Usiku wa deni haukawii kukucha, TANESCO tunawasubiri Februari 16, 2024

Usiku wa deni haukawii kukucha, TANESCO tunawasubiri Februari 16, 2024

Acha uchochezi, kwani walitaja mwaka? Au ni Tarehe na Mwezi tu 😂
 
Hizo ni ngonjera tu.
Je walisema kuwa kabla ya hiyo tarehe 16 ni kipi na kipi kilikuwa kinawakwamisha na je hiyo 16 ni kipi na kipi kitakuwa kimeongezeka(kimetengemaa)

Chukulia SGR kama mfano hai mdio utajua kama hizo ni porojo, wameshatuona watanzania ni mazombie sijui, wanajua hatuna cha kuwafanya.
 
Usiku wa deni
 

Attachments

  • Screenshot_20240215-095801_X.jpg
    Screenshot_20240215-095801_X.jpg
    854.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom