professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 350
uongo, nyama kwa nyama tamu sanamm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma
Hivi PEP zinauzwaje??tuanze na hilo kwanzaWakuu habari.
Kama nilivyo wasanua Jana kuwa nimeanza pep within 72 hrs, aisee usiku wa Leo nimeota ndoto za ajabu sana.
Nime Amka hapa mwili mzima una nuka pep TLD.
Aiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma
Sijui inakuwaje na hayo yanayokusibu, ila najua mambo mengi ukiyafikiria sana hata immune ya mwili wako inashuka na unaweza jiletea mengine ambayo umejitakia. Nakushauri ujitahidi kutulia jiweke bizi na mengine na siku ziende. Hayo ya ndoto nilimsoma mtu kakuambia kwa ule Uzi wako kuwa yatakujia usishangae Wala kushtuka.. hivyo kuwa strong umalize siku. Pole na kila la kheri
We ni wakala wa STD's?uongo, nyama kwa nyama tamu sana
utapumzika kidogo tu
hapana, ila dozi ya pep ikiisha, abdallah kichwa wazi akarudi kwenye usukani, ni mwendo wa kulowekaWe ni wakala wa STD's?
Mwamba anasema akimaliza dozi ngono ndio bye byehapana, ila dozi ya pep ikiisha, abdallah kichwa wazi akarudi kwenye usukani, ni mwendo wa kuloweka
Utarudia tuAiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma
ah wapi, muda utasemaMwamba anasema akimaliza dozi ngono ndio bye bye
labda akikateUtarudia tu
Wanasemaga hivyo hivyoAiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma.
SIKAZIIFANYA UOE
Anakufaa huyu kwenye kile chama chakoah wapi, muda utasema
Hata wale KE wanaochezaga dry then period ichelewe, siku akiiona uwa anaapia harudii tena kucheza dry… ila nikumbie tu, utasahau na utakuja kurudiaAiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma.
kile chama kama unakaa Tabata au Sinza, hakikufaiAnakufaa huyu kwenye kile chama chako
tafsiri ya hiyo ndroto ni rahisi sana....Wakuu habari.
Kama nilivyowasanua, jana kuwa nimeanza pep within 72 hrs, aisee usiku wa leo nimeota ndoto za ajabu sana.
Nimeamka hapa mwili mzima una nuka pep TLD.
Aiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma.
Aoe tu maana ni bora kuliko kutokufanya kabisaSIKAZII