dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
haya sema lingineHauwezi. Haijawahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya sema lingineHauwezi. Haijawahi.
Kutoa ahadi za uongo kwenye mambo ya kitaalam tena ukiwa unevaa suti, ni matumizi mabovu ya vazi la heshima..
Side cutter iko wapi?haya sema lingine
combination pliers hiyo, side cutter na hapo mwishoni kabisa kwenye makaliSide cutter iko wapi?
Unakaribia kucha mlongo😅
Kosa sio TENESCO Kosa ni sisi wananchi tumekaa kimya sana sio ukimya wa mdomo bali ukimya wa Vitendo tulitakiwa twende kwa waziri atupe jibu kwa nini hakuna Umeme ?AHADI ISIYOTEKELEZWA,NI MZIGO WA LAWAMA
1.Tuliambiwa,tatizo la umeme ni upungufu wa maji kwenye mabwawa,Mungu akaleta mvua ya kutosha,bado ikatafutwa sababu nyingine.
2.Tuliambiwa,tatizo litaisha tukiwasha mtambo katika mradi mpya wa bwawa la Nyerere,siku zikifika,wanasogeza tarehe mbele,utasikia sababu zingine,Mwezi Machi ndio shida itaisha kabisa..
Katika aibu,Serikali ione aibu ya kushindwa kujisimamia kwa kukosekana kwa umeme wa uhakika,huku Viongozi wakijitoa ufahamu kama vile ni suala dogo tu.,huku wakujua ukuaji wa uchumi unategemea umeme.
Wanànchi wanawangalia tu,mnatoa sababu zinazobadilika badilika kila siku bila hata aibu.
Mbona kama mnashindwa kudhibiti mambo yanayowaumiza wananchi;mnaacha bei zinapanda kiholela,hata hatua za udhibiti wa bei za bidhaa.
Hili la upungufu wa umeme tunawasubiri.
Sasa hivi tumeambiea March.
Tuwe na subira na matumaini kama ambavyo tunasubiri Mtume kurudi duniani.