Usimfanyie wema wa kuzidi mwanamke aliye - single au mbali na mpenzi wake

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Umeanza kujitambua Hongera .

Wenzio bado wanategwa na kunaswa kirahisi na kuibiwa fedha zao.

Wengine wametegeshwa mimba na kutia doa familia na wengine ndoa zao kuvunjika na kubaki historia .
Hapo umegusa mfupa! Wanategwa na kuibiwa fedha zao kivipi mkuu?
 
Ndo maana wananitangazaga Mie kauzu hatari


Dah


Ngoja nianze kujichanganga mdogo mdogo

Siku moja nikasikia Yule MWANAUME ni kauzu hatari

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahah usiniambie![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli? Kwa nini sasa? Unaona sifa kuitwa hivyo?
 
Nadhan n dhana iliyojengeka kwa wanawake wengi kuwa mwanaume anapomhitaj mwanamke, huanza kwa ku care na ku offer vitu mbalimbal, thats why huishia kutengeneza mazingira ya kukutunuku zigo kama fadhila ya wema ulomfanyia.
 
Ona hizi hasira za kuishiwa nguvu za kiume. Hivi hujasikia kuna vumbi la Kongo na Al Kasusi?
 
Hao wake za watu wataeamaliza maana si kwa nyuzi hizi zilivyoongozana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…