cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
hahaaa cheusi hapo umenichekesha, inaonekana ungeukia ukutani akikugusa tu vipepsi vingemuhusu, ungempiga vipepsi mpaka akome.kwa kweli kama hivi ninavyojisikia leo,mafua na homa juu,kila sehemu inaniuma,hata pazia likinigusa napatwa na hasira,ningekua nimeolewa sijui ingekuaje leo maana ningegeukia zangu ukutani.
Hata hivyo sio lazima mfanye kila siku,kuna siku mtu hajisikii.kuna siku mnaweza kuongea tu mambo matatmu matamu bila actions,hayo pia ni mapenzi lkn ukitaka kila siku mmmh haiwezekani.
hahaaaa mi leo nijichekee tu, kwa hiyo mshkaji anakosa hata mbinu, hiyo yakutaa pengine ni staili ya mbuzi kagoma kwenda.Ukiona hivyo ujue kachoka na kifo cha mende. Try a different posture, like spoons in the drawer....... LOL
Wataalam,
Baada ya kupata mamboz katika threaad zilizopita na zikafanya kazi vema, Ngoja tena JF iendelee kujenga Ndoa.
Hapa tena kuna hili; Usiku umeusubiri kwa hamu kubwa, umefika. Mmefiak 6 x6 , na unahitaji kula tunda, lakini mwenzio kakugeuzia mgongo, na kumanzishia anajigeuza kwa kutotaka. Je ufanyeje??
Au ni ruhusa kubaka??? (hasa kama mkeo)
N la pili je, Kwa afya Ni mara ngapi kwa Siku/ au kwa wikki?? au kila siku
hahaaa cheusi hapo umenichekesha, inaonekana ungeukia ukutani akikugusa tu vipepsi vingemuhusu, ungempiga vipepsi mpaka akome.
Maboresho muhimu ati, ugali unaweza kuliwa na mboga nyingi tu. Ugali maharwe kilasiku unachosha.......hahaaaa mi leo nijichekee tu, kwa hiyo mshkaji anakosa hata mbinu, hiyo yakutaa pengine ni staili ya mbuzi kagoma kwenda.
Mwingine anakuambia nimechoka kila siku,akifika toka kazini anaanza kulalamika amechoka,anaangalia tamthilia,majambos hataki kutoa miezi hata miwili na wewe hutaki kumlazimisha lakini unabembeleza kila siku mpaka unakata tamaa utafanyeje? mpaka ndoa inakuwa kama kifungo
mara moja kwa wiki mbili so marambil kwa mwez
zngatia giza totoroooooo (only night)na chumba kifungwe wakat mna doo
Na kweli wengi hawako normal ..............hahahhuyo hana feeling na wewe,au au kama sivyo atakuwa na matatizo mengine lakn atakua hayuko normal.
Na kweli wengi hawako normal ..............hahah
Sisemi ni normal .........kama hujaingia ndani ukiingia utuambie ...............LOLhivi kukataa kumpa tendo mumeo kwa miezi miwili ni kawaida kweli?
Haya bwana mambo ya kufundwa hayo, mh lakini wewe unaonyesha kumbe staki na taka angebeleza 2 ungekumbuka mahusia ya kufundwa ukakubali wewee.haha usinichekeshe, vipepsi vya kudeka lakini,angeishia kusoma plate number ila vipepsi kwa laaziz nilikatazwa unyagoni.
Sisemi ni normal .........kama hujaingia ndani ukiingia utuambie ...............LOL
Mh ikifikia hapo, nikujiandaa kutengana vyumba then baada yakutengana mazoea yanabaki au kila mmoja ajiju. Si kawaida.hivi kukataa kumpa tendo mumeo kwa miezi miwili ni kawaida kweli?
Halafu jamaa anaonyesha king'ang'a ndo mana ananyimwa, sikuzingine angejifanya kupotezea na yeye, halafu kifo cha mende kina maliza nywele kichogoni.Maboresho muhimu ati, ugali unaweza kuliwa na mboga nyingi tu. Ugali maharwe kilasiku unachosha.......