FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 1,916
- 3,850
Pole sana mkuuImajini mkeo anakulaan usifanikiwe na mmezaa watoto kisa umeuza magunia 50 ya mpunga wakati kazi yake ilikuwa kuwalipa vibarua na bado umebakiza magunia 250
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisaStarehe tunazopigania wanadamu ni za muda tu mfn ukinunua simu nzuri baada ya muda unaanza kuiona ya kawaida, gari, nyumba, mavazi classic vyote hivi unapovipata unahisi umemaliza na unakuwa na furaha sana ila baada ya muda mfupi wa kuvitumia unaanza kuona ni vya kawaida sana
Hata ndoa pia. Mwanamke mzuri kabisa kwa hadhi ya kidunia ukishaanza kuishi nae unaanza kumuona wa kawaida sana. Sasa ikitokea matarajio yako juu yake yanashindwa kutimia aisee hisia juu yake zinaanza kukutoroka. Unakuta yuko uchi mbele yako ila hata hushtuki unless uanze kujiwazia maupuuzi yako ndiyo unapata hisia za kusex tena. Ajabu upuuzi wenyewe unaouwaza labda unamuwaza x wako au pisi nyingine kabisa....
Ndoa na mtu asiye sahihi ni mzigo kwa wengi... Kuta za nyumba zetu zina siri nyingi sana
Wanaume tuna mengi ila hatuna platform za kutoa vilio vyetu ndiyo maana tunakufa sana
Mi' narusha ngumi sikubalis mnaoa ili muweze kuwatambulisha marafiki zenu mmeoa pisi ya kwenda matokeo yake ni vitu vizito, kunae mmoja aliambiwa mbele ya marafiki zake wakiambiwa wanaume watoke mbele na wewe utatoka, kwanza ukiniacha leo sikosi wakuniokota
Lazima atakuwa mabatini au ukerewe๐๐๐๐๐๐๐Jamani pole, kwani upo wapi.....
Nmecheka๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃLazima atakuwa mabatini au ukerewe๐๐๐๐๐๐๐
Pole sanaUnaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anangโaa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.
Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.
Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ila humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.
Pia kuna wanawake ni kama wana kipaji cha kumkasirisha mtu, yaani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
The best comment ever to come to my eyesMkuu hata kama unampenda huyo mwanamke usijali maneno ya watu mteme tu pambana na maisha wanawake wazuri wapo na wanazaliwa kila siku tulishapitia hayo tunaongea from experience muache ahangaike na dunia ,atazeeka na ataishia kugongwa tu ,mungu wetu ni wa haki jitahidi achana nae utamsahau tu enjoy ur life