Usikubali kulipwa mshahara maisha yako yote, kataa

Wewe mwenyewe ung

ekuwa na kazi au biashara nzuri hata huu muda wa kupoteza kuandika ulichokiandika hapa usingeupata ila kwasababu huna kazi wala biashara ya kukuweka bize ndio maana unaandika haya
ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Ma mshahara ni ulaibu,unakuwa na alosto kabla haujatoka ,ukitoka unakaa sawa ukiisha alosto tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…