kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Jidanganyeni tuGereza la Isanga, ambalo lipo Dodoma, Tanzania, halihusiki na unyongaji wa wafungwa. Tanzania kwa ujumla haitekelezi adhabu ya kifo kwa kunyonga licha ya kuwa adhabu hiyo ipo kisheria. Kwa muda mrefu, hukumu za kifo zimekuwa zikitolewa lakini hazitekelezwi, kwani marais wa Tanzania mara nyingi hawasaini amri za utekelezaji wa adhabu hiyo.
Badala yake, wafungwa wanaopata adhabu ya kifo hubaki gerezani kwa muda usiojulikana, mara nyingi wakihukumiwa kifungo cha maisha badala ya kunyongwa.
Watu wananyongwa vizuri tu,na sio Isanga pekee wanaponyongewa,kuna geraza la Uyui na Luanda napo ni sehemu ambazo adhabu hii huwa inatekelezwa.
Hakuna Rais ambae hajasaini watu kunyongwa.
Jiwe yeye alisaini wale waliokua wanaua albino kipindi flani,same to mama nae amefuata nyendo hizo za jiwe.kikwete yeye aliondoa wale majambazi sugu waliokua wanatikisa miaka flani huko nyuma.
Kwa kifupi watu wanakula vitanzi kimya kimya ila serikali huwa haitoi taarifa za kweli.
Kwa pale jeshi la magereza kazi ya kunyonga huwa inaitwa kazi maalumu,kuna watu mpaka huwa wanaenda kuroga kupata hiki kitengo coz kina maslahi mazuri.