Muda si mrefu watakataIkiwa ni tarehe 15 ya February ni takribani masaa pungufu ya 24 kufikia tarehe 16, Je tutegemee ngonjera za kila siku na sababu zisizo na kichwa wala miguu au tujipe matumaini ya kuiona nchi ya ahadi[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo swala sahau hadithi ingine utapewa kaa mkao wa kula mgao unaendelea na mama yuko vatikan anazurura.Hilo hatutaki kujua mkuu, tumesubiri muda umewadia watupe umeme wetu.
mie ni fundi mchundo wa umemedronedrake Mhandisi wa Stiglers Gorge lini mnawasha?
Hauwezi. Haijawahi.mie ni fundi mchundo wa umeme
Mdeni wangu mbona kwako hakukuchi[emoji134]Ahadi ni deni
Usiku wa deni haukawii kucha