Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajanyongwa muda mrefu..Nyuma ya gereza la isanga kuna makaburi ya wafungwa walio nyongwaga kitambo, ila hakuna makaburi mapya sijui wanazikia wapo sikuizi kama kwel bado wananyonga.
Basi acha upotoshaji, hao wanasubiri kuchukuliwa na Mola tuData Sina
Acha maneno weka muziki.Mkuu usijidanganye
Ntumie M-pesa nimuhonge JPM mana yeye ndo yupo hapo getini 😎Bora wewe mkuu mimi nime kwama hapa mawinguni hata mbinguni sija fika ,ufisadi upo hadi kwenye kamba za kunyongea
2020 Aliyekuwa Raisi wa Tanzania Late Magufuli - aliwabadilishia adhabu wafungwa zaidi ya 200, Waliohukumia kunyongwa - kupewa kifungo cha Maisha.Hawajanyongwa muda mrefu..
mtanzania.co.tz
Huwa kinaitwa kitengo maalumu ukichaguliwa huko tyrOmba kazi jeshi la Magereza
Wana vitengo vyao
Unaweza kupewa hicho
Kumechangamka,kumechangamka! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Yah n kweli kabisa mkuu, mwenyewe juzi kati nilinyongwa huko Dodoma, ila waliniudhi kwann waninyonge na kamba ya ng'ombe muda wote hadi huku mbinguni nilipo nanuka harufu ya mbolea.
Justice doneBaada ya kunyogwa what next?
Na venye hajatoa evidence ndo itupiliwe mbali kabisa iende ikiendangaHii taarifa ipuuzwe
Life sentence and death penalty are are almost less the sameGereza la Isanga, ambalo lipo Dodoma, Tanzania, halihusiki na unyongaji wa wafungwa. Tanzania kwa ujumla haitekelezi adhabu ya kifo kwa kunyonga licha ya kuwa adhabu hiyo ipo kisheria. Kwa muda mrefu, hukumu za kifo zimekuwa zikitolewa lakini hazitekelezwi, kwani marais wa Tanzania mara nyingi hawasaini amri za utekelezaji wa adhabu hiyo.
Badala yake, wafungwa wanaopata adhabu ya kifo hubaki gerezani kwa muda usiojulikana, mara nyingi wakihukumiwa kifungo cha maisha badala ya kunyongwa.
We jinga kabisaPunguza ujuaji kijana.chunguza kiasi walau upate majibu sio kuandika maneno ya juu juu tu,
Tafuta mahojiano ya mzee ambae kazi yake ilikua ni jinyonga gereza la Isanga hapo dodoma iko you tube utaelewa wananyonga Au Lah,
Sasa nikuamini wewe ambae ushahidi huna?We jinga kabisa
We unadhani ukweli wote umewekwa YouTube au google