Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Kaandika realism kabisa ya wanafunzi hasa mwaka wa kwanza....udsm nimesoma..kila angle anayoongelea naielewa....mpaka Bagamoyo nimewah sindikiza pia rafik yangu kwa mganga lkn yeye alikuwa na kesi nyingine.....pure true story....sijui sahv utakuwa na status gani kiongozi...na huogopi id yako kuwa identified maana unaweka siri zako waziwazi hivi....labda una uhakika hazita leak lkn.....japo bado story inaendelea.....hahaaaaaaa maisha....Gongolamboto Explossion tragedy....Never forgotten[emoji28], enzi hizo nilikuwa Nachingwe Lindi.
[emoji23][emoji23] Nachngwea kulikufanyaje mkuu Mana ni home kule mazngra ya kiutaftaji sion Kam ni mazuri san
 
[emoji23][emoji23] Nachngwea kulikufanyaje mkuu Mana ni home kule mazngra ya kiutaftaji sion Kam ni mazuri san
Kama nachingwea ndio kwenu duuuhh!! Hatari huku kimasikhara kama zote mademu wa huku hawajui kukataa kabisa,najilia tu mbususu karibia kila siku mbususu mpya
 
Kama nachingwea ndio kwenu duuuhh!! Hatari huku kimasikhara kama zote mademu wa huku hawajui kukataa kabisa,najilia tu mbususu karibia kila siku mbususu mpya
[emoji1787][emoji1787] mkuu we peleka moto tu mana maisha mafupi sana
 
Duhh hii ni movie au !? [emoji16][emoji16][emoji22]
 
Hahaaaa [emoji38][emoji38][emoji38]

Inachekesha sana yaani umempa Pesa mtu anaye pata sup akuhifadhie [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi nilikimbia kutoka viwege kwa muda mrefu sana. Nilipofika sehemu niliyokuta watu nilimuona dada mmoja anakaanga samaki nikamuuliza dada hapa ni wapi? Akanijibu hapa ni kilwa masoko nikazimia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kmmk [emoji28][emoji28][emoji28]
 
"Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha"
Mwanaume unatafuta maisha popote pale unapoona kuna fursa hata km hauna ndugu.
Mm mwenyewe ni mfano hai, hapa nilipo nilikuja sina ndugu wala rafiki. Nililipa chumba miezi 3 nikabakiwa na 2,000 tu mfukoni. Natandika boksi nakujifunika shati, nimeshalala na njaa mpk siku 2 lkn sasa najimudu maisha. Nalala sehemu safi na nimeoa.
Maisha popote haijalishi una ndugu au hauna huko.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji120]
 
Chochote utakacho pima wee unaambiwa haina
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]

Nimelia it's hurts

Is this life worth for a living!!? [emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom