Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #61
NdioHawakupeleka kazi zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioHawakupeleka kazi zao
South Africa wamewakilishwa na Tayla, kuwepo wasanii ni suala moja, wanaimba nini ni suala jingine kabisa!Unamaanisha South Africa hakuna wasanii hata Bongo tuna nini hatuna waimbaji Muziki?
Kwa hio ni mmoja TU inamaana hapa wameshindwa kumchukua hata yule Rema wa Bongo DeVoice wakamweka humo?South Africa wamewakilishwa na Tayla, kuwepo wasanii ni suala moja, wanaimba nini ni suala jingine kabisa!
Km hivyo sawaNdio
Zetu sometimes Zina kosa ujumbe, halafu hata uki compare music production ni majanga tuNyimbo za bongo aibu hata kuwapa tuzo
Mara utasikia Ilambe iteleze kama nyoka pangoni, mara utasikia ikalie izame ndani, mara utasikia kinautelezi, mara mtoto kangaroo tako ndembe ndembe... duh na mengine nimeshindwa kuandika hii nchi inatishaaaaaaaa
Mh d voice🤣😆, Bora hata single again ya konde boyKwa hio ni mmoja TU inamaana hapa wameshindwa kumchukua hata yule Rema wa Bongo DeVoice wakamweka humo?
Labda tuandae tuzo za watombaji boraZetu sometimes Zina kosa ujumbe, halafu hata uki compare music production ni majanga tu
Hata style ya music production ni majanga, beat na Nyimbo zetu ni kuunga unga.South Africa wamewakilishwa na Tayla, kuwepo wasanii ni suala moja, wanaimba nini ni suala jingine kabisa!
Yani nahisi bongo ni channel ya kichekesho mbinguni😆🤣Labda tuandae tuzo za watombaji bora
Wao Si wanaangalia nyimbo kaliMh d voice🤣😆, Bora hata single again ya konde boy
Unataka kusema Sisi hatuna show Bora?Hata style ya music production ni majanga, beat na Nyimbo zetu ni kuunga unga.
👉Kuna category ya show Bora, hapo hatu paswi hata kuongeleaa 😆🤣
Issue si Nyimbo Kali tu, Kuna mauzo, genre, lyrics 🤔Wao Si wanaangalia nyimbo kali
Sisi genre ya Singeli Si IPO au haujui kwamba tuna mdundo wetu wa taifa?Issue si Nyimbo Kali tu, Kuna mauzo, genre, lyrics 🤔
Show zetu ni za kiwaki 😆🤣🤣, live peformer ni wa kuhesabu.Wewe sema Sisi hatuna show mbovu?
Mambo ni mengi bro, sema Mwaka huu upinzani mkubwa.Duh!
Nilikuwa hata sijui!
Haya mambo nishaachana nayo zamani sana.
I mean, of all people, eti habari kama hii ninaipata JF 😀.