huo ujasiriamali.
Hawawezi kunisaidia kuharakisha malipo maana naona usumbufu umekuwa mkubwa na hasa muda wangu ndio mali.
Yani jau sana mwanangu mwenyewe...Sema nn nimejifunza kitu mkuu! Sahivi mikazo ntakayowapa walimwengu Nduli Iddi Amini akasome. Wacha niitwe roho mbaya kmmmk maana roho za kikristo zinaturudisha nyuma sana wabongo.Hakuna biashara mbovu kama kufanya na watu wasio na nidhamu ya pesa na pia kuheshimu makubaliano. Ni bora ukawa na customers wako 10 mkafanya biashara kwa nidhamu. Sisi wengine tunasubiri ufilisike tuanza kukunaga kitaa ilhali sisi ndio chanzo cha kufilisika kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app