Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

SEHEMU YA KUMI NA SITA

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Nilikuja kupata fahamu nikajikuta nipo wodini, Nimelala kitandani nimetundikiwa drip, nimepigwa bandeji karibu kila mahali, Sa najiuliza nimefikaje fikaje pale ,Kumbu kumbu haziji kabisa, Naona tu manesi wanapita pita, watu wana pitapita,

Basi nesi mmoja akaja kwenye kitanda changu, akaangalia angalia ile drip, anataka kuondoka nikamuuliza, Nesi hapa ni wapi? Akasema pale ni Majengo hospital, Nimefikaje hapa? Akasema uliletwa hapa na polisi ukiwa na hali mbaya sana, basi akaondoka,

Sasa pale ndo kumbukumbu zikaanza kunijia, nikaanza kukumbuka matukio, Nikakumbuka wale vibaka, nikakumbuka nilivyokuwa napigwa, Daah machozi yakawa yananitoka, Nikakumbuka begi langu walichukua wale vibaka, mbaya zaidi lilikuwa na vyeti vyangu vyote kuanzia vya shule paka cheti cha kuzaliwa,

Ahhhah niliumia sana, nikasema sasa yote haya ni nini, kwanini yanitokee mimi, Basi nikamkumbuka Sity nikasema lait angekwepo angenisaidia, Nikakumbuka maneno ya Da J siku ile namwambia kwamba nataka kuondoka niende Arusha, alisema "Usiende huko Utakufa" Nikahisi Da J alifunuliwa yatakayokwenda kunikuta huko,

Basi nikakaa pale hospitali, kumbe polisi bado wananilinda, Wanakuja pale kitandani wananiangalia wanaondoka, Basi nikawa nasikia watu pale wodini wananong'onezana huku wananinyooshea kidole, Wanasema yule pale ni mwizi, Aliletwa hapa hafai ila saivi kapata nafuu, Moyoni nikawa naumia sana maana mi najua mi si mwizi, sema ndo hivyo nani ataniamini,

Basi badae nilikuja kufahamu kilichotokea siku ile, Kumbe wakati wanataka kunipiga kibiriti pale chini kumbe polisi wakatokea, Watu walivyoona polisi wakakimbia wakaniacha ndo ikawa ponea yangu, Kumbe kituo cha polisi cha majengo hakipo mbali na pale uwanjani kwaiyo polisi walipopata taarifa wakaja fasta, Basi nikatiwa kwenye gari yao wakanileta pale hospitali, kumbe hospitali yenyewe ilipo na pale uwanjani imetenganishwa na barabara tu,

Basi nilikaa sana pale hospitali, paka majeraha yakaanza kupona, polisi wapo tu na mimi hawaniachi, basi siku ya siku nikapewa ruhusa, basi polisi wakanichukua paka pale kituoni, Nikaandika maelezo pale badae wakanitia ndani kwenye kiselo chao pale kituoni , mzee baba maisha ya huko selo sitaki hata kuyasimulia,

Basi siku ya pili nikapandishwa mahakamani pale moshi mjini mahakama ya mwanzo, nikasomewa shitaka langu la kutaka kuiba kwa kutumia nguvu, Akaja askari mmoja wa kituo cha majengo kutoa ushahidi, akaelezea jinsi walivyopata taarifa, na jinsi walipofika pale wakanikuta napigwa, pia akasema dada ambaye nilitaka kumuibia pia walimpata na yeye akatoa maelezo yake,

Badae akaitwa dada aliyetaka kuibiwa na yeye atoe ushahidi, basi akapanda yule dada, akasema yeye alikuwa anakatiza pale uwanjani huku anaongea na simu, mara ghafla mimi nikatokea nikaanza kumkimbiza nataka kumnyang'anya simu, alipoona vile ndo ikabidi ajitetee kwa kukimbia na kupiga ukunga,

Basi na mimi nikaambiwa nijitetee na kama nina mashahidi pia nilete, Mi nikasema sina mashahidi nitajitetea mwenyewe, Basi nikaileza mahakama kila kitu, kuanzia nilipoenda pale shule, nilivyokimbizwa na wale vibaka, nilivyopigwa mpaka nilipojikuta hospitali,

Basi hakimu akasema kesi imeahirishwa mpaka kesho kwa ajili ya hukumu, kwa sasa nitaenda mahabusu ila milango ya dhamana ipo wazi, Nani sasa wa kuniwekea dhamana, ikabidi nipelekwe mahabusu gereza la Karanga lilopo pale moshi,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena,

Itaendelea
Pole sana
 
Muda wa chai sasa umewadia,picha la kihindi marehemu kafufukia hospitali
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
 
Asante sana genious!
Huna akili, nyie ndiyo darasani mlikuwa mnakariri tu. Umesema passport huwezi pata ndani ya siku moja ila akili yako imekwambia alipeleka passport ya kusafiria then unabisha, sasa hapo unadhani uko sawa kichwani? Ni sawa na wale wanaosema jamaa aka left group, wewe na akili zako utaanza kubisha kwa kuwa ulitaka waseme jamaa aka leave group. Akili matope hizi
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Story nzuri inapendeza
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
So touching.
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Maisha Yana safari ndefu Sana


Endelea kutupa vitu mkuu
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Sasa baada ya kusota sana bila mafanikio nikaanza kwenda kushinda kwenye beting center, Pale riverside kwa ndani kuna sehemu kulikiwa na beting ya primier pale nikawa naenda kushinda pale, Sity akinipa buku tano nabania paka inabaki jero naenda kubeti pale, kulikuwa na mpira, michezo ya namba, michezo ya mmbwa, farasi na mingine, ikawa ndo hivyo ili mradi muda uende nirudi geto nilale,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Maisha yangu yakawa magumu sana, sema namshukuru sana Sity alinipiga tafu sana, mbali na kunipa mbusu ila mambo mengine ya kimaisha alikuwa ana nisave sana, nlichokuwa nampendea si mchoyo,

Alafu anapenda kugegedwa ile mbaya, yaani mi nlikuwa siombi eti, yaan ye akija tu anajua nini cha kufanya, kuna wakati night kali ananishtua usingizini anataka mambo, basi mi najipigia tu nnavyotaka, Au mda mwingine anapika kajifunga mtandio mwepesi tu kila kitu ndani unaona, basi mzuka ukinipanda namfata pale pale jikoni ananibanjulia mzee nakula mzigo,

Daah niliinjoy sana maisha na Sity, alafu anapenda nikiwa nae nijifeel proud kuwa naye, Utakuta tunatembea barabarani mara kaniegemea mara kanishika kiuno, Au tupo sehemu tunakula anajua kabisa sina hela, basi anatoa hela ananipitishia chini ya meza kisiri siri ili nilipie mimi, Au yupo na class mate wenzake mara anilalie kifuani, daah sa haya mambo mi mtoto wa kijijini naona aibu, ila ndo hivo maisha yalikuwa,

Sasa baada ya kutafuta kazi sana bila mafanikio, kuna siku nikaona tangazo la kazi kwenye nguzo, mshahara lak 3, nikasema huu mbona unanitosha, nikachukua namba zao nikawavutia waya, wakanielekeza wapi walipo, wakasema ni Tabata kinyerezi kesho niende, basi kesho yake nikabeba cv zangu huyoo, sina hata mia mfukoni, hivyo ikabidi nikanyage kwa mguu, ni mbali kichizi ila nikafika, kuna nyumba ina geti jeusi,

Nikaelekezwa nikaingia, basi nikawapa cv zangu pale wakasema watanipigia, nikatoka nikarudi paka tabata mataa pale nikashika njia naelekea vetenari hapo, kuna sheli ya Oil com pale nliona tangazo lao nao wana kazi,

Basi nikakanyaga paka nikafika , nikamuulizia jamaa anauza mafuta pale akaniambia hakuna tangazo kama hilo, hao ni matapeli ndo wanabandika hayo matangazo, tena nna bahati nimeenda mwenyewe ningewapigia lazima wangenitapeli, nikasema poa, nikaondoka nikarudi hadi tazara, nikashika njia kuelekea kiwanda cha soda cha pepsi, nikakanyaga nikafika, nikaacha cv yangu pale kwa walinzi nikaondoka, kwa vile kampuni ya tata ipo maeneo yale nako nikaenda ingawa wao wakasema wanatumiaga zaidi agents kupata wafanyakazi ila nikawaomba tu wachukie cv yangu huwez jua huko mbele,basi wakachukua,

Nikaanza sasa safari ya kurudi geto, hapo miguu inauma balaa, Nikafika geto nimechoka vibaya sana nikaishia kulala, nakuja kushtuliwa na Da J kanletea msosi, akaniambia we vipi unalala lala una mimba, au upo period, unajua tena Da J tunataniana,

Mi namwambiaga yaan we siku ukiingia kwenye 18 zangu nakupinda nakula mzigo huo na nna kupa mimba siku hiyohiyo, anasema aaaah wapi wewe, labda usubiri nimekufa, basi tunataniana hivyo yaan, ni mdada flani kanizidi age ila ni mcheshi sana alafu yupo simple,

Basi nikala nikalala siku ikaisha, basi maisha yangu yakawa hivyo, kutembea kutoka geto hadi posta na kurudi kwangu kawaida sana,

Basi kesho yake wale jamaa wakanicheki, wakasema kesho yake niende asubuhi na barua ya mwenyekiti wa mtaa na passport, nikafanya mpango nikapata hivyo vitu, kesho yake nikadamka mapema sana ili niwahi kufika pale, nikakanyaga kama kawaida yangu, nikafika pale , kuingia nakuta vijana wengi wamepanga mstari kama jeshini vile, wanapiga jaramba na mazoezi, basi mi nikapita nikaenda huko ndani, Nikakutana na meneja pale akanihoji hoji pale, mara akamwita jamaa mmoja akamwambia anipe mafunzo, basi nikaenda na yule jamaa,

Kutoka nje nakuta nawengine nao wanatawanyika wamebeba mifuko yao, mabeseni na vyombo, na sisi tukabeba yetu, nikasema khaa!!! kazi yenyewe ndo hii, nikacheka sana moyoni, leo injinia anaenda kutembeza mabeseni hatari,

Basi tukatoka nje getini pale, bana mi nikamchana jamaa live, nikamwambia mwanangu kazi yenyewe ndo hii, mi staweza kwa kweli akaniliza kwanini? Nikamwambia nimekwambia siwezi, nikaanza kuondoka zangu, jamaa ananiita, oya twende basi kwa meneja ukamwambie, nikamwambia we mwehu nini, meneja unamjua wewe, nikala zangu kona nikimwacha jamaa kasimama pale kapigwa na butwaa asijue cha kifanya,

Basi nikarudi geto, Sity akaja nikamsimulia acha acheke, alicheka paka aka kaa chini machozi yanamtooka,

Siku moja natoka zangu pale meridian bet ( Ni meridian bet na si primier beti kama nlivyosema mwanzo), nikapita zangu short cut moja pale riverside, unapita nyuma ya ukuta wa tanesco unakuja kutokea kanisa la ufufuo na uzima, una vuka barabara ya morogoro, unashuka bondeni unavuka daraja la mbao una ebukia msewe,

Basi nikiwa kwenye ile njia kabla sijafika kwenye ile mitambo ya gesi, sina hili wala lile mwanangu nilishtukia nimekula roba iyo, Nikahisi kama koo linatoka vile, wakati najibaraguza niichomoe machizi wengine wananizama mifukoni, kuja kuniachia nikapata kama wenge kwanza, macho hayaoni vizuri, kugeuka nyuma sioni mtu, mzee nataka kupiga kelele ila sauti haitoki,

Nikajinyoosha shingo pale, kujisachi nikakuta simu yangu smart hamna, nlikuwa na buku 2 mfuko wa nyuma nayo hamna,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Itaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii part ni hatari[emoji91]
 
Vitu nilivyojifunza toka kwenye hii simulizi:
1. Ni kweli ukiingia kwenye Mji/ Nchi ya ugenini ni rahisi kuingia matatizoni hasa kama huna mwenyeji wa kukuongoza. Hii inatoa uhalisia hata wale wanaokwenda kutafuta maisha nje ya Nchi bila connection nao wanapitia matatizo mengi.

2. Vijana wengi wasomi baada ya ajira kusitishwa na JPM, wamejikuta wanaishia kufanya kazi ambazo hawakuzisomea na kupelekea ndoto zao za mafanikio kufifia

3. Sio Wote wanaochomwa moto kwa kuhisiwa Vibaka kumbe wengine sio wezi. (Tujenge tabia ya kupata ukweli kabla ya kuhukumu mtu)

4. Sio wote wanaofungwa wanakuwa ni wakosaji, wengine wanafungwa wakiwa hawana hatia

5. Wanawake wanauwezo wa kujiegesha sehemu kwa lengo la kupata Mchumba/Mume wamtakae. Mfano tumeona jinsi Sity alivyojenga tabia ya kwenda kujisomea UDSM huku akiwa na mawindo yake. Alifanikiwa kumtega mtoa mada kwa kumtanulia mapaja ili amchungulie vizuri, kisha akajipeleka mwenyewe akakae na kupiga story na mtoa mada kisha akafanikiwa alichokitaka.

6.Vijana wengi hatuna utamaduni wa kwenda Msikitini wala Kanisani, hivyo hatuoni haja ya kumshirikisha Mungu matatizo yetu hata tunapookuwa kwenye matatizo makubwa kama ilivyotokea kwa matukio ya mtoa mada.

7. Sehemu tunazoishi tujifunze kuishi vizuri na majirani. Tumeona jinsi jirani Da J alivyokuwa anamsaidia mtoa mada kwenye hali ngumu na kimawazo.

8. Sity ametuonyesha matendo ya wife material anavyotakiwa kuwa, kumsapoti mtu unayempenda hasa anapokuwa kwenye matatizo. Alijaribu kumpambania japo hakuwa na uwezo na namna alivyokuwa anamuamsha usiku ili agegedwe usiku mnene, hii kitu binafsi sijawahi kuiona kwa wanawake wote niliowahi kuwaonja.
 
Back
Top Bottom