Usilete swaga za nai-nai uka......!!!??

Ni kweli kabisa mkuuu wakifika chuo vitu kama ugali,mihogo ,michembe wanajidai hawali


Wee mpigamsuli...
usijifanye mgumu/silid...
kwani we si ndo wale wale wa kyepe, yai, shikaki, sausage na reds baridiii...
 
Last edited by a moderator:
Wee mpigamsuli...
usijifanye mgumu/silid...
kwani we si ndo wale wale wa kyepe, yai, shikaki, sausage na reds baridiii...

Mimi mkuu ugali ndio chakula changu tangu nipo uboysini mimi starehe yangu chuo ni CLUB hapa kiukweli huniambii kitu mimi napenda kula bata la CLUB na masela dah
 
Last edited by a moderator:
Mimi mkuu ugali ndio chakula changu tangu nipo uboysini mimi starehe yangu chuo ni CLUB hapa kiukweli huniambii kitu mimi napenda kula bata la CLUB na masela dah


Kwani klabu kuna kupiga MSULI....??
Nilitegemea starehe yako iwe library, ebook nk nk
 
MSULI niliupiga advance kukesha sanaaa now nasoma kidogoo ,labda itangazwe test hapo ntakomaa sana


Hivi early in those years wakati upo uboyzini, ulikua haumvushi huyu Eshy....lol
 
Last edited by a moderator:
hahaaaa! siunajua ulimbukeni tena, we kamtu ivi unaexist kumbe? nimekutafuta kila kona cjakupata ulienda wap?

c unajua hang over ya ban inanzngua bdo!stim ndo znarud mdomdo!ulntaftia wap weye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…