Usiku huu warusi wakusanyika kupinga Victory say kuhusishwa na uvamizi wa Putin Ukraine, wasema amepotosha historia yao

Usiku huu warusi wakusanyika kupinga Victory say kuhusishwa na uvamizi wa Putin Ukraine, wasema amepotosha historia yao

Kila May 9 uwa ni siku ya ushindi wa USSR ambao unahusisha Ukraine, Russia, Macedonia, Hungary (Kosovo) Lithuania , Estonia na jumuiya yoote ilokuwa ya USSR, ushindi huo uwa siyo wa Urusi bali wa Jumuiya yote kusherekea kumbu kumbu maalumu ya WW2.

Wamejitokeza wanawake ambao wamesema kwamba “Путін помиляється, цей день перемоги СРСР проти Гітлера і нацистів не для приниження в Україні, яке закінчилося втратою нашої нації у війні”

Maana yake kwamba

Putin is wrong , this victory day is of USSR against Hitler and Nazi not for Humiliation in Ukriane which ended up in to loss of our Nation in the war

Wengi wamesema ni bora wauwawe Lakin siyo kupindisha ukweli juu ya historia yao,

Wakati huo huo madaktari wanaotarajia kumfanyia upasuaji Putin wamewekwa kwenye chumba maalumu kukagua mawasiliano yao! Simu Zote, e-mail, waliokutana nao baada ya vita kuanza, na miamala kwenye account zao za benk sehemu zinakotoka, pia nchi walizotembelea karibuni Kwa kuwekewa biometric screening’s…
Video yaja



Britanicca
Usipochukua tahadhari utapata uchizi
 
Hivi we jamaa unanufaika nao vip Hawa nato inaonekana ni kaz unayolipwa kabasi unatumia nguvu nyingi sana
Green card, lazima aitumikie Yaweza kuwa masharti. Alijazishwa fomu kibao hadi kuipata hiyo green Card.
 

Usiku huu warusi wakusanyika kupinga Victory say kuhusishwa na uvamizi wa Nduli Putin Ukraine, wasema amepotisha historia yao!​

Rekebisha hapo kwny heading iwe:
'.... victory day' siyo victory say !
Pia: '..amepotosha' siyo amepotisha!
 
Hivi we jamaa unanufaika nao vip Hawa nato inaonekana ni kaz unayolipwa kabasi unatumia nguvu nyingi sana
Analipwa ili aje aisifie nato kwa kina iringakwanza na members wengine wa JF. Nato itakuwa inafanya marketing kupata wanachama wapya kutoka huku JF.
 
Kila May 9 uwa ni siku ya ushindi wa Urusi ambao unahusisha Ukraine, Russia, Macedonia, Hungary (Kosovo) Lithuania , Estonia na jumuiya yoote ilokuwa ya USSR, ushindi huo uwa siyo wa Urusi bali wa Jumuiya yote kusherekea kumbu kumbu maalumu ya WW2.

Wamejitokeza wanawake ambao wamesema kwamba “Путін помиляється, цей день перемоги СРСР проти Гітлера і нацистів не для приниження в Україні, яке закінчилося втратою нашої нації у війні”

Maana yake kwamba

Putin is wrong , this victory day is of USSR against Hitler and Nazi not for Humiliation in Ukriane which ended up in to loss of our Nation in the war

Wengi wamesema ni bora wauwawe Lakin siyo kupindisha ukweli juu ya historia yao,

Wakati huo huo madaktari wanaotarajia kumfanyia upasuaji Putin wamewekwa kwenye chumba maalumu kukagua mawasiliano yao! Simu Zote, e-mail, waliokutana nao baada ya vita kuanza, na miamala kwenye account zao za benk sehemu zinakotoka, pia nchi walizotembelea karibuni Kwa kuwekewa biometric screening’s…
Video yaja

Britanicca

View attachment 2217435
Upo so obsessed with hate na Russia, mpaka naona una ugonjwa wa akili
 
[emoji91][emoji91][emoji91]Macron said that the process of Ukraine's admission to the EU could take several years, even decades urraaaaaaaaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Putin ni MTU WA hovyo Tu pamoja na propaganda zake bado hali yake kiafya,kisaikolojia, kiuchumi hajakaa Sawa hata kidogo.
Baada ya hii vita amejiweka pabaya kwenye uraisi wake hajui kesho yake atakuwa wapi wala ataishia vipi ili kumaliza vita
Ametembea kwa dk 21 kutoka alipokuwa amekaa mpaka kwenda kuweka maua kwenye makaburi ya mashujaa..

Alafu unasema kiafya hayupo sawa.??

Biden anaweza kutembea kwa dk hizo.??
 
Back
Top Bottom