Usikubali kulipwa mshahara maisha yako yote, kataa

Usikubali kulipwa mshahara maisha yako yote, kataa

USIKUBALI KULIPWA MSHAHARA MAISHA YAKO YOTE… KATAA🧠

“A salary is a drug they give you when they want you to forget about your dreams" ... Kevin O'Leary

Vipi unakubali au unakataa?

REPOST Wengi Wajifunze 🙏

...Huu ni ukweli mchungu kuhusu mshahara 👇

✔️Kama Unalipwa Mshahara Maana yake Unabeba Risk Kidogo Mno.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake hauna cha kupoteza.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake, iko siku utakuwa nje ya mfumo na maisha yataendelea.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake unavuja jasho ili mwingine atajirike.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake, una-sacrifice ratiba zako zikubalike kwe boss wako.

...Sisemi kuajiriwa na kubaya.

Hapana.

Wengi tumepita kwenye kuajiriwa ili kujisimamisha kimaisha, kujitafuta na kujifunza ujuzi wa muhimu.

Kama unaajiriwa basi iwe kwa muda mfupi.

Nenda kaajiriwe kwa ajili yakukusanya maarifa na ujuzi.

Usiende kuajiriwa kwa ajili ya kutajirika.

SHida inanzia hapa:

95% ya watu wanasoma kwa bidi ili waje wapate kazi nzuri.

Hwa wote wanataka kuajiriwa.

Haa wote hawataki kutake risk.

Wote wanataka kulipwa mishahara.

Ukikubali kulipwa mshahara, basi uekubali kutumika ili wengine waishi ndoto zao.

Mwingine atakwambia, oh watu wote hawawezi kujiajiri.

Sasa wewe ndo umeumbwa kuwa mwajiriwa?
Kwanini, usiajiri wewe?

...TUSIBWETEKE.

Kuajiriwa iwe ni ngazi na sehemu ya kwenda kuiba maujuzi.

Jifunze biashara, systems, wateja, products n.k

Usiedne kuajiriwa ukiwa unawaza utajiri.

My friend, hakuna utajiri kwenye kuajiriwa.

Kitu ambacho hakina risk, kikupe utajiri.

Never, kwa sauti ya Magu.

...Sema Kuajiriwa kutamu sana.

Unalipwa mshahara.

Hubebi risk ya hasara za kampuni.

Hasara ziwepo zisiwepo,
wewe mwisho wa mwezi unakunja mfukoni.

Amazing, sio?

What a feeling inapofika tarehe 21+

Furaha inarudi maishani.

Mshahara ukiisha tena,
unaanza kuwaza mwisho wa mwezi.

Na wengine, wengi tu,
mishahara inatumiwa kabla haijatoka.

Yaani ile unatoka, ushaisha kitambo.

Naam,

Haya ndio maisha ya wafanyakazi wengi.

Na ukweli ni kwamba,

Huwezi kutajirika kwa kuajiriwa na kutegemea mshahara huo huo.

Ulipe: bills, chakula, na mahitaji mengine +
kusaidia wanaokutegemea.

Huwezi kutoboa kwa kutegemea mshahara.

HAIWEZEKANI.

Labda wachache sana, waliofanikiwa kufika level za juu za mishahara.

Wengi wanaishia paycheck to paycheck.

Ni muda sasa wa kukataa utumwa.

Karibuni kwenye ulingo wetu wa kujitafuta na kuanza kujitegemeza kwa kujifunza ujuzi, biashara na maarifa mapya ili kupanua wigo wa kuingiza kipato.

Haya ndio maisha.

Sisemi uache kazi.

Nasema,

Anza kufikiria kuzalisha.

Si umeajiriwa?

Anza kufikiria vipi kama wewe ndio ungekuwa unalipa watu mishahara?

Vipi ungekuwa unajipangia ratiba za maisha?

Vipi ungekuwa unawaza tu kukuza zaidi kampuni lako?

Ukianza kuajiri maana yake, unatumia nguvu za watu wengine (cheap labor) kukusaidia kunyanyuka kiuchumi. Hii ni chungu kuisikia, lakini ndo uhalisia na ukweli. Ndo mfumo wa ubepari. Ndo maana matajiri watahakikisha wanakulipa the lowest amount possible ili tu kuhakikisha faida yao inakuwa juu.

ITAKUWAJE KAMA?

Utakuwa mzalishaji na kuanza kuongeza uwezo wako wa kipato na kukua kiuchumi.

Uhuru wa kifedha hautoki kwenye mshahara tu.

Unahitaji kufanya mishe zingine kuzalisha na kuongeza kipato.

Mambo yakikubali, sasa unaacha na kazi.

SASA NI MUDA MWAFAKA KUANZA KUZALISHA...

- Bidhaa

- Huduma

- Chochote utakachouza kwa jina lako.

Anything man!

Ilimradi tu, huvunji sheria.

Muhimu kuongeza thamani kwenye maisha ya watu.

Kwanini kukubali daima kuwa chini ya mtu na wewe kushindwa kabisa kutanua mbawa zako?

Imagini kila siku kuamka kwenda kumsaidia jamaa kuwa tajiri zaidi?

Haikuumi?

Hata kama ni mtumishi wa umma, same!

Naval anasema,
kila mtu ni brand na biashara na inawezekana kabisa.

Anzisha kitu.

Tumia mitandao kujitangaza.

Jifunze kuuza.

Aibu zako na hofu acha 2023.

Ego yako weka kando.

Ujuaji wako weka kule.

2024 ni mwaka wa kuchapa kazi.

MUNGU awabariki Sana
Kwa kifupi mshahara ni mbegu
 
USIKUBALI KULIPWA MSHAHARA MAISHA YAKO YOTE… KATAA[emoji3447]

“A salary is a drug they give you when they want you to forget about your dreams" ... Kevin O'Leary

Vipi unakubali au unakataa?

REPOST Wengi Wajifunze [emoji120]

...Huu ni ukweli mchungu kuhusu mshahara [emoji116]

[emoji3581]Kama Unalipwa Mshahara Maana yake Unabeba Risk Kidogo Mno.

[emoji3581]Kama Unalipwa Mshahara maana yake hauna cha kupoteza.

[emoji3581]Kama Unalipwa Mshahara maana yake, iko siku utakuwa nje ya mfumo na maisha yataendelea.

[emoji3581]Kama unalipwa mshahara maana yake unavuja jasho ili mwingine atajirike.

[emoji3581]Kama unalipwa mshahara maana yake, una-sacrifice ratiba zako zikubalike kwe boss wako.

...Sisemi kuajiriwa na kubaya.

Hapana.

Wengi tumepita kwenye kuajiriwa ili kujisimamisha kimaisha, kujitafuta na kujifunza ujuzi wa muhimu.

Kama unaajiriwa basi iwe kwa muda mfupi.

Nenda kaajiriwe kwa ajili yakukusanya maarifa na ujuzi.

Usiende kuajiriwa kwa ajili ya kutajirika.

SHida inanzia hapa:

95% ya watu wanasoma kwa bidi ili waje wapate kazi nzuri.

Hwa wote wanataka kuajiriwa.

Haa wote hawataki kutake risk.

Wote wanataka kulipwa mishahara.

Ukikubali kulipwa mshahara, basi uekubali kutumika ili wengine waishi ndoto zao.

Mwingine atakwambia, oh watu wote hawawezi kujiajiri.

Sasa wewe ndo umeumbwa kuwa mwajiriwa?
Kwanini, usiajiri wewe?

...TUSIBWETEKE.

Kuajiriwa iwe ni ngazi na sehemu ya kwenda kuiba maujuzi.

Jifunze biashara, systems, wateja, products n.k

Usiedne kuajiriwa ukiwa unawaza utajiri.

My friend, hakuna utajiri kwenye kuajiriwa.

Kitu ambacho hakina risk, kikupe utajiri.

Never, kwa sauti ya Magu.

...Sema Kuajiriwa kutamu sana.

Unalipwa mshahara.

Hubebi risk ya hasara za kampuni.

Hasara ziwepo zisiwepo,
wewe mwisho wa mwezi unakunja mfukoni.

Amazing, sio?

What a feeling inapofika tarehe 21+

Furaha inarudi maishani.

Mshahara ukiisha tena,
unaanza kuwaza mwisho wa mwezi.

Na wengine, wengi tu,
mishahara inatumiwa kabla haijatoka.

Yaani ile unatoka, ushaisha kitambo.

Naam,

Haya ndio maisha ya wafanyakazi wengi.

Na ukweli ni kwamba,

Huwezi kutajirika kwa kuajiriwa na kutegemea mshahara huo huo.

Ulipe: bills, chakula, na mahitaji mengine +
kusaidia wanaokutegemea.

Huwezi kutoboa kwa kutegemea mshahara.

HAIWEZEKANI.

Labda wachache sana, waliofanikiwa kufika level za juu za mishahara.

Wengi wanaishia paycheck to paycheck.

Ni muda sasa wa kukataa utumwa.

Karibuni kwenye ulingo wetu wa kujitafuta na kuanza kujitegemeza kwa kujifunza ujuzi, biashara na maarifa mapya ili kupanua wigo wa kuingiza kipato.

Haya ndio maisha.

Sisemi uache kazi.

Nasema,

Anza kufikiria kuzalisha.

Si umeajiriwa?

Anza kufikiria vipi kama wewe ndio ungekuwa unalipa watu mishahara?

Vipi ungekuwa unajipangia ratiba za maisha?

Vipi ungekuwa unawaza tu kukuza zaidi kampuni lako?

Ukianza kuajiri maana yake, unatumia nguvu za watu wengine (cheap labor) kukusaidia kunyanyuka kiuchumi. Hii ni chungu kuisikia, lakini ndo uhalisia na ukweli. Ndo mfumo wa ubepari. Ndo maana matajiri watahakikisha wanakulipa the lowest amount possible ili tu kuhakikisha faida yao inakuwa juu.

ITAKUWAJE KAMA?

Utakuwa mzalishaji na kuanza kuongeza uwezo wako wa kipato na kukua kiuchumi.

Uhuru wa kifedha hautoki kwenye mshahara tu.

Unahitaji kufanya mishe zingine kuzalisha na kuongeza kipato.

Mambo yakikubali, sasa unaacha na kazi.

SASA NI MUDA MWAFAKA KUANZA KUZALISHA...

- Bidhaa

- Huduma

- Chochote utakachouza kwa jina lako.

Anything man!

Ilimradi tu, huvunji sheria.

Muhimu kuongeza thamani kwenye maisha ya watu.

Kwanini kukubali daima kuwa chini ya mtu na wewe kushindwa kabisa kutanua mbawa zako?

Imagini kila siku kuamka kwenda kumsaidia jamaa kuwa tajiri zaidi?

Haikuumi?

Hata kama ni mtumishi wa umma, same!

Naval anasema,
kila mtu ni brand na biashara na inawezekana kabisa.

Anzisha kitu.

Tumia mitandao kujitangaza.

Jifunze kuuza.

Aibu zako na hofu acha 2023.

Ego yako weka kando.

Ujuaji wako weka kule.

2024 ni mwaka wa kuchapa kazi.

MUNGU awabariki Sana

Watumishi waumma nao wafanyeje?wakajiajiri wote ukiumwa utatibiwa na nani?
 
Kila mtu anasema tujiajiri, hakuna anaefundisha namna ya kujiajiri

Kwakweli siwapendi nyie motivation speakers
[emoji16][emoji16]
1706330573605.jpg
 
Mkuu mshamba[emoji3]

Kama umekulia familia za biashara hili jambo ni kawaida.

Robert kiyosaki alikuwa akichukia Kwanini baba yake tajiri alikuwa hamlipi na akienda kumuuliza anamjibu “you need to figure out “

Mjasiliamali yeyote anafikiri nje ya box, si lazima uanze kuambiwa fanya hivi fanya hivi.

Njoo kariako uone watoto waki kinga wanavyojua kufanya biashara.

Mtoa mada yupo sahihi sana, mshahara ni utumwa
Mishahara ni utumwa kwa nchi ambazo hazijajipanga na hazina maono .
 
Hakuna model ya uchumi wa kileo inayoruhusu kila mtu kujiajiri. Au hata majority ya watu kuwa wamejiajiri.

Watu wanachukulia mambo simple.

Ukweli ndio huo.

Wote tukijiajiri mahakama zitaendeshwa na nani? Ofisi za Polisi zitaendeshwa na nani? Hospitali za umma zitaendeshwa na nani? Shule za serikali zitaendeshwa na nani? Kazi za bandari zitaendeshwa na nani? Ofisi zote za serikali zitaendeshwa na nani?

Haya, tuseme watu wanaofanya kazi ofisi ya serikali ya kutoa vibali vya kuanzisha biashara wote wasikilize ushauri huu, waache kazi na kuanzisha biashara zao, na watu wengine wasi apply kazi hizo za serikali, kwa sababu wamesikia ushauri huu na wao wanataka kuanzisha biashara zao.

Nani atatoa vibali vya serikali vya kuanzisha biashara mpya ikiwa hao wafanyakazi wa serikali wa kutoa vibali vya kuanzisha biashara wote wameacha kazi na kwenda kuanzisha biashara zao?

Ushauri huu ukifuatwa na watu wengi utaangusha uchumi.

Hii model basically ina abolish government and all government services. How do you run a modern country without a government?

That will give us absolute chaos.

Maisha si mshahara au mafanikio ya pesa tu, kuna walimu wanapata satisfaction kubwa sana kwa kujua kwamba wanafundisha kizazi kijacho, wanaheshimiwa na jamii, at least wanatakiwa kuheshimiwa na jamii, hata kama mshahara wao si mkubwa sana.

Kuna madaktari wanafanya kazi serikali ya Tanzania kwenye mshahara mdogo licha ya kuweza kwenda nchi nyingine kwenye mshahara mkubwa, au kuweza kuanzisha practices zao, kwa sababu wanaona ratio ya madaktari kwa population nyumbani kwao Tanzania ni ndogo sana. Na wengine wanaamua kutokuanzisha oractices zao na kwenda vijijini huko ambako hakuna privilege wala services nzuri, ili waweze kuhudumia watu wa vijijini zaidi.

Hiyo model mnayohubiri ya majority self employed population inaonesha hata nyie wenyewe hamna akili ya kuelewa uchumi huo hautakuwa sustainable.

Hakuna nchi yoyote duniani iliyoweza kufanya mfumo huo.

Yani mnahubiri kitu ambacho kitaiumiza jamii nzima na kuwaumiza hata nyie wenyewe.

Inaonekana mnahubiri vitu ambavyo hamjavifikiria kwa kina.
[emoji817]
 
Hakuna model ya uchumi wa kileo inayoruhusu kila mtu kujiajiri. Au hata majority ya watu kuwa wamejiajiri.

Watu wanachukulia mambo simple.

Ukweli ndio huo.

Wote tukijiajiri mahakama zitaendeshwa na nani? Ofisi za Polisi zitaendeshwa na nani? Hospitali za umma zitaendeshwa na nani? Shule za serikali zitaendeshwa na nani? Kazi za bandari zitaendeshwa na nani? Ofisi zote za serikali zitaendeshwa na nani?

Haya, tuseme watu wanaofanya kazi ofisi ya serikali ya kutoa vibali vya kuanzisha biashara wote wasikilize ushauri huu, waache kazi na kuanzisha biashara zao, na watu wengine wasi apply kazi hizo za serikali, kwa sababu wamesikia ushauri huu na wao wanataka kuanzisha biashara zao.

Nani atatoa vibali vya serikali vya kuanzisha biashara mpya ikiwa hao wafanyakazi wa serikali wa kutoa vibali vya kuanzisha biashara wote wameacha kazi na kwenda kuanzisha biashara zao?

Ushauri huu ukifuatwa na watu wengi utaangusha uchumi.

Hii model basically ina abolish government and all government services. How do you run a modern country without a government?

That will give us absolute chaos.

Maisha si mshahara au mafanikio ya pesa tu, kuna walimu wanapata satisfaction kubwa sana kwa kujua kwamba wanafundisha kizazi kijacho, wanaheshimiwa na jamii, at least wanatakiwa kuheshimiwa na jamii, hata kama mshahara wao si mkubwa sana.

Kuna madaktari wanafanya kazi serikali ya Tanzania kwenye mshahara mdogo licha ya kuweza kwenda nchi nyingine kwenye mshahara mkubwa, au kuweza kuanzisha practices zao, kwa sababu wanaona ratio ya madaktari kwa population nyumbani kwao Tanzania ni ndogo sana. Na wengine wanaamua kutokuanzisha oractices zao na kwenda vijijini huko ambako hakuna privilege wala services nzuri, ili waweze kuhudumia watu wa vijijini zaidi.

Hiyo model mnayohubiri ya majority self employed population inaonesha hata nyie wenyewe hamna akili ya kuelewa uchumi huo hautakuwa sustainable.

Hakuna nchi yoyote duniani iliyoweza kufanya mfumo huo.

Yani mnahubiri kitu ambacho kitaiumiza jamii nzima na kuwaumiza hata nyie wenyewe.

Inaonekana mnahubiri vitu ambavyo hamjavifikiria kwa kina.
Hao polisi na madaktari wanatakiwa wafanye kazi miaka 10-15 watafute mitaji wajiajiri,then wawaachie graduates nao watafanya hivyo hivyo wataawaachia wengine,
Hapo hakutakua na tatizo la ajira sababu vijana weng wataajiriwa,halaf pia wafanyabiashara hawatafilisika sababu kutakua na purchasing power kubwa toka kwa hao vijana.
Simple mathematics
 
USIKUBALI KULIPWA MSHAHARA MAISHA YAKO YOTE… KATAA🧠

“A salary is a drug they give you when they want you to forget about your dreams" ... Kevin O'Leary

Vipi unakubali au unakataa?

REPOST Wengi Wajifunze 🙏

...Huu ni ukweli mchungu kuhusu mshahara 👇

✔️Kama Unalipwa Mshahara Maana yake Unabeba Risk Kidogo Mno.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake hauna cha kupoteza.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake, iko siku utakuwa nje ya mfumo na maisha yataendelea.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake unavuja jasho ili mwingine atajirike.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake, una-sacrifice ratiba zako zikubalike kwe boss wako.

...Sisemi kuajiriwa na kubaya.

Hapana.

Wengi tumepita kwenye kuajiriwa ili kujisimamisha kimaisha, kujitafuta na kujifunza ujuzi wa muhimu.

Kama unaajiriwa basi iwe kwa muda mfupi.

Nenda kaajiriwe kwa ajili yakukusanya maarifa na ujuzi.

Usiende kuajiriwa kwa ajili ya kutajirika.

SHida inanzia hapa:

95% ya watu wanasoma kwa bidi ili waje wapate kazi nzuri.

Hwa wote wanataka kuajiriwa.

Haa wote hawataki kutake risk.

Wote wanataka kulipwa mishahara.

Ukikubali kulipwa mshahara, basi uekubali kutumika ili wengine waishi ndoto zao.

Mwingine atakwambia, oh watu wote hawawezi kujiajiri.

Sasa wewe ndo umeumbwa kuwa mwajiriwa?
Kwanini, usiajiri wewe?

...TUSIBWETEKE.

Kuajiriwa iwe ni ngazi na sehemu ya kwenda kuiba maujuzi.

Jifunze biashara, systems, wateja, products n.k

Usiedne kuajiriwa ukiwa unawaza utajiri.

My friend, hakuna utajiri kwenye kuajiriwa.

Kitu ambacho hakina risk, kikupe utajiri.

Never, kwa sauti ya Magu.

...Sema Kuajiriwa kutamu sana.

Unalipwa mshahara.

Hubebi risk ya hasara za kampuni.

Hasara ziwepo zisiwepo,
wewe mwisho wa mwezi unakunja mfukoni.

Amazing, sio?

What a feeling inapofika tarehe 21+

Furaha inarudi maishani.

Mshahara ukiisha tena,
unaanza kuwaza mwisho wa mwezi.

Na wengine, wengi tu,
mishahara inatumiwa kabla haijatoka.

Yaani ile unatoka, ushaisha kitambo.

Naam,

Haya ndio maisha ya wafanyakazi wengi.

Na ukweli ni kwamba,

Huwezi kutajirika kwa kuajiriwa na kutegemea mshahara huo huo.

Ulipe: bills, chakula, na mahitaji mengine +
kusaidia wanaokutegemea.

Huwezi kutoboa kwa kutegemea mshahara.

HAIWEZEKANI.

Labda wachache sana, waliofanikiwa kufika level za juu za mishahara.

Wengi wanaishia paycheck to paycheck.

Ni muda sasa wa kukataa utumwa.

Karibuni kwenye ulingo wetu wa kujitafuta na kuanza kujitegemeza kwa kujifunza ujuzi, biashara na maarifa mapya ili kupanua wigo wa kuingiza kipato.

Haya ndio maisha.

Sisemi uache kazi.

Nasema,

Anza kufikiria kuzalisha.

Si umeajiriwa?

Anza kufikiria vipi kama wewe ndio ungekuwa unalipa watu mishahara?

Vipi ungekuwa unajipangia ratiba za maisha?

Vipi ungekuwa unawaza tu kukuza zaidi kampuni lako?

Ukianza kuajiri maana yake, unatumia nguvu za watu wengine (cheap labor) kukusaidia kunyanyuka kiuchumi. Hii ni chungu kuisikia, lakini ndo uhalisia na ukweli. Ndo mfumo wa ubepari. Ndo maana matajiri watahakikisha wanakulipa the lowest amount possible ili tu kuhakikisha faida yao inakuwa juu.

ITAKUWAJE KAMA?

Utakuwa mzalishaji na kuanza kuongeza uwezo wako wa kipato na kukua kiuchumi.

Uhuru wa kifedha hautoki kwenye mshahara tu.

Unahitaji kufanya mishe zingine kuzalisha na kuongeza kipato.

Mambo yakikubali, sasa unaacha na kazi.

SASA NI MUDA MWAFAKA KUANZA KUZALISHA...

- Bidhaa

- Huduma

- Chochote utakachouza kwa jina lako.

Anything man!

Ilimradi tu, huvunji sheria.

Muhimu kuongeza thamani kwenye maisha ya watu.

Kwanini kukubali daima kuwa chini ya mtu na wewe kushindwa kabisa kutanua mbawa zako?

Imagini kila siku kuamka kwenda kumsaidia jamaa kuwa tajiri zaidi?

Haikuumi?

Hata kama ni mtumishi wa umma, same!

Naval anasema,
kila mtu ni brand na biashara na inawezekana kabisa.

Anzisha kitu.

Tumia mitandao kujitangaza.

Jifunze kuuza.

Aibu zako na hofu acha 2023.

Ego yako weka kando.

Ujuaji wako weka kule.

2024 ni mwaka wa kuchapa kazi.

MUNGU awabariki Sana
waulize wanaofanya kazi BOT,TRA,TANAPA na mashirika mbalimbali ya UN,,,uone watakavyokushambulia,hili jambo waambie walimu,mgambo,polisi,manesi,na wafanyakazi wa halmashairi!!!,,,sawa man?
 
Hao polisi na madaktari wanatakiwa wafanye kazi miaka 10-15 watafute mitaji wajiajiri,then wawaachie graduates nao watafanya hivyo hivyo wataawaachia wengine,
Hapo hakutakua na tatizo la ajira sababu vijana weng wataajiriwa,halaf pia wafanyabiashara hawatafilisika sababu kutakua na purchasing power kubwa toka kwa hao vijana.
Simple mathematics
Si kila mtu anataka kujiajiri, si kila mtu anataka risk.

Si kila mtu anaweza kujiajiri, si kila mtu anaweza stress na risk na planning na calculations zote zinazotakiwa ili mtu apate mafanikio katika kujiajiri.

Kwa nini mnalazimisha kila mtu ajiajiri?

Unaweza kulazimisha kila mtu awe mcheza mpira professional hata kama hana kipaji cha kucheza mpira au hata mapenzi na mpira?

Hicho ndicho mnachotaka kufanya hapa.
 
Fanya kazi bure.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kuna kustaafu umesaliwaza hilo na ukishastaafu apo ndio utajua hujui
kwanini unafukua uzi 😂😂
Umemiss mshahara au huna? Ulikuwa unatafuta nini?

Ya uzee yatajisumbukia na kikokotoo babu we
 
USIKUBALI KULIPWA MSHAHARA MAISHA YAKO YOTE… KATAA🧠

“A salary is a drug they give you when they want you to forget about your dreams" ... Kevin O'Leary

Vipi unakubali au unakataa?

REPOST Wengi Wajifunze 🙏

...Huu ni ukweli mchungu kuhusu mshahara 👇

✔️Kama Unalipwa Mshahara Maana yake Unabeba Risk Kidogo Mno.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake hauna cha kupoteza.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake, iko siku utakuwa nje ya mfumo na maisha yataendelea.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake unavuja jasho ili mwingine atajirike.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake, una-sacrifice ratiba zako zikubalike kwe boss wako.

...Sisemi kuajiriwa na kubaya.

Hapana.

Wengi tumepita kwenye kuajiriwa ili kujisimamisha kimaisha, kujitafuta na kujifunza ujuzi wa muhimu.

Kama unaajiriwa basi iwe kwa muda mfupi.

Nenda kaajiriwe kwa ajili yakukusanya maarifa na ujuzi.

Usiende kuajiriwa kwa ajili ya kutajirika.

SHida inanzia hapa:

95% ya watu wanasoma kwa bidi ili waje wapate kazi nzuri.

Hwa wote wanataka kuajiriwa.

Haa wote hawataki kutake risk.

Wote wanataka kulipwa mishahara.

Ukikubali kulipwa mshahara, basi uekubali kutumika ili wengine waishi ndoto zao.

Mwingine atakwambia, oh watu wote hawawezi kujiajiri.

Sasa wewe ndo umeumbwa kuwa mwajiriwa?
Kwanini, usiajiri wewe?

...TUSIBWETEKE.

Kuajiriwa iwe ni ngazi na sehemu ya kwenda kuiba maujuzi.

Jifunze biashara, systems, wateja, products n.k

Usiedne kuajiriwa ukiwa unawaza utajiri.

My friend, hakuna utajiri kwenye kuajiriwa.

Kitu ambacho hakina risk, kikupe utajiri.

Never, kwa sauti ya Magu.

...Sema Kuajiriwa kutamu sana.

Unalipwa mshahara.

Hubebi risk ya hasara za kampuni.

Hasara ziwepo zisiwepo,
wewe mwisho wa mwezi unakunja mfukoni.

Amazing, sio?

What a feeling inapofika tarehe 21+

Furaha inarudi maishani.

Mshahara ukiisha tena,
unaanza kuwaza mwisho wa mwezi.

Na wengine, wengi tu,
mishahara inatumiwa kabla haijatoka.

Yaani ile unatoka, ushaisha kitambo.

Naam,

Haya ndio maisha ya wafanyakazi wengi.

Na ukweli ni kwamba,

Huwezi kutajirika kwa kuajiriwa na kutegemea mshahara huo huo.

Ulipe: bills, chakula, na mahitaji mengine +
kusaidia wanaokutegemea.

Huwezi kutoboa kwa kutegemea mshahara.

HAIWEZEKANI.

Labda wachache sana, waliofanikiwa kufika level za juu za mishahara.

Wengi wanaishia paycheck to paycheck.

Ni muda sasa wa kukataa utumwa.

Karibuni kwenye ulingo wetu wa kujitafuta na kuanza kujitegemeza kwa kujifunza ujuzi, biashara na maarifa mapya ili kupanua wigo wa kuingiza kipato.

Haya ndio maisha.

Sisemi uache kazi.

Nasema,

Anza kufikiria kuzalisha.

Si umeajiriwa?

Anza kufikiria vipi kama wewe ndio ungekuwa unalipa watu mishahara?

Vipi ungekuwa unajipangia ratiba za maisha?

Vipi ungekuwa unawaza tu kukuza zaidi kampuni lako?

Ukianza kuajiri maana yake, unatumia nguvu za watu wengine (cheap labor) kukusaidia kunyanyuka kiuchumi. Hii ni chungu kuisikia, lakini ndo uhalisia na ukweli. Ndo mfumo wa ubepari. Ndo maana matajiri watahakikisha wanakulipa the lowest amount possible ili tu kuhakikisha faida yao inakuwa juu.

ITAKUWAJE KAMA?

Utakuwa mzalishaji na kuanza kuongeza uwezo wako wa kipato na kukua kiuchumi.

Uhuru wa kifedha hautoki kwenye mshahara tu.

Unahitaji kufanya mishe zingine kuzalisha na kuongeza kipato.

Mambo yakikubali, sasa unaacha na kazi.

SASA NI MUDA MWAFAKA KUANZA KUZALISHA...

- Bidhaa

- Huduma

- Chochote utakachouza kwa jina lako.

Anything man!

Ilimradi tu, huvunji sheria.

Muhimu kuongeza thamani kwenye maisha ya watu.

Kwanini kukubali daima kuwa chini ya mtu na wewe kushindwa kabisa kutanua mbawa zako?

Imagini kila siku kuamka kwenda kumsaidia jamaa kuwa tajiri zaidi?

Haikuumi?

Hata kama ni mtumishi wa umma, same!

Naval anasema,
kila mtu ni brand na biashara na inawezekana kabisa.

Anzisha kitu.

Tumia mitandao kujitangaza.

Jifunze kuuza.

Aibu zako na hofu acha 2023.

Ego yako weka kando.

Ujuaji wako weka kule.

2024 ni mwaka wa kuchapa kazi.

MUNGU awabariki Sana
Jinga jingine hili linashinda njaa linawafundisha ushoga wadogo zetu
 
Jinga jingine hili linashinda njaa linawafundisha ushoga wadogo zetu
acha tu ndugu yangu,,,,yaani mimi nina watoto wawili wa kiume na wa kike wawili,lakini namwomba sana MUNGU anilindie hawa watoto wa kiume,unajua ndugu,bora mtoto wa kike akazalia nyumbani kuliko ukawa na mtoto wa kiume shoga,,,"unaweza kujiua"''''"""ee MWENYE-ENZI MUNGU tuepushe na hili BALAA!!"
 
Wewe mwenyewe ung
USIKUBALI KULIPWA MSHAHARA MAISHA YAKO YOTE… KATAA🧠

“A salary is a drug they give you when they want you to forget about your dreams" ... Kevin O'Leary

Vipi unakubali au unakataa?

REPOST Wengi Wajifunze 🙏

...Huu ni ukweli mchungu kuhusu mshahara 👇

✔️Kama Unalipwa Mshahara Maana yake Unabeba Risk Kidogo Mno.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake hauna cha kupoteza.

✔️Kama Unalipwa Mshahara maana yake, iko siku utakuwa nje ya mfumo na maisha yataendelea.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake unavuja jasho ili mwingine atajirike.

✔️Kama unalipwa mshahara maana yake, una-sacrifice ratiba zako zikubalike kwe boss wako.

...Sisemi kuajiriwa na kubaya.

Hapana.

Wengi tumepita kwenye kuajiriwa ili kujisimamisha kimaisha, kujitafuta na kujifunza ujuzi wa muhimu.

Kama unaajiriwa basi iwe kwa muda mfupi.

Nenda kaajiriwe kwa ajili yakukusanya maarifa na ujuzi.

Usiende kuajiriwa kwa ajili ya kutajirika.

SHida inanzia hapa:

95% ya watu wanasoma kwa bidi ili waje wapate kazi nzuri.

Hwa wote wanataka kuajiriwa.

Haa wote hawataki kutake risk.

Wote wanataka kulipwa mishahara.

Ukikubali kulipwa mshahara, basi uekubali kutumika ili wengine waishi ndoto zao.

Mwingine atakwambia, oh watu wote hawawezi kujiajiri.

Sasa wewe ndo umeumbwa kuwa mwajiriwa?
Kwanini, usiajiri wewe?

...TUSIBWETEKE.

Kuajiriwa iwe ni ngazi na sehemu ya kwenda kuiba maujuzi.

Jifunze biashara, systems, wateja, products n.k

Usiedne kuajiriwa ukiwa unawaza utajiri.

My friend, hakuna utajiri kwenye kuajiriwa.

Kitu ambacho hakina risk, kikupe utajiri.

Never, kwa sauti ya Magu.

...Sema Kuajiriwa kutamu sana.

Unalipwa mshahara.

Hubebi risk ya hasara za kampuni.

Hasara ziwepo zisiwepo,
wewe mwisho wa mwezi unakunja mfukoni.

Amazing, sio?

What a feeling inapofika tarehe 21+

Furaha inarudi maishani.

Mshahara ukiisha tena,
unaanza kuwaza mwisho wa mwezi.

Na wengine, wengi tu,
mishahara inatumiwa kabla haijatoka.

Yaani ile unatoka, ushaisha kitambo.

Naam,

Haya ndio maisha ya wafanyakazi wengi.

Na ukweli ni kwamba,

Huwezi kutajirika kwa kuajiriwa na kutegemea mshahara huo huo.

Ulipe: bills, chakula, na mahitaji mengine +
kusaidia wanaokutegemea.

Huwezi kutoboa kwa kutegemea mshahara.

HAIWEZEKANI.

Labda wachache sana, waliofanikiwa kufika level za juu za mishahara.

Wengi wanaishia paycheck to paycheck.

Ni muda sasa wa kukataa utumwa.

Karibuni kwenye ulingo wetu wa kujitafuta na kuanza kujitegemeza kwa kujifunza ujuzi, biashara na maarifa mapya ili kupanua wigo wa kuingiza kipato.

Haya ndio maisha.

Sisemi uache kazi.

Nasema,

Anza kufikiria kuzalisha.

Si umeajiriwa?

Anza kufikiria vipi kama wewe ndio ungekuwa unalipa watu mishahara?

Vipi ungekuwa unajipangia ratiba za maisha?

Vipi ungekuwa unawaza tu kukuza zaidi kampuni lako?

Ukianza kuajiri maana yake, unatumia nguvu za watu wengine (cheap labor) kukusaidia kunyanyuka kiuchumi. Hii ni chungu kuisikia, lakini ndo uhalisia na ukweli. Ndo mfumo wa ubepari. Ndo maana matajiri watahakikisha wanakulipa the lowest amount possible ili tu kuhakikisha faida yao inakuwa juu.

ITAKUWAJE KAMA?

Utakuwa mzalishaji na kuanza kuongeza uwezo wako wa kipato na kukua kiuchumi.

Uhuru wa kifedha hautoki kwenye mshahara tu.

Unahitaji kufanya mishe zingine kuzalisha na kuongeza kipato.

Mambo yakikubali, sasa unaacha na kazi.

SASA NI MUDA MWAFAKA KUANZA KUZALISHA...

- Bidhaa

- Huduma

- Chochote utakachouza kwa jina lako.

Anything man!

Ilimradi tu, huvunji sheria.

Muhimu kuongeza thamani kwenye maisha ya watu.

Kwanini kukubali daima kuwa chini ya mtu na wewe kushindwa kabisa kutanua mbawa zako?

Imagini kila siku kuamka kwenda kumsaidia jamaa kuwa tajiri zaidi?

Haikuumi?

Hata kama ni mtumishi wa umma, same!

Naval anasema,
kila mtu ni brand na biashara na inawezekana kabisa.

Anzisha kitu.

Tumia mitandao kujitangaza.

Jifunze kuuza.

Aibu zako na hofu acha 2023.

Ego yako weka kando.

Ujuaji wako weka kule.

2024 ni mwaka wa kuchapa kazi.

MUNGU awabariki Sana
ekuwa na kazi au biashara nzuri hata huu muda wa kupoteza kuandika ulichokiandika hapa usingeupata ila kwasababu huna kazi wala biashara ya kukuweka bize ndio maana unaandika haya
 
Back
Top Bottom