Inasikitisha sana...Zama hizi ni za Toa kitu upate kitu.. Ukipewa ukazingua unaachwa kwenye mataa ni wachache sana wenye mioyo ya utoaji tuuuuu nae inafika wakati anachoka
Kwa wanaume wanaojua kusugua ila penniless pia wana ki bahati fulani....
Kwa wenye vyote mipesa na mshipa napo baadhi yao wanawake kazi tunayo foleni kama walimu wakiwa atm tarehe za mshahara
Cc Smart911
Mekuelewa my king.Inasikitisha sana...
ZilipemdwaKumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!
Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!
Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!
Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?
Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia
Mwanaume haturidhiki
Nakaribisha Mapovu.
Wewe ni ke?? Tafiti zaidi zinazidi kuonesha wanawake wanaoolewa wa wanaume wenye pesa hunyanyasika zaidi na kuishi kama watumwa.Kumekuwa na trend ya wanaume tukilalamika kuwa wanaawake wanapenda pesa au wanatuomba sana pesa,mimi naona wako sahihi!!
Maisha yale ya kuvumilia mme/mchumba akiwa hana kitu kwa kigezo cha upendo kwa sasa ni ujinga kwa sababu tafiti zinaonesha wanaume wengi 3/4 ya waliokuwa maskini siku wakizipata lazima wabadili wanawake na hata wasipobadili basi wanaanza kuwa wasaliti na wasumbufu!
Sasa kwanini mdada ujitese na umaskini wa mtu wakati siku akizipata lazima zitakuja na misukosuko katika mahusiano yenu!!
Wanaume tuwe wakweli hapa wala tusidanganyane wakati ukiwa huna uwezo huwa kuna vitu vingi sana huwa unavitaman Especially wanawake wazuri(hata kama wa kwako ni mzuri ila bado utakuwa unatama wanaopendeza huku ukitumia msemo wa wenye pesa wanafaidi) iv unadhan siku ukizipata hutajaribu kufaidi?
Nawashaur wanawake ombeni pesa na achaneni na wanaume maskini kwa kisingizio cha kuvumilia
Mwanaume haturidhiki
Nakaribisha Mapovu.
Tumekuelewa msemaji wa malaya wote TANZANIA................................MTOA POST NI LOFA KAMA MALOFA WENGINE
post zake nyingi ujifanya yeye mjuaji sana alafu ujifanya kama si wa level hizi.nimecheki post yake moja kuhusu forex,ni kamsoma nikaona kama hana roho ya kwa nini na hii post yake ya naona rofa la zinzonye kabisa maana anajiandikia bila kutafakariMTOA POST NI LOFA KAMA MALOFA WENGINE