Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Mimi binafsi sipendi kutembea na vitu vinatepeta mwilini mwangu.Nenda usijifarijiri hakuna ambae hapendi nyashi humu watu wanafarijiana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi binafsi sipendi kutembea na vitu vinatepeta mwilini mwangu.Nenda usijifarijiri hakuna ambae hapendi nyashi humu watu wanafarijiana tu.
Kwakweli dada angu nadhan huyu mwenzio anahitaji msaada, huenda mkipendwa sana mnakua mnamuona mtu mjinga.Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza. Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringowww.jamiiforums.com
Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti. Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida. Tukiwa ndani hakuna shida ila...www.jamiiforums.com
Brooo ni wewe umeoa au umeolewa???? Mbona kama sio mwanaume???
Na unaonekana unajua kupenda kweri kweriii we kama sio msukuma lazma ni mgosi.
Nampa mkeo wiki moja ajirekebishe, tofauti na hapo njoo pm 😎
Jamani pole, kwani upo wapi.....Kwakweli dada angu nadhan huyu mwenzio anahitaji msaada, huenda mkipendwa sana mnakua mnamuona mtu mjinga.
Imagine uko mbali unamuuliza mkeo "umekula, uzingatie ratiba ya kula usijeleta vidonda vya tumbo"
Ye anakwanbia " unaona nikiwa na vidonda vya tumbo ntakusumbua? Kua na amani sitakusumbua"
Na maneno hayo kama humhudumii unaweza sema hasira kwakua humhudumii, lakini wamhudumia kila kitu na hata hela yake huulizi.
I think I have to learn the bad boys tricks, ni suala la muda tu.
Hata Mimi niliwahi kuambiwa hivyo ila mpaka sasa yupo single na hajaolewa nilimuambia aache kuringia tako maana akifa inaagwa sura na sio takos mnaoa ili muweze kuwatambulisha marafiki zenu mmeoa pisi ya kwenda matokeo yake ni vitu vizito, kunae mmoja aliambiwa mbele ya marafiki zake wakiambiwa wanaume watoke mbele na wewe utatoka, kwanza ukiniacha leo sikosi wakuniokota
Sasa hapo umeongea nini? Kwani lazima kuangalia akifa? Tafuta msemo mwengineHata Mimi niliwahi kuambiwa hivyo ila mpaka sasa yupo single na hajaolewa nilimuambia aache kuringia tako maana akifa inaagwa sura na sio tako
hata yeye hajaolewa tangu aachwe ana kaz ya kijiuza viwanjaHata Mimi niliwahi kuambiwa hivyo ila mpaka sasa yupo single na hajaolewa nilimuambia aache kuringia tako maana akifa inaagwa sura na sio tako
Weekend ijayo ntakutafuta nikufariji, nkupunguzie stress au unasemaje?Dar es salam, nita Ping
My Cousin alioa mwanamke mzuri sana kwa sura, kiportable kwa umbo. Siku moja alimtambulisha kwa Kaka yangu pindi walipokuwa kwenye relationship, Kaka yangu akamsoma akamwambia Cousin, huyu mbona haeleweki, akajibiwa nitamnyoosha mbele safari.SI huwa mnasema tabia zinarekebishika,ila awe na tako
Ikikukuta hii aiseee..omba ushikwe na usingizi hapo hapo.s mnaoa ili muweze kuwatambulisha marafiki zenu mmeoa pisi ya kwenda matokeo yake ni vitu vizito, kunae mmoja aliambiwa mbele ya marafiki zake wakiambiwa wanaume watoke mbele na wewe utatoka, kwanza ukiniacha leo sikosi wakuniokota
Kwa maisha yetu, ukimuona mtu anaongea peke yake,,, waala usimcheke,, subiri ipo siku Yako. Doseeembona kama unaongea mwenyewe mkuu
Ndoa ni fumbo hutakiwi kuapa eti Hadi kifo kiwatenganishe wakati mmekutana ukubwani!!Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.
Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.
Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ila humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.
Pia kuna wanawake ni kama wana kipaji cha kumkasirisha mtu, yaani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
Nakuelewa Mkuu, na mimi nipo na shetani langu hapa, lina talent ya kunifanya nikasirike muda woteUnaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa.
Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani.
Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ila humpati. Kama hujaoa unaweza usiamini ila ndo hivyo.
Pia kuna wanawake ni kama wana kipaji cha kumkasirisha mtu, yaani mtu anakuudhi hadi point ya mwisho.
Shughuli zako hizo mwananguDawa ya mke msumbufu ni kumpiga juju tu😁
Imajini mkeo anakulaan usifanikiwe na mmezaa watoto kisa umeuza magunia 50 ya mpunga wakati kazi yake ilikuwa kuwalipa vibarua na bado umebakiza magunia 250Kila ukikaa chini kupanga mipango ya ndoa lazima ukutane na nyuzi za kutisha humu ndani.
Kuna nini huko ndani ya ndoa wakuu?
Mpe 50 na yeye auze basi yabaki 200 mkuuImajini mkeo anakulaan usifanikiwe na mmezaa watoto kisa umeuza magunia 50 ya mpunga wakati kazi yake ilikuwa kuwalipa vibarua na bado umebakiza magunia 250
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Duuh 🤣Ndoa zimekuwa za kimakalio sana currently, nina jamaa yangu kaoa mwaka jana mrangi, jamaa amekuwa ndezi ndezi kama ile timu Roas kumamoto, nitamlombea mke wake kwa sababu juzi kaweka makopa kopa kwenye picha yangu
Mahondaw na Smart hawamalizi huu mwaka
sasa kuna mwanaume mwenzenu alifanyiwa hioIkikukuta hii aiseee..omba ushikwe na usingizi hapo hapo.