mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
mkuu kuna kitu, subiri asubuhi utagundua umeandika ninikwanini nimelewa mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kuna kitu, subiri asubuhi utagundua umeandika ninikwanini nimelewa mkuu?
Na baba zake wamwiteje kama kwa binti ni mjukuu?Pedigree: Husain (Husayn ibn) al-HASAN
jaribu kueruzi na wewe mkuu.
hata wewe umetoka mbali,usiishie kwa babu yakoKhaaa...imebidi nicheke aisee ...vitu vingine kuviamini yataka moyo sana ...duuh
We utakuwa tunafanana vinasaba maana mi mwenyewe natokea ukoo wa gaucho.Mimi na Ronaldinho gaucho ni ndugu.
Ngoja niwaletee family tree yangu
connect dots hapa Pedigree: Husain (Husayn ibn) al-HASANwapi?
Hakuna Kizazi cha mtume. Fatma ndie mtoto pekee wa mtume aliekuwa na watoto wawili ambao ni Hassan na Hussein ambao nao wote wawili walifariki kabla ya kuoa na kupata mtoto.
Mtume hakuwa na kaka,mdogo wala Dada hivyo habari hizo tuzichukulie ni utani kama si upotoshaji wa makusudi.
unabisha tu huenda ikawa,mimi sikuamini kuona kua steve job wa apple kumbe ni msyria,babake mzazi yupo mpaka leo ila alimtosa kama diamond alivyotoswa na babake.Hahaha..upuuzi mtupu, yaan imebidi mlazimishe uzao kutoka kwa binti (kitu ambacho mnajua si sawa) ili tu kujustify mkitakacho.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tutafanyaje ss,wenywe washaamua,hta ukskia lorushwa ni mjukuu wa yuda ukubali tu[emoji124] [emoji124]Khaaa...imebidi nicheke aisee ...vitu vingine kuviamini yataka moyo sana ...duuh
Source ni syratu nabii. Yaani Historia ya Mtume Muhammad S.a.w. vitabu vyote vya Syrattu nabii vimelieleza hilonaomba uelezee na source kabisa, tufahamu vzr maana unaonekana unaufahamu tsha kwenye hili...!!!
Haya mkuu ...daah ...malikia Elizabeth ? [emoji85] [emoji85] [emoji13] [emoji13] [emoji125]Source ni syratu nabii. Yaani Historia ya Mtume Muhammad S.a.w. vitabu vyote vya Syrattu nabii vimelieleza hilo