Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio wanakwambia walianza na mtaji wa yai moja saivi wana kuku af mojaKila mtu anasema tujiajiri, hakuna anaefundisha namna ya kujiajiri
Kwakweli siwapendi nyie motivation speakers
Mkuu mshamba😀Kila mtu anasema tujiajiri, hakuna anaefundisha namna ya kujiajiri
Kwakweli siwapendi nyie motivation speakers
Yeah fanya biashara zingine ikifikia hatua biashara zinauhitaji muda wako na zinaingiza pesa zaidi ya ajira yako huo ndo muda sahihi wa kuachana na ajira lakini siyo kukurupukaWewe ndo umetema madini sasa... Hela haiachwi kwa namna Yoyote ile
Hakuna model ya uchumi wa kileo inayoruhusu kila mtu kujiajiri. Au hata majority ya watu kuwa wamejiajiri.Kila mtu anasema tujiajiri, hakuna anaefundisha namna ya kujiajiri
Kwakweli siwapendi nyie motivation speakers
Hawa ndio wanakwambia walianza na mtaji wa yai moja saivi wana kuku af moja
Hongereni wabunge.Nakazia + allowances kama zote
AsanteHongereni wabunge.
Wakianza kuuza kelele zinaanzaAnzisha kitu.
Tumia mitandao kujitangaza.
Jifunze kuuza.
Aibu zako na hofu acha 2023.
Ego yako weka kando.
Ujuaji wako weka kule.
Yeah ni kweliYeah fanya biashara zingine ikifikia hatua biashara zinauhitaji muda wako na zinaingiza pesa zaidi ya ajira yako huo ndo muda sahihi wa kuachana na ajira lakini siyo kukurupuka