Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

😂😂😂 wifi umebadili gia angani
Kweli wifi, Baba K kanipa limbwata sijui....Mimi wa kumpenda mtu hadi nalia🤣🤣🤣 madanga nayaona takataka Mimi?
Itakuwa kachimbia vyuzi langu jalalani🤣🤣🤣
 
Kweli wifi, Baba K kanipa limbwata sijui....Mimi wa kumpenda mtu hadi nalia🤣🤣🤣 madanga nayaona takataka Mimi?
Itakuwa kachimbia vyuzi langu jalalani🤣🤣🤣
Twende nikakuzindue haiwezekani uyaone madanga takataka 😂😂😂
 
Twende nikakuzindue haiwezekani uyaone madanga takataka 😂😂😂
We hata usipate shida ya kunizindua, niache hadi yaniue🤣🤣🤣 akitaka anigeuze ndondocha kabisaaa🤣🤣🤣
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Nimeshindwa kutambua huyu kachapiwa au anachapa!!

Anyway, labda kama anahitaji zaidi ya matumizi yangu. Kama anavyohitaji navimudu, nampa hadi amwone mumewe kama binamu yake tu.

As long as nimeridhika, namhudumia hadi apendeze kiwango cha mumewe kushangaa.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
Usisahau, mwanamke anaweza kukengeuka kutokana na mwenendo wa mumewe.

Wewe hulali nyumbani wiki, lakini hujasafiri, unalala tu kwa mchepuko. Ukifika nyumban ni kubadilisha nguo na kupotelea mtaani.

Usivyo na akili unatoka hadi na mfanyakazi mwenzie wa ofisi moja, au business partner wa mkeo na anamdharau.

Kwako hakufuata pesa na majengo, alifuata kwanza mhogo mengine ni mapambo tu.

Ukitaka asiwe malaya, mpe talaka halafu endelea na michepuko yako. Siyo uoe mke umweke ndani halafu unalala nae kama dadako.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mambo matatu
1. Kumheshimu na kumtunzia mali na heshima yake, akiwa karibu na asipokua karibu
  • ukitoa tunda nje umemvunjia heshima
  • ukitoa siri za ndani kwa wasio husika
  • ukieleza shida kwa watu wengine badala yake
  • ukiacha watoto wachafu ukaenda kwa nabii na mtume au kwenye mambo yako
  • ukiondoka bila kuaga
N.k
2. Ukielekezwa katika jambo la kheri unafata

3. ,,,,
4…..
Shida mume hampi nafasi mkewe kueleza shida zake. Akiwa na jambo mume ni kupiga simu bas

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Ila wake za watu watufanyie wema kupitiliza
 
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.

Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.

Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi

Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.

Mbalance shobo na wake za watu.
Kimeumana nini..?
 
Ni kama vile nayaona, unamsaidia mtu kwa nia njema lakini inafika hatua unaona kama analazimisha akulipe fadhila, na hakuna fadhila nyingine zaidi ya tunda,

Ama kwa kwanini sijazungumzia wanaume waliooa wanaofanyiwa mema,
1. Mwanaume alieoa akifanyiwa wema na mwanamke, yeye ndio anapokea, so kama akiamua amlipe fadhila kwa kumuoa sawa
We zombie
 
We hata usipate shida ya kunizindua, niache hadi yaniue🤣🤣🤣 akitaka anigeuze ndondocha kabisaaa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 huba limekolea nazi shatashata
Wee wifi wee umepigaje hapo?
 
The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
Nani kaumiza huyu tena??...[emoji2356][emoji2356] whaa ladies
 
Picha linaanza


Unamuona mdada kakaa kiutamu, unamfuata unamsalimia anaitikia, stori mbili tatu unamwambia umemuelewa anakujibu yeye ni mke wa mtu. Unamyomba namba anasita kidogo then anakuambia lete simu nikuandikie lakini mimi ni mke wa mtu.

Pumbavu zangu mimi, enewei. Uto, mmeona umuhimu wa sare nyumbani ee
 
The fear of unknown.

Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.

Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.

Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.

Be a Man.
[emoji1320][emoji1320]
 
Ikiwa itabidi uwe na mawasiliano na mke wa mtu basi yawe kwa heshima na umbali na yasikaribie mipaka ya vishawishi.
 
Back
Top Bottom