Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Kumekuwa na Tabia ya wanawake wa Mkoani wanapokuja Dar kutaka kupata Mume wa kumuoa.
Hii tabia ipo sana kwa Wanafunzi wa Vyuo vikuu na Mabeki 3.
Ningependa kuwaambia kuwa hilo lengo lenu sio sahihi, na mnajidanganya kwa kiasi kikubwa.
Ukitoka mkoa uje Dar kwa malengo mengine na sio kuolewa.
Hii tabia ipo sana kwa Wanafunzi wa Vyuo vikuu na Mabeki 3.
Ningependa kuwaambia kuwa hilo lengo lenu sio sahihi, na mnajidanganya kwa kiasi kikubwa.
Ukitoka mkoa uje Dar kwa malengo mengine na sio kuolewa.