Siyo kweli. Wengi wao ni viumbe wapole, wenye roho njema, wakarimu na wasio na makuu. Vimtu vyenye Ph.D za viburi na makasirikio yasiyo hata na sababu ni hivyo vimbaumbau na vifulati skrini vyenu. Makalio yasisingiziwe please!
Mkuu hata kama unampenda huyo mwanamke usijali maneno ya watu mteme tu pambana na maisha wanawake wazuri wapo na wanazaliwa kila siku tulishapitia hayo tunaongea from experience muache ahangaike na dunia ,atazeeka na ataishia kugongwa tu ,mungu wetu ni wa haki jitahidi achana nae utamsahau tu enjoy ur life
Kabiiiiiiiiiisa kaka anakaaje ndani na mtu anamdorishia kha! Yani umelala nayo unaiona hii hapa ila bilabila ndo Mambo gani hayo! Huyo Sio dadake asee apige chini! Avute chombo kingine
Kabiiiiiiiiiisa kaka anakaaje ndani na mtu anamdorishia kha! Yani umelala nayo unaiona hii hapa ila bilabila ndo Mambo gani hayo! Huyo Sio dadake asee apige chini! Avute chombo kingine
s mnaoa ili muweze kuwatambulisha marafiki zenu mmeoa pisi ya kwenda matokeo yake ni vitu vizito, kunae mmoja aliambiwa mbele ya marafiki zake wakiambiwa wanaume watoke mbele na wewe utatoka, kwanza ukiniacha leo sikosi wakuniokota
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza. Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti. Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona aibu kua mimi ni mume wake, simply kwa sababu naonekana wa kawaida. Tukiwa ndani hakuna shida ila...
www.jamiiforums.com
Brooo ni wewe umeoa au umeolewa???? Mbona kama sio mwanaume???
Na unaonekana unajua kupenda kweri kweriii we kama sio msukuma lazma ni mgosi.
Nampa mkeo wiki moja ajirekebishe, tofauti na hapo njoo pm 😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.