Usiku wa deni haukawii kukucha, TANESCO tunawasubiri Februari 16, 2024

Kuna jamaa anafanya kazi Bwawa la umeme Rufiji....kitu alichoniambia kuhusu mradi huo daahh!! Hatari saana bora nikae kmya tu maana sina mwanasheria
 
Kosa sio TENESCO Kosa ni sisi wananchi tumekaa kimya sana sio ukimya wa mdomo bali ukimya wa Vitendo tulitakiwa twende kwa waziri atupe jibu kwa nini hakuna Umeme ?
 
Sasa hivi tumeambiea March.
Tuwe na subira na matumaini kama ambavyo tunasubiri Mtume kurudi duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…