uongo, nyama kwa nyama tamu sana
utapumzika kidogo tu
uongo, nyama kwa nyama tamu sana
utapumzika kidogo tu
kapumzika kidogo tu huyuNgoja upwiru urudi
Hata mm nilisema hvyo lkn kiko wapi japo nimepunguza ile speed ya wanawake now nimekuwa mtu wa ibada sanaWakuu habari.
Kama nilivyowasanua, jana kuwa nimeanza pep within 72 hrs, aisee usiku wa leo nimeota ndoto za ajabu sana.
Nimeamka hapa mwili mzima una nuka pep TLD.
Aiseee kama pep ikiisha nikapima nikawa negative mm na ngono itakuwa ni maji na moto nimekoma.
Heri Yako mkuuHata mm nilisema hvyo lkn kiko wapi japo nimepunguza ile speed ya wanawake now nimekuwa mtu wa ibada sana
Nakumbuka hata mimi baada ya kutupiwa Gono nilisema sipigi kavu tena, ila baada ya raund mbili tatu nikajikuta nimesahauuongo, nyama kwa nyama tamu sana
utapumzika kidogo tu