Usiku wa deni hauchelewi. Likizo ya RC Makonda inakaribia ukingoni


Kwa hiyo Warioba alipigwa na nani?
 
Ndio
 
Unajua wewe unaweza kuwa zero brain zaidi ya huyo Bashite, so unataka kila mmoja lazima ashike hivyo vyeo vya kisiasa? Mkiambiwa kuwa nyie ni wajinga mnasema mmetukanwa, sasa mtu anakataa kuwa Bashite siyo zero brain kwa sababu tu amewahi shika vyeo vya kisiasa. Pathetic
 
Wewe stress zinakusumbua tu! Inawezekana ulikuwa hulali unabundi ukafikiri ndio utayaweza maisha. Umekija kwenye uhalisia unashangaa Makonda aliyesoma "Evening Class" Pamba Secondary ndio anatoboa! Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…