Usilolijua: Malkia Elizabeth ni mjukuu wa Mtume Muhamad(s.a.w)

Usilolijua: Malkia Elizabeth ni mjukuu wa Mtume Muhamad(s.a.w)

Hapo umedanganya. Mbona Yule Mama hapendi kujitoa mhanga ili akapate wanaume mabikra Saba?
 
Malkia wa uingereza ana asasi nyingi sana za misaada ikiwemo vituo vya kulea watoto yatima hasa ktk nchi za uk na canada na sehem zingine walemavu na nchini uingereza wanalelewa kama lulu wanapewa misaada yote muhimu ikiwemo pesa za kujikimu vilevile watoto yatima.
Anatoa misaada kuliko mtu yoyote hapa duniani tupa kule aga khan bakhresa na wengineo.
Ila huko kutoa misaada sio kwamba sababu lbd ni mjukuu wa muhamad au vinginevyo ila huyu mama acheni aishi marefu!ana roho nyeupe kuliko kiumbe yyte tajiri au mfalme alishatokea hapa duniani.
Weka na nyeusi zake ili tutoe hitimisho...
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
takbirirrrr...
 
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
Kujitekenya na kucheka ni furaha vile vile manake kicheko ni kile kile
 
Mleta mada ......inatusaidia nin hii mada yako?hivi babu yako wa 3 kizaa baba yako unamjua?baba yake unamjua pia?unaona ufahari gani kumlinganisha mudi na malkia wa uingereza?kunafaida gani?ndo walewale wanaodai Jehova ni alah .....Yesu ni issa....ovyooo!
 
Umezingua
Ni mjukuu wa mjukuu wa(x43) wa Mtume, kama unasaba wa uspain wa zamani utazingatiwa.
Ingawaje ni vyema kufahamu pia kuwa nyingi ya vyanzo vingi vya miaka ya kale ima vimeharibiwa au havipo wazi kias cha kutosha sana(Unclear)

Sasa undungu unaanzia hapa;
Mwaka 1023,Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad alikuwa mtawala wa Seville huko al-Andalus.
Kabla ya hapo alikuwa qudi(Jaji) alieteuliwa na Caliph wa Carboda ambaye alipata madaraka baada ya kuinyakua ABBADIDIDS.
Huyo alikuwa uzao wa Mtume kupitia kwa bintiye Fatima na mjukuu wake Hasan ibn Ali

Mwaka 1091 wakati ambapo Almoravids kutokea Morocco walipovaimia Hispania ya kiislam, mjukuu wake Al-Mu'tamid ibn Abbad wakashindwa vita. Bintiye Zaida alikimbilia kaskazini na kupata hifadhi kwa Mfalme Alphonso wa Sita(VI) wa Leon na kuwa msaidizi wake(Hapo Mfalme alikuwa ashaoa. lakini mkewe alikuwa anaumwa sana, Zaida alibadili dini na kuwa mkristo(Aliitwa Isabella).
Wakati mke wa mfalme alipofariki, mfalme alimuoa Zaida na kuzaa nae watoto watatu.

Mwaka 1352, Maria de Padilla, uzao wa Zaida na Alfonso walikuwa wasaidizi wa mfalme Peter wa Castille na kumzalia watoto wanne, wawili kati yao wakaolewa na mfalme Edward wa tatu wa uingereza.
Ni kwenye uzao wa Isabela wa Castile na Edmund na Duke ndipo malkia wa sasa wa uingereza anapotokea!
Kifupi uzao wao upo hivi..
Elizabeth II, Queen of the UK - daughter of
George VI, King of the UK - son of
George V, King of the UK - son of
Edward VII, King of the UK - son of
Victoria, Queen of the UK - daughter of
Edward, Duke of Kent and Strathearn - son of
George III, King of Great Britain - son of
Frederick, Prince of Wales - son of
George II, King of Great Britain - son of
George I, King of Great Britain - son of
Sophia, Electress of Hanover - daughter of
Elizabeth of Bohemia - daughter of
James I/VI, King of England, Ireland & Scotland - son of
Mary, Queen of Scots - daughter of
James V, King of Scots - son of
Margaret Tudor - daughter of
Elizabeth of York - daughter of
Edward IV, King of England - son of
Richard Plantagenet, Duke of York - son of
Richard of Conisburgh, Earl of Cambridge - son of
Isabella Perez of Castille - daughter of
Maria Juana de Padilla - daughter of
Maria Fernandez de Henestrosa - daughter of
Aldonza Ramirez de Cifontes - daughter of
Aldonza Gonsalez Giron - daughter of
Sancha Rodriguez de Lara - daughter of
Rodrigo Rodriguez de Lara - son of
Sancha Alfonsez, Infanta of Castile - daughter of
Zaida (aka Isabella) - daughter of
Al-Mu'tamid ibn Abbad, King of Seville - son of
Abbad II al-Mu'tadid, King of Seville - son of
Abu al-Qasim Muhammad ibn Abbad, King of Seville - son of
Ismail ibn Qarais - son of
Qarais ibn Abbad - son of
Abbad ibn Amr - son of
Amr ibn Aslan - son of
Aslan ibn Amr - son of
Amr ibn Itlaf - son of
Itlaf ibn Na'im - son of
Na'im II al-Lakhmi - son of
Na'im al-Lakhmi - son of
Zahra bint Husayn - daughter of
Husayn ibn Hasan - son of
Hasan ibn Ali - son of
Fatima - daughter of
Muhammad (pbuh)
 
Obama mjomba wangu.! Ukifuatilia historia kurudi nyuma hadi mwaka 1764, babu yetu mmoja..
amini usiamini, teh teh
Teh teh teh hongera mkuu.....kwahiyo una undugu na wakenya
 
Hakuna Kizazi cha mtume. Fatma ndie mtoto pekee wa mtume aliekuwa na watoto wawili ambao ni Hassan na Hussein ambao nao wote wawili walifariki kabla ya kuoa na kupata mtoto.
Mtume hakuwa na kaka,mdogo wala Dada hivyo habari hizo tuzichukulie ni utani kama si upotoshaji wa makusudi.
Hussein aliuliwa na wayahudi na Hassan aliuliwa na mkewe


Usiseme walikufa kabla hawajaoa
 
Back
Top Bottom