Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
Best thread ever.
 
Hahaha dah! Wenye wake tumewaza mbali. Sema all in all mke anauma. Nigaz heshimun wake za watu. Mim ukileta shobo nakuroga tu ***** [emoji41][emoji41][emoji41]
 
N

Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.

Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
Kuna wanaume wanaonyeshwa care na wanasalitiwa na kuna Uzi humu kuna mdada aliomba ushauri alimsaliti mwanaume aliyeishi maisha matakatifu na kumcare sana, kumnunulia nguo, kupiga stori, akamcheat, sema Mungu hamuachi mtu wake, akamuexpose, mwanaume akaacha kucare, akaleta Uzi tumshauri.

So wanawake kiufupi hampendi kabisa mtu mtakatifu unless mwanamke huyo awe mtakatifu pia.
 
Mkuu kama umeolewa na Bandidu basi ni jukumu lako kumbadili awe Mr Romantic na sio kukubali Care za wanaume wengine.

CARE INA PRICE, HAKUNA VYA BURE...
Unaweza kucare na ukacheatiwa mzee, kiufupi ukikosea kuoa , umekosea hata ufanye nini, hapo inahitaji rehema na neema za Mfalme wa Wafalme kumbadilisha mwanamke.
 
Namna umeiweka ni as if kosa hapo ni la huyo mwanaume anaefanya matendo ya kujali.

So kimsingi mwanamke ndie mwenye makosa kwa kutoa access ya kufanyiwa hayo yote.
 
Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Sasa shida ni ukijaliwa lazima uliwe, we unataka upate utamu pekee yako tu wenzako wanaokujali wasikukule wapate utamu?
 
N

Ndio Waume zetu mtuonyeshe care ndani, hadi tukinai hizo za nje.

Ukute mume ndani anafoka foka na kununa nuna, huko nje workmate full care na masmile.....
Ridhika na chaguo la moyo wako hata kama ni bovu. Maadam ulijitosa kaza roho usitafute mume mwingine ili hali upo ndoani!
 
The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
Huu ndiyo ukweli halisi. Mwanamke malaya ni malaya tu hata umfanyie nini kama mke.

Kuna mke hata usipoonesha kumjali yeye atakujali na kukupenda kwa moyo wote na wala hatofikiria ujinga wowote ule.

Tatizo wengi wanaoa malaya waliojificha kwa muda then baadae wanarudi kwenye asili yao ya umalaya.
 
Waacheni wanaojua kujali watujali, na Sisi binadamu tunahitaji hizo care, kuwa mke wa mtu sio ulemavu...Kuwa mke wa mtu haiondoi Ile asili ya ubinadamu kutaka kuona unajaliwa na kuthaminiwa, mke wa mtu ni title tu.

Wale magents, endeleeni kutuonyesha care, tunawapenda.
Usipofanyiwa haya ndiyo unarudi kwenye asili yako ya umalay,a?

Mbona wapo wake za watu hawafanyiwi hizo care na bado wapo imara kwenye ndoa zao na kumjali mume bila kujali yeye hamjali.
 
All in all mke wa mtu ni mtamu.
Ila wangu usijaribu nikujue. Ntakupiga uchawi wa ki Indonesia... Huponi hata kwa maombi ya mwamposa
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Usipofanyiwa haya ndiyo unarudi kwenye asili yako ya umalay,a?

Mbona wapo wake za watu hawafanyiwi hizo care na bado wapo imara kwenye ndoa zao na kumjali mume bila kujali yeye hamjali.
Jidanganye
 
Huu ndiyo ukweli halisi. Mwanamke malaya ni malaya tu hata umfanyie nini kama mke.

Kuna mke hata usipoonesha kumjali yeye atakujali na kukupenda kwa moyo wote na wala hatofikiria ujinga wowote ule.

Tatizo wengi wanaoa malaya waliojificha kwa muda then baadae wanarudi kwenye asili yao ya umalaya.
Wewe unaonekana mbinafsi sana
 
Back
Top Bottom