Usimkubali wala kumvumilia mwanaume asiye na pesa

Inasikitisha sana...
 
Kwa maana hiii ule msema wa "To every successful man, there is a strong woman behind" hauna maana...

Hapa si unawafundisha wanawake kudandia wanaume wa wenzao ambao tayari wameshafanikiwa...

Ni kuishi vile upendavyo wewe na siyo watakavyo watu...


Cc: mahondaw
 
Zilipemdwa
 
Wewe ni ke?? Tafiti zaidi zinazidi kuonesha wanawake wanaoolewa wa wanaume wenye pesa hunyanyasika zaidi na kuishi kama watumwa.
 
ALIYEANZISHA HII MADA ANASHIDWA KUELEWA DOUBLE STANDARDS KATIKA MAPENZI YA MWANAUME NA MWANAMKE NI NANI ALIYEPENDA NA NI NANI ALIYEPEDWA ?

IKITOKEA MWANAUME NDIO KAMPENDA MWANAMKE BASI ITAMLAZIMU MWANAUME AISHI APENDAVYO MWANAMKE......

LAKINI KAMA MWANAMKE NDIO KAPENDA BASI INABIDI AISHI ANAVYOTAKA MWANAUME........

KWA MFANO MIMI NINA KIDEMU CHANGU CHENYEWE NDIO KILINISHOBIKEA KIKAJIFANYA KINANIPENDA BASI MIMI KAZI YANGU NI KUKIPIGA JUJU SIMPI HATA HELA SI KANIPENDA MWENYEWE
SASA NIMPE HELA ILI IWEJE MIMI KAZI YANGU NI KUPIGA DUDU SI KANIPENDA MWENYEWE

HIVYO HIVYO NARUDI KWA MLETA MADA INAONEKANA ANAPIGWA SANA DUDU BILA KUPEWA HELA SASA HASIRA ZOTE ANAZILETA JF . . ..
 
Mmmh karne hii na kizazi hichi tutaona na kusikia mengi.Maana halisi ni kuwa kama mwanaume hana pesa basi hawezi kuwa na mwanamke aisee?!!
 
MTOA POST NI LOFA KAMA MALOFA WENGINE
post zake nyingi ujifanya yeye mjuaji sana alafu ujifanya kama si wa level hizi.nimecheki post yake moja kuhusu forex,ni kamsoma nikaona kama hana roho ya kwa nini na hii post yake ya naona rofa la zinzonye kabisa maana anajiandikia bila kutafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…