Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

N

Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.

Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
Mtego wa kuvunja ndoa,utaelewa ikishavunjika.
Kaulize wenzio wanaokanyaga mafuta ya kutaka kurejesha ndoa kwa mitume watakuambia.
Ndoa Huwa ni ya kwanza tu
 
The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
Hapana naona huwajui wanawake wewe vizuri! Mwanamke ni mtu wa hisia sana ukionesha kumjali kidogo tu lazima akuzawadie tunda..ndo akili zao zilivo.
Mtoa maada yupo sahihi 100%.
 
Na wanaume Ndio hupitia huo mwanya na wanafanya kwa muda tu sio milele ili apate k
Ukiingia mgahawani ukaitisha chakula ukala ukashiba, utaendelea kukaa tena hapo hapo mpaka utakaposikia njaa? Si Waondoka kwenda kufanya shughuli nyingine?



Nina imani nimekujibu vizuri
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Ujumbe umetufikia sawasawa
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Nakupa mambo mawili

1.wanawake wengi was kileo Wana waume wawili 1.wa kiroho yule aliembikiri 2.wa kimwili ambae umehalalisha kimchongo kwa dini ambayo Haina mashiko kiroho hasta ufanyaje!!!


2.unapooa aliebikiriwa tayari umeoa make was mtu na hatothamini ndoa yake fake hivyo Hataona shida kufanya uzinzi na me mwingine!!


Nakushauri fikiria mengine coz huo uchi ni wake na wewe huna umuhim mkubwa kwake kuliko yule aliembikiri,hivyo ana haki ya kumpa yeyote anaemtaka hasta kama yupo na wewe!!!
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Thread nzito. Yenye ujumbe mzito ila kwa maneno machache.
 
Mpaka sasa sijaona wanangu wa KATAA NDOA Wakuu wa NDOA NI UTAPELI walioapa kutokurubuniwa kama Mabroo.

Wanangu mnaniangusha, sijapenda.
 
Back
Top Bottom