Usilolijua ni kwamba Aron Kagurumujuli amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutoka Wilaya ya Kinondoni

Usilolijua ni kwamba Aron Kagurumujuli amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutoka Wilaya ya Kinondoni

Mkuu hao jamaa hawajali lolote kuhusu hivyo vitisho vya Mungu, maana Mungu yuko kiimani zaidi, wakati wao wanafaidika na fedha za umma katika uhalisia.
Kweli hawajali kwakuwa faida wapatazo ni immediate,hazisubiri .Ni vyeo na fedha za kutumbua.wanakula pepo hapahapa duniani
 
Umetokea nchi gani au una umri gani ?!.
Ni tatizo hili,ndo naposema kuwa kuna watu wanapewa kazi maalumu wao ilifika asubuhi wanaambiwa semeni sasa ni jioni.Watafanya nini ikiwa hiyo ndiyo kula yao?Tuendelee kuishi nao na kuwaombea njaa ziishe.
 
wabongo kwa kulalamika hatujambo mwacheni kama kachaguliwa afanye kazi hizo habar za kumuua mwanafunzi sote tunasikia stori tu hakuna aliekuepo kwenye tukio na hata kama alikuepo kwenye tukio chumvi lazma iongezeke japo kidogooo
Marehemu aliuawa kwa risasi au la?
 
Marehemu aliuawa kwa risasi au la?
hata akifa kwa makamasi haijalishi mtapiga kelele hamna kinachobadilika zaidi mnatembea na chuki na mahasira mioyoni mwenu msioweza hata kufanyia kazi nchi kama tz we fanya mambo yako maana hata wenye mamlaka wanafanya yao
 
hata akifa kwa makamasi haijalishi mtapiga kelele hamna kinachobadilika zaidi mnatembea na chuki na mahasira mioyoni mwenu msioweza hata kufanyia kazi nchi kama tz we fanya mambo yako maana hata wenye mamlaka wanafanya yao
Una uwezo mdogo sana !
 
hata akifa kwa makamasi haijalishi mtapiga kelele hamna kinachobadilika zaidi mnatembea na chuki na mahasira mioyoni mwenu msioweza hata kufanyia kazi nchi kama tz we fanya mambo yako maana hata wenye mamlaka wanafanya yao
Ni kweli wenye mamlaka wanafanya yao ikiwemo na kuua wasiyo na mamlaka.Siku akiuwa mtu wa familia yako utazungumza lugha mpya.
 
Kweli hawajali kwakuwa faida wapatazo ni immediate,hazisubiri .Ni vyeo na fedha za kutumbua.wanakula pepo hapahapa duniani

Kabisa, namna pekee ya hawa wahuni kujutia uhuni wao ni machafuko na hatua kali dhidi yao zifuate. Lakini habari za Mungu ni kujifariji tu.
 
Kwa wageni wa JF ama labda na Wenyeji lakini Wasahaulifu , Aron Kagurumujuli alikuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni , aliyeshiriki kikamilifu kutokomeza Demokrasia na kuhusika kwa Udi na Uvumba kwenye Mauaji ya Akwilina , Mwanafunzi wa chuo cha NIT , aliyepigwa risasi na Polisi na kupasuliwa kichwa ndani ya Daladala , kwenye Mauaji ambayo walengwa hasa walikuwa viongozi wa Chadema , Kagurumujuli alishirikiana Kikamilifu na RPC wa Kanda Maalum aliyeitwa Lazaro Mambosasa .

Hadithi hii ni ndefu sana , na nina hakika kwa dondoo hizo hapo juu angalau nimewakumbusha jambo .

Bali itoshe tu kusema kwamba Kagurumujuli , aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi unaoandaliwa na Tume ya Uchaguzi , Amechaguliwa kwa kishindo kuwa MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA kutokea Wilaya ya Kinondoni , kwa tafsiri ya haraka , inaonyesha kwamba wanaccm wa Kinondoni wamemlipa Kagurumujuli kwa kazi nzuri ya kukisaidia chama chao na kushiriki mauaji ya Akwilina .

#Katiba mpya ni sasa
CCM imejaa mashetani tupu
 
Huyu jamaa nikisikia jina lake nakasirika moyoni.Ni Jirani yangu kwa huku mkoani,lakini aisee kitendo kile alichowafanyia mawakala wa CDM kilichosababisha vurugu hakitasahaulika kamwe .Daima ataandikwa katika historia kama kiongozi katili asiyependa demokrasia ambaye alikuwa tayari kufanya chochote kulinda tumbo lake.
Ni Kagurumujuli wa Kibondo au sehemu nyingine? 🤔
 
Back
Top Bottom