Usijifiche kama hujaridhika mweleze mpenzi wako "awajibike"

Tatizo wasichana wengi ni waoga kuongea ukweli mbele ya bf wao...Ndiyo maana baadhi yetu huwa tunatumia uwezo wetu binafsi kuelewa matatizo yao.! Wengi wao huishia kwenda kupiga soga kwa mashoga zao kuhusu karaha wanazopata kutoka kwa bf wao

Enhee hapo ndipo hupata ushauri kwanini usiwe na mwingine atakayekutosheleza?
Na watu wengi huamini ushauri wa marafiki anaingia huko.
Ila kama mngeongea angefunguka sana na hali ingekuwa tofauti.
 
hafundishwi mtu hapa kwa hiyo mimi ni chuo cha mapenzi.mfundishe wa kwako ili akagegede vizuri
 
ICHANA kuna watu kweli wagumu sijui wabishi hata sielewi.
Mapenzi ni kufundishana, kwanini msipeane raha bhana.
 
Tenda hii barafu wangu Bantu lady,,naona tuanzishe darasa sasa nyumbani!Ila kila mwanafunzi aje na mwenzie!

Umeonaee hubby wangu, sisi tutafanya kwa vitendo wanafunzi watafuatisha tunachofundisha.
Umekula lakini honey? luv u.
 
Last edited by a moderator:
Hivi unaanzaje kumwambia mwanaume kuwa hujaridhika na game ukithubutu
sana sana ataona kama umemdharau tu
dawa ni kuendelea ku act kakukuna
mengineyo yanabaki kuwa siri ya mtungi
 
Hapana Eli79 si wanawake kufikishwa tu, hapa nimeongelea kwa wote wanawake na wanaume.
Amini usiamini kuna wanaume wanalalamika kuhusu wanawake wao kutopata kile anachotarajia.
Bantu lady, nimekuelewa...naelewa mahitaji ya watu wanapokuwa faragha. Ni lazma kuwa wazi na kuambiana pale inapotokea mmoja kutoridhika. Lakini pia si kutoridhishwa tu, hata mtu akikupa kitu roho inapenda sema "asante mpenzi, leo umenipa raha ya ajabu" au maneno unayodhani yatamfanya ajisikie furaha.

hayo mangine nilosema, i was being me.. i enjoy playing around..
 
Last edited by a moderator:
Umeonaee hubby wangu, sisi tutafanya kwa vitendo wanafunzi watafuatisha tunachofundisha.
Umekula lakini honey? luv u.

Anhaaaaa sasa nmefurahi kugundua kua wanafunzi wenzangu mpo hapa naomba Bantu lady pa1 na Sungura wote tukutane katika darasa 1 tusome kwa pa1 kwani nyie hamtaki namie nfaulu kama nyie....??
 
Umeonaee hubby wangu, sisi tutafanya kwa vitendo wanafunzi watafuatisha tunachofundisha.
Umekula lakini honey? luv u.

Ni kweli Sweet maana kila siku malalamiko hayaishi hoo sifikishwi sifikishwi!Nishawaambia kila mtu aje na mpenzi wake tuwape shule!Nimekula honey,kimvua kinanyesha basi natamani nitoroke kazini nirudi nyumbani,tufanye rehesall jinsi tutakavyokuwa tunawafundisha wanafunzi!
 
Hivi unaanzaje kumwambia mwanaume kuwa hujaridhika na game ukithubutu
sana sana ataona kama umemdharau tu
dawa ni kuendelea ku act kakukuna
mengineyo yanabaki kuwa siri ya mtungi

Dear mapenzi ni ya wawili, ni lazima utamjua tabia mpenzi wako. Huwezi mmemaliza tu ukaanza kumwambia hata sijaridhika hapana.
Mnaweza anza weka utaratibu wa kuongea mnachopenda na msivyopenda wakati wa sex. Kama kweli mnapendana kwa dhati hamuwezi endelea kuact, labda km mtu yuko kimaslahi tu.
 
naa kweli shostito wangu NTERNTIONAL MECHI tena LEUGUE ooooh UEFA Lazima sheria 17 sifuatwe pale ndo kila kitu

haha umeona enhee zile za kumaliza wakimbilia kichupi wapi na wapi........sheria lazima zifuatwe
 

Kabisa lazima mtu kujenga tabia ya kushukuru hata kwa vitu vidogo. Ni raha sana ukiwa na mtu mkaelewana mkawa mnaongea lugha moja.
 
Last edited by a moderator:
...haha..watamani nikufikishe kilele kipi? manake naambiwa viko viwili..
nitakuja vingunguti kwa simba leo jioni, lol

kila siku na ahadi zako....tukifika kilele cha Kibo mie basi nitakua nimeridhika
 
Anhaaaaa sasa nmefurahi kugundua kua wanafunzi wenzangu mpo hapa naomba Bantu lady pa1 na Sungura wote tukutane katika darasa 1 tusome kwa pa1 kwani nyie hamtaki namie nfaulu kama nyie....??

Tupange tu darasa linaanza lini, mimi na mume wangu tuko tayari kabisa. Mi nataka ufaulu kupitiliza mpaka wifi yangu aone nyotanyota hewani.
 
Mimi npo tayari hata leo jioni na hii hali ya hewa si unaiona ama we haupo mjini daslaamaaa
 

Pole my sweetheart vumilia tu bado muda mchache urudi, ukumbuke leo tunaenda kanisani tukapakwe majivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…