Usilolijua: Malkia Elizabeth ni mjukuu wa Mtume Muhamad(s.a.w)

Usilolijua: Malkia Elizabeth ni mjukuu wa Mtume Muhamad(s.a.w)

Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
Ye mwenyewe anajua uzushi huu? Au ndio mipango ya kudai dola inaanza?
 
We mwenyewe ushasema vyanzo vyako havina uhakika na huenda historia imeharibiwa, usituchanganye hapa!
Ndio maana ya kuandika kisomi, unaacha mwanya kwa wafiatilaji wengine kusema zaidi.....pole ndo masaibu ya walimwengu mkuu
 
Hakuna Kizazi cha mtume. Fatma ndie mtoto pekee wa mtume aliekuwa na watoto wawili ambao ni Hassan na Hussein ambao nao wote wawili walifariki kabla ya kuoa na kupata mtoto.
Mtume hakuwa na kaka,mdogo wala Dada hivyo habari hizo tuzichukulie ni utani kama si upotoshaji wa makusudi.
Umenena jambo boss
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)

Mostly fabricated.
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume,
Ukirudi nyuma vizazi vya kutosha hakuna ugumu kutaja undugu fulani kwa mtu yeyote.
Kwanza watu wote wa Ulaya ni Waafrika, maana wanatokana kwa zaidi ya 98% na hao homo sapiens erectus waliotoka Afrika. (chin i ya 1% ni akina Neanderthal, waliootangulia pale)

Halafu tangu siku za Waroma wa Kale (yaani miaka michache baada ya enzi ya Yesu) wanajeshi wa kikosi cha 10 (waliajiriwa Misri Kusini, walitoka kutoka Sudani) walipelekwa Ujerumani, Uswisi, Ufaransa na Uingereza. Usiwe na wasiwasi kama walizaa na mabinti wa huko. Hata kama haionekani tena, upande wa rangi, jenetiki haipotiei.

Ila tu: hiim inasaidia nini?
 
Wafia ukristo kukuelewa itachukua miaka dahari hata wazungu nadhani ni kati ya habari hawapendi kuisikia.
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Khaaa...imebidi nicheke aisee ...vitu vingine kuviamini yataka moyo sana ...duuh
Ndiyo maana watu husema wajinga wote ni waumini wa dini. Ila mimi ningeenda mbali na kusema wapumbafu wengi wapo huko. Wakishaamini hata kama ni tangi oori wataliamini tu.
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
Wazee wa kulazimisha king
 
Hakuna Kizazi cha mtume. Fatma ndie mtoto pekee wa mtume aliekuwa na watoto wawili ambao ni Hassan na Hussein ambao nao wote wawili walifariki kabla ya kuoa na kupata mtoto.
Mtume hakuwa na kaka,mdogo wala Dada hivyo habari hizo tuzichukulie ni utani kama si upotoshaji wa makusudi.
Wewe unaweza kuona hivyo mtoa mada anaamini. Kuna website kaingia kaingizwa choo cha kike kaamua kuwapata wafuasi wapotee pamoja si unajua wafia dini wote ni wagonjwa wa oblangata
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
Thus why nalipenda sana jna Fatima
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)

The reaction to the Queen's reported links to the Prophet have been mixed.
Abdelhamid Al-Auouni welcomed the news in his piece in Moroccan newspaper Al-Ousboue, writing: 'It builds a bridge between our two religions and kingdoms.'
Meanwhile a tongue-in-cheek headline on the Arab Atheist Network's web forum read: 'Queen Elizabeth must claim her right to rule Muslims.'
One person on internet forum Reddit rubbished the claims however, writing: 'This is just propaganda used by the British monarchy to appease the growing number of Muslim subjects.'
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
Hawa ndugu zetu wa mama mdogo,kwa kupenda kiki! Mpo vzr.
Kuna siku mtatuambia,Mark zukerberg boss wa Facebook ni Islam,au Trump,Bush,bill gate,kwamba wote hawa asili yao Uarabuni
 
Back
Top Bottom