Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muziki gani mboni sielewi? Watazificha wapi sura zao au ndio wamehamia kwa Rick Ross kujifariji?Ni tuzo hizi za mziki mzee
Labda wakimaliza Nigeria wanaenda Ghana, Bongo au South Africa wanamalizana na Nigeria kwanza
Alafu wangeandika -Best Nigerian Performance wasitupangeBest African performance
Nadhani haku ipeleka labda, maana ili fanya POA aisee
Hamna hawamo kabisaDiamond harmonise kiba zuchu vp
Wamo nao
Ova
Kaka mbona Kuna wasanii wa nchi nyingine washa Wai chukua??Alafu wangeandika -Best Nigerian Performance wasitupange
Ulitaka Watz wawepoHizo category wangeziita tu za Nigeria maana kusema africa naona ni kama kujichosha tu.
Kaka fatilia utaonaMuziki gani mboni sielewi? Watazificha wapi sura zao au ndio wamehamia kwa Rick Ross kujifariji?
Wao wanafikiri hizo tuzo ziko kama zile za mchangani wanazopewagaSasa Kama ham qualify wafanye nini??,
[emoji117] Angelique kidjo ali mshinda Wizkid, wakati hatoki nigeria[emoji848][emoji38]
Una mjua Angelique kidjo, vipi na Hawa wame toka Nigeria wote??Hii ni Nigeria Grammy Awards sio Africa Grammy Awards
Huku mpaka utoe kitu Cha kueleweka aisee, Angelique kidjo ali chukuaga mbele ya wiz kid.Wao wanafikiri hizo tuzo ziko kama zile za mchangani wanazopewaga
Wasani waoo
Ova
Umeona kiuono tu😆😆, Nyimbo yake yenyewe kaimba orgasm tu🤣🤣Tylar anachukua sio kwa kiuno kile🙌
Malaya wa tabata wana ngoma nje nje mzee.Vishu Mtata AME sema kaukumbuka uharibifu was sabuni😆😆
Ko una tumia mkono wa kushoto na kulia ipasavyo😆🤣Malaya wa tabata wana ngoma nje nje mzee.
American fans dance in joy as Nigerian singer Davido gives them the performance of a lifetime at the Grammy Award's partner show with BMI in the US. 🇺🇸🇳🇬🔥Give it up for Damini Ogulu
Our boy's out there getting that recognition
Gbemi Trabaye
Kwanza mwanetu anaperform leo🤣
View attachment 2894265