Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

SEHEMU YA SITA

Ilipoishia,

Basi nikajikaza mtoto wa kiume, bibi bado kapozi kwangu, watu wote wananikodolea mimi kuona ni nini kitatokea

Endelea,

Nikiwa na mimi nimeduwaa sijui nini kitatokea, mara nikaona bibi akanivuka akaendelea kwa mwingine nikashusha pumzi kwanza maana haikuwa poa, Bibi akamaliza zoezi lake akarudi akakaa kwenye kiti chake, akaanza kuongea kwa Kiswahili sasa, kwamba kama tulivyosikia wazee walivyosema kuwa wao wameshamjua aliyechukua mali, kwahiyo ni bora airudishe tu, na tena akasisitiza kuwa yeye anajua kufunga tu kufungua hawezi kwahiyo anatoa siku tatu mali iwe imerudi kwa mwenyewe.

Akamwambia jamaa kwamba aende ila ikipita siku tatu hajaona mali yake basi arudi, bibi atampa dawa na maelekezo ya kufanya.

Basi tukaaga pale tukaondoka kurudi chuo, kwenye gari nna mawazo tu, Sauti moja inaniambia nikairudishe PC ya watu, nyingine inaniambia acha woga wewe kwani uliivyoibiwa ya kwako ulirudishiwa, Basi bana nikaziacha hizo sauti zishindane zenyewe atakaeshinda ataniambia, mi nikapitiwa na usingizi kwenye daladala nikapiga mbonji
Nakuja kushtuliwa mawasiliano, daah basi tukashuka tukapiga shortcut pale tukatokea chuo, nikafika room siku hiyo nikapiga mbonji balaa.

Basi bana kesho yake nikatia maguu paka kwa kidosho nikachkue begi langu ambalo ndo lina ile pc, nia na madhumuni nije niirudishe PC ya watu sitaki matatizo mie, Nikafika kwa kidosho nikachukua begi langu nikaanza safari kurudi chuo, ila ikabidi nizungukie Ubungo mataa maana ile short cut ya Msewe kuna mto umejaa baada ya mvua kunyesha, Haya ile nimefika mataa sauti ya kunikataza nisirudishe sijui ikaibukia wapi, ikaja na nguvu balaa ikaniambia acha ubwege wewe, kuwa na akili basi hata kidogo, yaani wewe huna Pc, alafu ushatoa laki sita kumlipa mtu PC, halafu leo unarudisha hii, Bwege kweli wewe, Daah basi pale pale nikabadili mawazo, nikadandia daladala huyoo mpaka DIT, kuna mwanangu pale tulipiga nae Pugu, nia nikifika nimwachie mwamba mzigo ule anisaidie kuusukuma (kuuza),

Basi kweli nikafika nikamkuta mwamba, tukaenda room kwake, mimi nikajifanya kama nimeenda kumtembelea tu, basi tukafika room , nikatoa PC yangu (kumbuka ndo naitoa kwa mara ya kwanza, kwahiyo sijui hata password yake) nikawaza itakuwaje sasa kwenye password, jamaa si atashtukia si yangu nikianza kuhangaika na password, nikapiga moyo konde, nikaiwasha mara lahauala Pc haina password, nikajiona kama Sterling vile nacheza movie.

Basi nikajifanya naitumia pale huku napanga jinsi ya ku muingia jamaa, Basi sijui ni nini kilitokea ila ghafla nikaona jamaa kaanza kuishobokea pc yangu, anaisifia kinyama, mara ooh portable, mara ooh ukiwa nayo mademu watakushobokea, mara akasema kama vipi anipe ile yake aniongezee na hela kidogo, nikamuuliza sh ngapi akasema laki mbilii, nikasema ndogo ( ila kimoyo moyo nasema leta hela hiyo wewe), Basi jamaa akaniomba sana, basi kishingo upande nikajifanya
nimekubali, basi jamaa Akanipa ya kwake HP nzuri tu, akanihesabia na kibunda nikasema fresh, tukafuta futa vitu pale na yeye akahamisha hamisha vitu vyake pale basi nikasepa zangu

Basi bana, zikapita siku tatu zikakata PC haijarudi, jamaa akarudi kwa bibi, akapewa dawa moja kama majivu hivi akaambiwa hiyo kila mtu ajiipake kwenye paji la uso kama njia ya msalaba vile, nyingine ni majani ayaweke juu ya mlango, yule aliyechukua labda atafute mlango wake awe anapita ila asilogwe akapita chini ya ile dawa

Basi akaja akaleta mrejesho na dawa pale tukapaka, na nyingine akaweka juu ya mlango basi tukakaa kusubiri matokeo, ila mimi nikawa nimeshajitoa muhanga liwalo na liwe siogopi mtu wala kitu, nikajipa moyo uchawi hauendi kwa mentally, Basi siku ya kwanza ikapita hola, ya pili mara wiki mara mwezi ndo ikawa imeisha hivyo hakuna chochote kilichotokea, maisha yakaendelea na jamaa akajipanga tu kutafuta pc nyingine maana hamna jinsi.

Basi shule ikaendelea shule ngumu kishenzi, mi najifanyaga mzee wa msuli tembo lakini pale nilinyoosha mikono, Ndo nikapata jibu kwanini Frank alikuwa anapataga yale matokeo (ila pale Coet nyoko sana, sjui wanakomoa wale)

Basi tukapiga test, tukamaliza UE tukafunga shule semista imeisha hiyoo, Nikabeba begi langu huyoo kijijini maana nlivyokuwa nimewamis, Basi nafika kijijini naona kumebadilika balaa, madogo niliacha wadogo saivi wakubwa, Nikakuta dogo kajenga room pale home kavuta mke eti nae kaoa, nikacheka sana, Haya maisha bana.

Basi nikakaa pale home asubuhi wanaondoka wote wananiacha home peke yangu, Sasa kuna katoto ka diwani pale tulisoma nacho msingi sema nlikaacha kama madarasa matatu hivi kalikuwa kadogo, sasa nimekuta mtoto kapevuka huyo , yaani pisi kali kwelikweli, Basi kidume kwa mara ya kwanza toka nizaliwe na mimi nikashuka nondo, mtoto akanielewa basi akawa anakuja homu, Siku ya kwanza kaja home niko peke yangu mzee nikala mzigo kwa mara ya kwanza, sitaisahau hii siku maana ili nitesa sana (nitakuja kuelezea huko mbeleni)

Basi ikawa ndo mchezo wetu, yaani kwa zile wiki mbili nlizokaa homu niliibutua sana ile mbususu

Itaendelea
 
Kaka Akili sina Usiwe mbinafsi Maliza hii Nondo!!! Bando likiisha tuambie tukutumie
 
Ungemalizia hapohapo ningesoma yote maadam umestopisha na mimi naishia hapo hapo
 
Back
Top Bottom