Kweli wifi, Baba K kanipa limbwata sijui....Mimi wa kumpenda mtu hadi nalia🤣🤣🤣 madanga nayaona takataka Mimi?😂😂😂 wifi umebadili gia angani
Itakuwa kachimbia vyuzi langu jalalani🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wifi, Baba K kanipa limbwata sijui....Mimi wa kumpenda mtu hadi nalia🤣🤣🤣 madanga nayaona takataka Mimi?😂😂😂 wifi umebadili gia angani
Twende nikakuzindue haiwezekani uyaone madanga takataka 😂😂😂Kweli wifi, Baba K kanipa limbwata sijui....Mimi wa kumpenda mtu hadi nalia🤣🤣🤣 madanga nayaona takataka Mimi?
Itakuwa kachimbia vyuzi langu jalalani🤣🤣🤣
We hata usipate shida ya kunizindua, niache hadi yaniue🤣🤣🤣 akitaka anigeuze ndondocha kabisaaa🤣🤣🤣Twende nikakuzindue haiwezekani uyaone madanga takataka 😂😂😂
Nimeshindwa kutambua huyu kachapiwa au anachapa!!Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Usisahau, mwanamke anaweza kukengeuka kutokana na mwenendo wa mumewe.The fear of unknown.
Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.
Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.
Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.
Be a Man.
Shida mume hampi nafasi mkewe kueleza shida zake. Akiwa na jambo mume ni kupiga simu basMambo matatu
1. Kumheshimu na kumtunzia mali na heshima yake, akiwa karibu na asipokua karibu
N.k
- ukitoa tunda nje umemvunjia heshima
- ukitoa siri za ndani kwa wasio husika
- ukieleza shida kwa watu wengine badala yake
- ukiacha watoto wachafu ukaenda kwa nabii na mtume au kwenye mambo yako
- ukiondoka bila kuaga
2. Ukielekezwa katika jambo la kheri unafata
3. ,,,,
4…..
Ila wake za watu watufanyie wema kupitilizaKama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Kimeumana nini..?Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
We zombieNi kama vile nayaona, unamsaidia mtu kwa nia njema lakini inafika hatua unaona kama analazimisha akulipe fadhila, na hakuna fadhila nyingine zaidi ya tunda,
Ama kwa kwanini sijazungumzia wanaume waliooa wanaofanyiwa mema,
1. Mwanaume alieoa akifanyiwa wema na mwanamke, yeye ndio anapokea, so kama akiamua amlipe fadhila kwa kumuoa sawa
🤣🤣🤣🤣 huba limekolea nazi shatashataWe hata usipate shida ya kunizindua, niache hadi yaniue🤣🤣🤣 akitaka anigeuze ndondocha kabisaaa🤣🤣🤣
Misso Misondo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huba limekolea nazi shatashata
Wee wifi wee umepigaje hapo?
Tumetoka mbali, tumemfata mamy K 🤣🤣🤣Misso Misondo🤣🤣
Nani kaumiza huyu tena??...[emoji2356][emoji2356] whaa ladiesThe fear of unknown.
Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.
Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.
Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.
Be a Man.
[emoji1320][emoji1320]The fear of unknown.
Mkuu tatizo la vijana wengi ni kuamini WANAWAKE HAWAJUI WANACHOKIFANYA.
Vijana acheni kujipa sababu za kuhalalisha UMALAYA wao, Ukiona MKEO amesaidiwa na mtu kisha akaachia Uchi. Basi ujue ulioa Malaya tokea awali. Swala la Mkeo kuliwa nje halina uhusiano wowote na wewe wala aliyemsaidia. Ni yeye na Umalaya wake FULL STOP.
Hakuna sababu yeyote ya MSINGI ambayo itafanya mke achepuke tofauti na UMALAYA wake mwenyewe.
Always focus na issues zako za msingi kupambania future yako usije kuishi kwa mateso uzeeni.
Be a Man.
Angalia post ya The OnlyUlipewa mtandao nini?