Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Ikiwa itabidi uwe na mawasiliano na mke wa mtu basi yawe kwa heshima na umbali na yasikaribie mipaka ya vishawishi.

Mi nimeshajiwekea sihitaji ukaribu na mke wa mtu yeyote hata awe rafiki yangu wa karibu kwa sababu kuu mbili.
1. Ukiwa karibu na mke wa rafiki yako wa karibu sana, jiandae kwa lolote mke wake akigundua jamaa yake anachepuka, huyo shem naye atakuweka kundi moja na jamaa yake, na ataona wewe unamlindia jamaa siri zake.

2. Kuna mashem wengine ukishakuwa karibu naye na akagundua jamaa yake anachepuka, yeye analipiza kwa kuja kukupa utelezi. Kwenye hili niliponea chupu chupu kwa mke wa rafiki yangu Mtu wangu wa karibu sana, aliyenifanyia mambo makubwa sana zaidi hata ya ndugu. Huyu bidada alikuja kugundua jamaa yake ana mchepuko ambaye hadi jamaa alimjengea nyumba na kumpa gari. Nilikuja kugundua shem ananiuliza maswali ya ki FBI, sema bahati na mimi nilikuwa sijui maana jamaa alikuwa msiri sana. Baadaye shem akanifungukia kuwa ana ushahidi ila akawa anashindwa aanzie wapi. kuanzia hapo akaanza kuwa karibu na mm kila wakati ananipigia simu especially jamaa anaposafiri. Kuna kipindi mwanamke alikuja Dar akiwa anadrive gari, alipofika mjini akaniomba nimsaidie kumtembeza Dar anaogopa kuendesha gari Dar. Kwenye story za hapa na pale nikagundua kuwa yupo tayari nimle. Nikafanya juu chini kumkwepa.
Aliporudi mkoani ikawa ananipigia video call akiwa kitandani. Nako nikakwepa. kuanzia hapo hadi leo hajanitafuta tena
 
Wanaume wengi wa kibongo hawajua kujali wake zao. Wanaishi kwa mazoea tu. Yaani wengi wanaishi tu kwa vile wameoana. Yaani unaona kabisa hamna furaha kwa wanawake walio wengi. Wengine mara ya mwisho kutolewa outing au hata kupetiwa ni kipindi cha honey moon tu. Tabu tupu.
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Hatuachi
 
Mi nimeshajiwekea sihitaji ukaribu na mke wa mtu yeyote hata awe rafiki yangu wa karibu kwa sababu kuu mbili.
1. Ukiwa karibu na mke wa rafiki yako wa karibu sana, jiandae kwa lolote mke wake akigundua jamaa yake anachepuka, huyo shem naye atakuweka kundi moja na jamaa yake, na ataona wewe unamlindia jamaa siri zake.

2. Kuna mashem wengine ukishakuwa karibu naye na akagundua jamaa yake anachepuka, yeye analipiza kwa kuja kukupa utelezi. Kwenye hili niliponea chupu chupu kwa mke wa rafiki yangu Mtu wangu wa karibu sana, aliyenifanyia mambo makubwa sana zaidi hata ya ndugu. Huyu bidada alikuja kugundua jamaa yake ana mchepuko ambaye hadi jamaa alimjengea nyumba na kumpa gari. Nilikuja kugundua shem ananiuliza maswali ya ki FBI, sema bahati na mimi nilikuwa sijui maana jamaa alikuwa msiri sana. Baadaye shem akanifungukia kuwa ana ushahidi ila akawa anashindwa aanzie wapi. kuanzia hapo akaanza kuwa karibu na mm kila wakati ananipigia simu especially jamaa anaposafiri. Kuna kipindi mwanamke alikuja Dar akiwa anadrive gari, alipofika mjini akaniomba nimsaidie kumtembeza Dar anaogopa kuendesha gari Dar. Kwenye story za hapa na pale nikagundua kuwa yupo tayari nimle. Nikafanya juu chini kumkwepa.
Aliporudi mkoani ikawa ananipigia video call akiwa kitandani. Nako nikakwepa. kuanzia hapo hadi leo hajanitafuta tena
safi sana Mkuu, wewe una misingi ya ki HipHop
 
Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Na kutoa kum(a)..?

#YNWA
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
wanawake ni washenzi tu, hakuna fomula ya ku deal nao
 
Nasema tena
Karma haina formula ishi katika heshima yako na kanuni za imani yako.

Kama ni wewe fisi we kulaga tu mana sioni haja ya kumchunguza kiumbe mwenye utashi.
 
Mi nimeshajiwekea sihitaji ukaribu na mke wa mtu yeyote hata awe rafiki yangu wa karibu kwa sababu kuu mbili.
1. Ukiwa karibu na mke wa rafiki yako wa karibu sana, jiandae kwa lolote mke wake akigundua jamaa yake anachepuka, huyo shem naye atakuweka kundi moja na jamaa yake, na ataona wewe unamlindia jamaa siri zake.

2. Kuna mashem wengine ukishakuwa karibu naye na akagundua jamaa yake anachepuka, yeye analipiza kwa kuja kukupa utelezi. Kwenye hili niliponea chupu chupu kwa mke wa rafiki yangu Mtu wangu wa karibu sana, aliyenifanyia mambo makubwa sana zaidi hata ya ndugu. Huyu bidada alikuja kugundua jamaa yake ana mchepuko ambaye hadi jamaa alimjengea nyumba na kumpa gari. Nilikuja kugundua shem ananiuliza maswali ya ki FBI, sema bahati na mimi nilikuwa sijui maana jamaa alikuwa msiri sana. Baadaye shem akanifungukia kuwa ana ushahidi ila akawa anashindwa aanzie wapi. kuanzia hapo akaanza kuwa karibu na mm kila wakati ananipigia simu especially jamaa anaposafiri. Kuna kipindi mwanamke alikuja Dar akiwa anadrive gari, alipofika mjini akaniomba nimsaidie kumtembeza Dar anaogopa kuendesha gari Dar. Kwenye story za hapa na pale nikagundua kuwa yupo tayari nimle. Nikafanya juu chini kumkwepa.
Aliporudi mkoani ikawa ananipigia video call akiwa kitandani. Nako nikakwepa. kuanzia hapo hadi leo hajanitafuta tena
Wewe ni SHUJAA. Unastahili Ballon Dior[emoji123]
 
The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
Mimi nakupinga,mwanamke ukimstress in anyhow,eg kucheat au kipigo inakuwa ni rahisi kushawishiwa na wanaume wengine Kwa akili ya kupata furaha aliyoikosa Kwa mme wake.
Nina ushahidi,wingi tumewagonga Kwa style
 
Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Kataeni ndoa vijana[emoji3516]
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
pole mkuu wamekut*mbea
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Aposto nini kimetokea ....
 
Back
Top Bottom