Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.Care ikizidi ndio mnajisahau na kuanza kuitana Ma-Babe.
Note. [emoji3578] Hakuna anaetoa Care Burebure
Kbsaa mazoea yawe na mipakaa tuUkiona Mwanamke ana mazoea na wanaume basi kuwa makini nae Mkuu.
Mwanaume hakosei......yeye achekelee tu hizo care, tena amponde na mkeweNa kwa mume wa mtu wafanyaje?
Subhanallah!Usitudanganye tukapigwa miko ya pua.Mwanaume hakosei......yeye achekelee tu hizo care, tena amponde na mkewe
Yamekukuta nini? Kwa nini unatoa ushauri kwa wanaume juu ya wanawake walioolewa na sio kwa wanawake juu ya wanaume waliooa?Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Ni kama vile nayaona, unamsaidia mtu kwa nia njema lakini inafika hatua unaona kama analazimisha akulipe fadhila, na hakuna fadhila nyingine zaidi ya tunda,Yamekukuta nini? Kwa nini unatoa ushauri kwa wanaume juu ya wanawake walioolewa na sio kwa wanawake juu ya wanaume waliooa?
Mambo matatuKwani kuwa mke kuna maana gani?
Ukweli nisamehewe kuna dada kwel ananipa tigo na mke wa dogo muosha magari .nimejitahidi chomoka waapiAiseee. Alafu kuna wake za watu akinogewa nje hadi anagawa tigo kwa mchepuko. Dunia ina mambo nyie
Blaza acha mke wangu, utamuharibuUkweli nisamehewe kuna dada kwel ananipa tigo na mke wa dogo muosha magari .nimejitahidi chomoka waapi
Jichanganue uone. Uyo gent yupo kimkakati akishakugonga haumuoni tenaWaacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.
Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Kabla sijaendelea kucomment naomba nijue maana ya neno Tashwishi...Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Mm siwez oa niliapa mbele ya mizimuMasela wanaminya na wako pia
Ngoja nimpe mtaji kwanzaBlaza acha mke wangu, utamuharibu