FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
1.Kila siku kuingia nyumbani ni kuanzia saa saba usiku kama si asubuhi
2. Unakaa umenuna nuna bila sababu za msingi
3. Unalalamika mwenzangu haniridhishi unajuaje kama wewe unamridhisha ?
4.Unalalama mwenzangu mkorofi wewe umejichunguza kama si mkorofi
5.Out kila unaenda peke yako utadhani mwenzio hapendi kutoka out
6. Mkienda sehemu hamuongozani pamoja ..mmoja mbele mmoja nyuma utadhani hamfahamiani
7.Ukipigiwa simu unakimbilia chooni kuongea kama si nje
8.Kutwa hujiamini unahisi kuibiwa
9.Namba za kina Asia /Johan umesave ..Fundi Bomba Fundi Umeme Baba Paroko
10.Namba za Kina Joram /Hamis umesevu Msusi/Dada wa Viatu..
11.Unaongea kama umefungwa Tape
12.Kila siku Kulalamika mke /mme mchafu ..umechukua jukumu gani la kurekebisha matatizo?
13. Kujisifia sifia ooh mimi ikawa vile matendo zero .
14. Licha ya kurudi Night kali,vilevile shingoni LoveBite huku vifungo vya shati vikiwa vimepishana.
15. Harufu ya pafyumu unayonukia mida hii,si ile uliyokuwa unanukia Alfajiri wakati unaondoka nyumbani.
16. Mbaya zaidi na Nguo ya ndani umeigeuza wakati Alfajiri ulipoondoka ulikuwa umeivaa Fresh.
17. Unajibaraguza,...ohoo....!!! Mke wangu unajua leo tulikuwa na ugeni mzito ofisini,wakati sijakuuliza.
18. Unaikimbilia AirFresh ili ukapulizie ndani ya gari kwa madai eti ulimpa lifti rafikio aliyekuwa ananuka soksi,kumbe ni muongo unataka nisiinuse harufu ya Pafyumu ya mwanamke uliekuwa nae garini.
19. Unafoka kwa hasira....hebu niongezee kitoweo...ala..!!!!,wakati Alfajiri uliacha Buku.
20. Mbaya na kali kuliko zote,licha ya vituko vyoote ulivyonifanyia mchana kutwa, eti kitandani TUNALALA MZUNGU WA 4.
21. Uliponiaga unakwenda kusalimia kwenu, nilipotoka kanisani nikakuona umekaa kibarazani kwenye nyumba
uliyompangishia bibi mdogo huku umepakata katoto kachanga.
Tunaendelea....... thanx Madame B and Mamndenyi
weekend njema
2. Unakaa umenuna nuna bila sababu za msingi
3. Unalalamika mwenzangu haniridhishi unajuaje kama wewe unamridhisha ?
4.Unalalama mwenzangu mkorofi wewe umejichunguza kama si mkorofi
5.Out kila unaenda peke yako utadhani mwenzio hapendi kutoka out
6. Mkienda sehemu hamuongozani pamoja ..mmoja mbele mmoja nyuma utadhani hamfahamiani
7.Ukipigiwa simu unakimbilia chooni kuongea kama si nje
8.Kutwa hujiamini unahisi kuibiwa
9.Namba za kina Asia /Johan umesave ..Fundi Bomba Fundi Umeme Baba Paroko
10.Namba za Kina Joram /Hamis umesevu Msusi/Dada wa Viatu..
11.Unaongea kama umefungwa Tape
12.Kila siku Kulalamika mke /mme mchafu ..umechukua jukumu gani la kurekebisha matatizo?
13. Kujisifia sifia ooh mimi ikawa vile matendo zero .
14. Licha ya kurudi Night kali,vilevile shingoni LoveBite huku vifungo vya shati vikiwa vimepishana.
15. Harufu ya pafyumu unayonukia mida hii,si ile uliyokuwa unanukia Alfajiri wakati unaondoka nyumbani.
16. Mbaya zaidi na Nguo ya ndani umeigeuza wakati Alfajiri ulipoondoka ulikuwa umeivaa Fresh.
17. Unajibaraguza,...ohoo....!!! Mke wangu unajua leo tulikuwa na ugeni mzito ofisini,wakati sijakuuliza.
18. Unaikimbilia AirFresh ili ukapulizie ndani ya gari kwa madai eti ulimpa lifti rafikio aliyekuwa ananuka soksi,kumbe ni muongo unataka nisiinuse harufu ya Pafyumu ya mwanamke uliekuwa nae garini.
19. Unafoka kwa hasira....hebu niongezee kitoweo...ala..!!!!,wakati Alfajiri uliacha Buku.
20. Mbaya na kali kuliko zote,licha ya vituko vyoote ulivyonifanyia mchana kutwa, eti kitandani TUNALALA MZUNGU WA 4.
21. Uliponiaga unakwenda kusalimia kwenu, nilipotoka kanisani nikakuona umekaa kibarazani kwenye nyumba
uliyompangishia bibi mdogo huku umepakata katoto kachanga.
Tunaendelea....... thanx Madame B and Mamndenyi
weekend njema
Last edited by a moderator: