Usijidanganye ati hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haitekelezwi Tanzania

Usijidanganye ati hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haitekelezwi Tanzania

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nimeona baadhi ya wadau wakitoa maoni ati Kwa Hapa nyumbani TANZANIA hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haipo.
Kwamba ipo kwenye makaratasi ya hukumu tu

Wanasiasa wanawadanganya ati hawawezi kusaini hati ya kunyonga😅😃 yaani mwanasiasa anayemuuwa mpinzani, mpiga kelele tu aone huruma kusaini kuuwa mtu mhaini, gaidi, muuaji n.k Huwa wanasaini na waharifu hunyongwa tu

Ni hivi hukumu ya kunyongwa hadi kufa huwa inatekelezwa vizuri tu

Waliohukumiwa Huwa wananyongwa, usijidanganye eti itafanya uhalifu upate hukumu hii halafu mbadala kiwe kifungo cha maisha

Mtu akihukumiwa kifo, Huwa anapewa wasaa wa kukata rufaa na rufaa ikishinda adhabu hii Huwa inatekelezwa

Waliohukumiwa adhabu ya kifo huitwa vipusa huko gerezani, na hukaa selo bila kutoka nje hata kuota jua, chakula na huduma nyingine huwa zinawakuta humo

Gereza maarufu la kunyongea ni Isanga Dodoma, wafungwa waliokutwa na hatia husafishwa hadi Isanga Dodoma na kunyongwa

Askari walio ajiriwa kutimiza wajibu huu wapo na Huwa kazi Yao ya kunyonga wanaifanya vizuri

Kuweni makini epukeni jinai mbaya kama uhaini, ugaidi, murder case, ukatili n.k ili uepuke adhabu hii mbaya

Sio kila kitu utaambiwa bayana
 
Ni hivi hukumu ya kunyongwa hadi kufa huwa inatekelezwa vizuri tu

Waliohukumiwa Huwa wananyongwa, usijidanganye eti itafanya uhalifu upate hukumu hii halafu mbadala kiwe kifungo cha maisha

Mtu akihukumiwa kifo, Huwa anapewa wasaa wa kukata rufaa na rufaa ikishinda adhabu hii Huwa inatekelezwa

Waliohukumiwa adhabu ya kifo huitwa vipusa huko gerezani, na hukaa selo bila kutoka nje hata kuota jua, chakula na huduma nyingine huwa zinawakuta humo
Tuliambiwa marais hawataki kusaini hizo hukumu
 
Nimeona baadhi ya wadau wakitoa maoni ati Kwa Hapa nyumbani TANZANIA hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haipo.
Kwamba ipo kwenye makaratasi ya hukumu tu

Wanasiasa wanawadanganya ati hawawezi kusaini hati ya kunyonga😅😃 yaani mwanasiasa anayemuuwa mpinzani, mpiga kelele tu aone huruma kusaini kuuwa mtu mhaini, gaidi, muuaji n.k Huwa wanasaini na waharifu hunyongwa tu

Ni hivi hukumu ya kunyongwa hadi kufa huwa inatekelezwa vizuri tu

Waliohukumiwa Huwa wananyongwa, usijidanganye eti itafanya uhalifu upate hukumu hii halafu mbadala kiwe kifungo cha maisha

Mtu akihukumiwa kifo, Huwa anapewa wasaa wa kukata rufaa na rufaa ikishinda adhabu hii Huwa inatekelezwa

Waliohukumiwa adhabu ya kifo huitwa vipusa huko gerezani, na hukaa selo bila kutoka nje hata kuota jua, chakula na huduma nyingine huwa zinawakuta humo

Gereza maarufu la kunyongea ni Isanga Dodoma, wafungwa waliokutwa na hatia husafishwa hadi Isanga Dodoma na kunyongwa

Askari walio ajiriwa kutimiza wajibu huu wapo na Huwa kazi Yao ya kunyonga wanaifanya vizuri

Kuweni makini epukeni jinai mbaya kama uhaini, ugaidi, murder case, ukatili n.k ili uepuke adhabu hii mbaya

Sio kila kitu utaambiwa bayana
vipi Bageni tayari amenyongwa Mkuu?
 
Nimeona baadhi ya wadau wakitoa maoni ati Kwa Hapa nyumbani TANZANIA hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haipo.
Kwamba ipo kwenye makaratasi ya hukumu tu

Wanasiasa wanawadanganya ati hawawezi kusaini hati ya kunyonga😅😃 yaani mwanasiasa anayemuuwa mpinzani, mpiga kelele tu aone huruma kusaini kuuwa mtu mhaini, gaidi, muuaji n.k Huwa wanasaini na waharifu hunyongwa tu

Ni hivi hukumu ya kunyongwa hadi kufa huwa inatekelezwa vizuri tu

Waliohukumiwa Huwa wananyongwa, usijidanganye eti itafanya uhalifu upate hukumu hii halafu mbadala kiwe kifungo cha maisha

Mtu akihukumiwa kifo, Huwa anapewa wasaa wa kukata rufaa na rufaa ikishinda adhabu hii Huwa inatekelezwa

Waliohukumiwa adhabu ya kifo huitwa vipusa huko gerezani, na hukaa selo bila kutoka nje hata kuota jua, chakula na huduma nyingine huwa zinawakuta humo

Gereza maarufu la kunyongea ni Isanga Dodoma, wafungwa waliokutwa na hatia husafishwa hadi Isanga Dodoma na kunyongwa

Askari walio ajiriwa kutimiza wajibu huu wapo na Huwa kazi Yao ya kunyonga wanaifanya vizuri

Kuweni makini epukeni jinai mbaya kama uhaini, ugaidi, murder case, ukatili n.k ili uepuke adhabu hii mbaya

Sio kila kitu utaambiwa bayana
Hii taarifa ipuuzwe
 
Nimeona baadhi ya wadau wakitoa maoni ati Kwa Hapa nyumbani TANZANIA hukumu ya kunyongwa hadi kufa Huwa haipo.
Kwamba ipo kwenye makaratasi ya hukumu tu

Wanasiasa wanawadanganya ati hawawezi kusaini hati ya kunyonga😅😃 yaani mwanasiasa anayemuuwa mpinzani, mpiga kelele tu aone huruma kusaini kuuwa mtu mhaini, gaidi, muuaji n.k Huwa wanasaini na waharifu hunyongwa tu

Ni hivi hukumu ya kunyongwa hadi kufa huwa inatekelezwa vizuri tu

Waliohukumiwa Huwa wananyongwa, usijidanganye eti itafanya uhalifu upate hukumu hii halafu mbadala kiwe kifungo cha maisha

Mtu akihukumiwa kifo, Huwa anapewa wasaa wa kukata rufaa na rufaa ikishinda adhabu hii Huwa inatekelezwa

Waliohukumiwa adhabu ya kifo huitwa vipusa huko gerezani, na hukaa selo bila kutoka nje hata kuota jua, chakula na huduma nyingine huwa zinawakuta humo

Gereza maarufu la kunyongea ni Isanga Dodoma, wafungwa waliokutwa na hatia husafishwa hadi Isanga Dodoma na kunyongwa

Askari walio ajiriwa kutimiza wajibu huu wapo na Huwa kazi Yao ya kunyonga wanaifanya vizuri

Kuweni makini epukeni jinai mbaya kama uhaini, ugaidi, murder case, ukatili n.k ili uepuke adhabu hii mbaya

Sio kila kitu utaambiwa bayana

Ni kweli kabisa kwamba huwa haitekelezwi kwa Watu wengi sana ambao tayari wamehukumiwa na Mahakama. Ni wachache Sana kupita kiasi huwa adhabu hii inatekelezwa, hasa wale Watu ambao kwa namna moja au nyingine walihusika Kuvuruga maslahi binafsi ya Watawala au Kuna Mgongano wa maslahi dhidi ya Mtu fulani mwenye madaraka au mwenye ushawishi wa kisiasa huku uraiani. Hao wamekuwa walkimalizwa kimya kimya kwa mbinu za kimedani wakati wakiwa korokoroni.
 
Gereza la Isanga, ambalo lipo Dodoma, Tanzania, halihusiki na unyongaji wa wafungwa. Tanzania kwa ujumla haitekelezi adhabu ya kifo kwa kunyonga licha ya kuwa adhabu hiyo ipo kisheria. Kwa muda mrefu, hukumu za kifo zimekuwa zikitolewa lakini hazitekelezwi, kwani marais wa Tanzania mara nyingi hawasaini amri za utekelezaji wa adhabu hiyo.

Badala yake, wafungwa wanaopata adhabu ya kifo hubaki gerezani kwa muda usiojulikana, mara nyingi wakihukumiwa kifungo cha maisha badala ya kunyongwa.
 
Gereza la Isanga, ambalo lipo Dodoma, Tanzania, halihusiki na unyongaji wa wafungwa. Tanzania kwa ujumla haitekelezi adhabu ya kifo kwa kunyonga licha ya kuwa adhabu hiyo ipo kisheria. Kwa muda mrefu, hukumu za kifo zimekuwa zikitolewa lakini hazitekelezwi, kwani marais wa Tanzania mara nyingi hawasaini amri za utekelezaji wa adhabu hiyo.

Badala yake, wafungwa wanaopata adhabu ya kifo hubaki gerezani kwa muda usiojulikana, mara nyingi wakihukumiwa kifungo cha maisha badala ya kunyongwa.
Pole sana
 
Back
Top Bottom