kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,678
Aliambia abakishe maneno akajidai mzoefu wa kutapika, leo atayalamba mataposhi yake mwenyewe
Mimi sio shabiki wa diamond na Kiba, ila huwa nashangaa sana mtu anapomfananisha au kumlinganisha diamond na Kiba, wapo level tofauti mno yaani. How can someone ACT that blind😓