Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi pia ni mwana Thiiiiimba lakin nipo dar ila akili ipo KigaliHivi kwanini wanasimba wenzangu hatuongelei timu yetu ,tumeitelekeza huko Ndola Zambia, ajabu mimi nipo Kigali huku sijui nmefikaje
Hivi kwanini wanasimba wenzangu hatuongelei timu yetu ,tumeitelekeza huko Ndola Zambia, ajabu mimi nipo Kigali huku sijui nmefikaje
Mwananchi utamjua tu!! hata ajaribu kuvunga vipi!Mkuu mimi pia ni mwana Thiiiiimba lakin nipo dar ila akili ipo Kigali
Si umepanda bus la mseleleko la clouds fmHivi kwanini wanasimba wenzangu hatuongelei timu yetu ,tumeitelekeza huko Ndola Zambia, ajabu mimi nipo Kigali huku sijui nmefikaje
Rage aliwahi kusema mashabiki ni mbumbumbu kwahiyo usishangae.Hivi kwanini wanasimba wenzangu hatuongelei timu yetu ,tumeitelekeza huko Ndola Zambia, ajabu mimi nipo Kigali huku sijui nmefikaje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumekucha!
Mwisho wa kuucheza mpira mdomoni ilikuwa jana. Leo tunasubiri vitendo, zile 5 mlizokuwa mnafunga kwa mechi ya mdomon ubavu mnao wa kuzifunga kwenye dimba la ukweli?
Mchamba mbuzi kama mchamba mbuziKumekucha!
Mwisho wa kuucheza mpira mdomoni ilikuwa jana. Leo tunasubiri vitendo, zile 5 mlizokuwa mnafunga kwa mechi ya mdomon ubavu mnao wa kuzifunga kwenye dimba la ukweli?
We kolo njo utubu dhambi zako [emoji16]Kumekucha!
Mwisho wa kuucheza mpira mdomoni ilikuwa jana. Leo tunasubiri vitendo, zile 5 mlizokuwa mnafunga kwa mechi ya mdomon ubavu mnao wa kuzifunga kwenye dimba la ukweli?