sampuli nyingi
Senior Member
- May 4, 2022
- 187
- 298
Leta madini kakà
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Nachngwea kulikufanyaje mkuu Mana ni home kule mazngra ya kiutaftaji sion Kam ni mazuri sanKaandika realism kabisa ya wanafunzi hasa mwaka wa kwanza....udsm nimesoma..kila angle anayoongelea naielewa....mpaka Bagamoyo nimewah sindikiza pia rafik yangu kwa mganga lkn yeye alikuwa na kesi nyingine.....pure true story....sijui sahv utakuwa na status gani kiongozi...na huogopi id yako kuwa identified maana unaweka siri zako waziwazi hivi....labda una uhakika hazita leak lkn.....japo bado story inaendelea.....hahaaaaaaa maisha....Gongolamboto Explossion tragedy....Never forgotten[emoji28], enzi hizo nilikuwa Nachingwe Lindi.
Ukiileta unitag!!Stori si yangu mkuu, Ngoja kuna nyingine ntaileta hapa nayo utasema tena ni yangu
Kama nachingwea ndio kwenu duuuhh!! Hatari huku kimasikhara kama zote mademu wa huku hawajui kukataa kabisa,najilia tu mbususu karibia kila siku mbususu mpya[emoji23][emoji23] Nachngwea kulikufanyaje mkuu Mana ni home kule mazngra ya kiutaftaji sion Kam ni mazuri san
[emoji1787][emoji1787] mkuu we peleka moto tu mana maisha mafupi sanaKama nachingwea ndio kwenu duuuhh!! Hatari huku kimasikhara kama zote mademu wa huku hawajui kukataa kabisa,najilia tu mbususu karibia kila siku mbususu mpya
Huko nasikia huwa zipo na za mafunguKama nachingwea ndio kwenu duuuhh!! Hatari huku kimasikhara kama zote mademu wa huku hawajui kukataa kabisa,najilia tu mbususu karibia kila siku mbususu mpya
Kmmk [emoji28][emoji28][emoji28]Mimi nilikimbia kutoka viwege kwa muda mrefu sana. Nilipofika sehemu niliyokuta watu nilimuona dada mmoja anakaanga samaki nikamuuliza dada hapa ni wapi? Akanijibu hapa ni kilwa masoko nikazimia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Akilisina oyeeeeheeeeee
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji120]"Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha"
Mwanaume unatafuta maisha popote pale unapoona kuna fursa hata km hauna ndugu.
Mm mwenyewe ni mfano hai, hapa nilipo nilikuja sina ndugu wala rafiki. Nililipa chumba miezi 3 nikabakiwa na 2,000 tu mfukoni. Natandika boksi nakujifunika shati, nimeshalala na njaa mpk siku 2 lkn sasa najimudu maisha. Nalala sehemu safi na nimeoa.
Maisha popote haijalishi una ndugu au hauna huko.
Ananivunja mbavu kmmk [emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji2960][emoji2960][emoji23]
Wewe kweli akili huna...
Maisha yanapiga na kuumiza kuliko kitu chochoteDah nilikuwaga najua unavyokuwa kuwa mkubwa maisha yanakubali tu yenyewe wewe maisha kumbe yapo serious sana wewe unacheka yenyewe ya mekununia.
Usipotuliza akili na mwili unaweza kujiua.Maisha yanapiga na kuumiza kuliko kitu chochote
Hili lipo wazi kabisa [emoji817][emoji3064]Usipotuliza akili na mwili unaweza kujiua.